Maneno Meier
JF-Expert Member
- May 12, 2013
- 2,467
- 1,697
- Thread starter
- #581
Hey, cool!Nitakuwepo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hey, cool!Nitakuwepo
Dah nguvu zimeniishia! Km hayo ma design ya karne ya 19 ndo Kodi zetu zinaenda nunua! Moto wangu hauna amani kabisa! Nilikuwa na matumaini makubwa sana! Kuona vitu vya kisasa Kama kule China, Europe! Mtoa mada nimekata tamaa km wewe!
Asante sana mkuu kwa mchango wako. Nikianza na mchango wako kwenye paragraph yako ya mwisho kuhusu Mabasi ya mwendo Kasi naweza tu kukuambia kwamba sijui ulikuwa ushauri wa nani na kwa madhimuni gani?labda uwezo pesa yenu ndo umefika hapo.. kiingine kumbuka mazingira ya Afrika na Europe.. unaweza ukaleta Train hapa full fiber na makolokolo kibao.... baada ta mwaka mtaikataa itakavyokuwa imechakaa kwa ustaarabu wetu wa kiafrika ... ndo maana hata kwenye magari kuna magari maalum kwa rough road .... Toyota Landcruiser V8 ni gharama na bora kuliko Land cruiser mkonga.. lakini bado porini Land cruiser mkonga ni durable kuliko V8... its all about mindset ya engineering design ametega kwenye soko lipi...
Angali mwendo kasi zilivyochoka haraka .. service magumashi magari yanawaka moto yenyewe...
Bei mbaya. Tanzania awawezi kununua. La siyo utasikia wakina Maria Sarungi wakilia. Unanunua hizo wakati atuna shule. Magari ya kupima moto nk...Hizi sasa ni balaa speed yake hata camera imeshindwa kupata picha 380km/h dar arusha masaa mawili
View attachment 1850692
View attachment 1850693
View attachment 1850695
Mwonekano. Watu walitaka kuona nashangingi na macho ya mchina.kama zile za Japani na ulaya. Wanatuletea kama za Kenya!?Samahani mkuu inabidi nisikubaliane na wewe kwa maelezo yako ya kwenye paragraph yako ya mwisho kuwa South Korea wana treni nyingi nzuri. Treni nzuri ambayo nimeiona ni hiyo KTX kidogo. Lakini hizo nyingingine huwezi kuzitumia kama treni za kusafirisha abilia wano safiri masafa marefu.
Hizo ni treni za kupiga masafa ya Bagamoyo na Kibaha, lakini sio masafa ya Mwanza au Dodoma.
Hivyo vichwa vinafaa kuvuta mabehewa ya.mizigo labda,.lakini sio kusafirisha abiria.
Exactly. Dude kama hili. Ukiliona tu kwa mbali mwili wenyewee unasisimka kwa shauku ya kutaka kusafiri nalo na kulingishia ulimwengu kuwa sisi manigger nasi tunaweza pia kuwa na kitu kama.Masanja sie tunataka dubwana kama h ili. Nchi hiI sio maskini by magufuli voice
View attachment 1851473
[emoji1][emoji1][emoji1]Mwonekano. Watu walitaka kuona nashangingi na macho ya mchina.kama zile za Japani na ulaya. Wanatuletea kama za Kenya!?
Asante sana mkuu kwa mchango wako. Nikianza na mchango wako kwenye paragraph yako ya mwisho kuhusu Mabasi ya mwendo Kasi naweza tu kukuambia kwamba sijui ulikuwa ushauri wa nani na kwa madhimuni gani?
Concept ya huu mradi naiona haikuwa imetazamwa kwa kina zaidi toka mwanzo. Kuna mambo mengi ambayo yanaonyesha kuwa huu mradi toka kubuniwa kwake haukuwa na malengo ya kuleta matokeo chanya.
Sababu ya kwanza na kubwa ni kupigwa vita na matajiri wanao endesha biashara zao za usafiri kama; daladala, TAXI, Bajaji, Bodaboda na kadhalika. Hawa hawataufurahia huu mradi hata mara moja, kwani wanaona una wanyima riziki zao za kujipatia kipato kutokana na kukosekana kwa abiria ambao watakuwa wanatumia huduma hii nafuu, kama ilivyo hivibsasa jinsi SGR inavyopigwa vita na waendesha biashara ya malori na mabasi ya abiria yaendayo mikoani.
Sababu ya pili ninayo iona mimi ni concept ya miundo mbinu za barabara na vituo vya mabasi. Tatizo letu sisi watanzania na hasa wahusika wakuu wa kupanga, kuratibu na kuiendesha hiyo miradi, mara nyingi wanakosa visions na uelewa wa kufanya biashara.
Najua wengi watakuwa wamesomea namna ya kuendesha biashara ya vitega uchumi ambavyo pia ni vitoa huduma, hata hivyo wanakosa maarifa ya kujiongeza wenyewe.
Hapa namaanisha kukosa maarifa ya kuvifanya hivyo vitega uchumi vinavyo toa huduma kuviweka katika mazingira ya kuvutia ili wapate wateja wengi na confortability.
Tunajua kuwa Tanzania ni nchi ya joto, nani sasa alituzuia sisi tusivifanye hivyo vituo vya hayo mabasi na hayo mabasi yenyewe yakawa fully airconditioned? Hakuna. Ni ukosefu wa maarifa mapana tu ya waratibu na watendaji kufanya Business.
Katika kufanya hivi walitakiwa waelewe kuwa wanaleta ushindani wa kuendesha biashara kwa watoa huduma wingine, kwa kutoa huduma ambayo ni attraktiv na comfortable, kiasi kwamba watoa service wengine nao wakaongeza quality ya Services zao.
Hii ni chachu ya kuinua Standard ya maisha nchini kama tunavyoona hivi sasa watanzania wengi wanavyojitahidi kuwa na nyumba nzuri za mabati every where.
Sababu ya tatu ni vyombo vyenyewe. Kihistoria huko nyuma tulisha kuwa na usafiri wa aina hii. Tulishindwa kwa sababu ya kuto take care mabasi yetu. Yakiharibika ndiyo basi tena hakuna mtu alijihisi yeye kuwa respnsible na hilo. Waliyatekeleza mabasi na wahuni wakatoa vipuli vinavyo faa kwa ajili ya kujitafutia riziki zao.
Ushauri wangu katika hili tusinge endeleza tena usafiri huu wa mabasi badala yake tungeleta usafiri wa airconditioned trams na commuter trains na vituo vyake, ili ku make service attraktive and confortable kama ilivyo kwa wenzetu.
Trams na commuter trais zingesababisha karakana kubwa kufunguliwa na hivyo kupanua wigo wa kitechnolojia kwa vijana wetu na pia maarifa mapana ya ku-create jobs kwa vijana wetu.
Hivi ndivyo miji na watu wanavyo endelea na hivyo ku-create ajira. Dar es salaam ikianza itaenea hata huko mikoani. Aidha tunakosa watu wenye visions kama hizi au watu wenye visions hawasikilizwi na baadhi ya watandaji wenye upeo finyu wa maisha.
Hao ndiyo hao watu ambao wamesha surrender utu wao kwa kumtumikia caucasian. Ni watu wasio jitambua na kujiamini. Hata ufanye nini hutawabadili tena.Bei mbaya. Tanzania awawezi kununua. La siyo utasikia wakina Maria Sarungi wakilia. Unanunua hizo wakati atuna shule. Magari ya kupima moto nk...
Nakusikitikia sana mkuu kwa kuwa na ubongo usio weza kuwa na kumbukumbu nzuri. Sijui unaishi ulimwengu gani? Kama hujasikia mambo ambayo yametokea wakati wa Trump era kuhusu vifaa vya kijeshi na mambo ya NATO, mpaka akasema; "NATO is obsolet", basi jichimbie kaburi ujizike mwenyewe au watu wakuzike, maana inaonekana kama vile umefufuliwa tena kwa kukuyeyusha kutoka kwenye deep freezer za watu wa Timeline yako walikuwa wamekugandisha.mbona marekani sijawai kusikia wakisema trump kanunua treni au biden. raisi ananuaje treni?
[emoji106]Huu ujinga wa kuuziana gari kwa kuweka redio na dash board nzuri ni upuuzi tu.
Sasa wengine design ya nyoka hatutaki hiyo ni nembonya ibilisi tunataka design gogo ishara ya kushiba
Hili no Charu an kengeMkuu wewe unataka muonekana ama ubora na ufanisi wa hiyo mashine?
Tulia vitu vifike hapa na kuanza kazi. Tanzania inajengwa na wenye mamlaka.
Sie tulipe kodi tu.
Hayati Magufuli katufundisha ku-dream Big! Na kweli tume Dream Big ndiyo maana tumepata SGR ya umeme. Wewe katika maisha yako so far ulitegemea leo kuiona treni ya umeme Tanzania?Watanzania ni dreamers! Waota ndoto za Alinacha, yaani mtu anataka serikali ya wanyonge inunue BULLET TRAIN. Mahokaaa ya Pwagu na Pwaguzi.
Dona kantri tunajilinganisha na Japan.
Everyday is Saturday............................... [emoji41]
Aaaa hakianani hizi sikubaliani nazo zina kichwa kama dedede.