Rais Samia, nani kakushauri kununua Treni zenye muundo mbovu namna hii?

Rais Samia, nani kakushauri kununua Treni zenye muundo mbovu namna hii?

Mkuu hapo hapana! Nakataa katakata. Hata kama design zinapisha au kutofautiana, likini sio kwenye hii. Treni gani hii kwenye karne ya 21? Masihala tuyaache huko vijijini.
Unaweza kuta mama alisema tu shugulikien manunuzi nakuamin wew kadogosa na team yako, basi mama akaendelea kupiga usingizi ,asikuambie magu alikuwa anafuatilia sana haya makitu nakumbuka hata tender ya SGR aliifuta maana kuna watu walikuwa wameshaakula 10% , bila shaka hata hii kuna watu wamekula 10% pia
 
Ndiyo mimi nami nilikuwa mstari wa mbele sana kupinga Design ya Ubungo Flyover. Ili niweze kukuthibitishia kuwa nami nilihusika katika jitihada ya kubadili mwonekano wa hiyo Flyover kwa kuangalia Funktionalität yake, anagalia hii link hapa chini;

Safi Sana. Nimeona mchango wako Kwa huo Uzi.
Ulichoelezea kwamba flyover iwe ni more or less the same na original plan ya Ile flyover ya hapo ubungo. So big up for your opinion.
However Mimi nimesema kua plan ilikuja kubadilishwa wakati wa ujenzi na hakuna aliemhoji mwendazake. Lakini sasa hivi SASA mama wa watu mnamsumbuaaaaa Kwa vitu trivial.
 
Unaweza kuta mama alisema tu shugulikien manunuzi nakuamin wew kadogosa na team yako, basi mama akaendelea kupiga usingizi ,asikuambie magu alikuwa anafuatilia sana haya makitu nakumbuka hata tender ya SGR aliifuta maana kuna watu walikuwa wameshaakula 10% , bila shaka hata hii kuna watu wamekula 10% pia
Personal hatred, mlaumu mtu on evidence.

Sio kila kitu chuki tu; hamna jema nyie watu la kushukuru.
 
Hizo zitakuwa ni mitumba (second hand) -- toleo la kwanza la electric trains huko South Korea miaka 20 iliyopita. Model hizo hazitumiki tena huko South Korea ambako ndiko iliko hiyo kampuni ya Hundai. Ni scraps zilizokuwa zimetupwa jalalani. Train hizi wajenzi wa rail yetu toka Utruki ndiyo walifaa kutuchagulia treni zitakazofaa kwa reli yetu na preferrably zingetoka huko huko Utruki. Afadhali hata zingetoka China kwani Uchina ndiyo mwamba wa dunia kwa usafiri wa reli.

Hazifai hata kuwa treni zetu za mizigo kwenye electric SGR yetu. Labda zipelekwe kwenye MGR yetu ya zamani. Kwa shape yake kwa spidi ya zaidi ya 100km per hour zitakuwa zina overturn mara kwa mara. Inahitajika shape ya samaki inayoruhusu airstream kama zilivyo shape za ndege kwa spidi hizo kali za 160 kph. Takukuru wafanye uchunguzi wa manunuzi haya maana kuna harufu ya rushwa. Yaani watu hawamwogopi hata Mungu? How can you do such a thing?
Hata mimi nashangaa inakuwaje machina hakushinda Kwenye hizi tenda maana mara nyingi huwa anakuwa ana bid kwa very lowest price with the stated specification ,lazima kuna rushwa hapa sio bure
 
Kama nchi tumeamua kugharamikia SGR tutashindwaje Kuwa na hizo bullet Kama nchi kwani zinauzwa triillo kwani
Hiyo kampuni ya Hundai kwa utengenezaji wa treni za umeme duniani wala haifahamiki. Ina modeli mbili tu kwa passenger electric trains na moja kwa cargo kama zinavyoonekana hapa chini:


Yaani afadhali tungalichagua hiyo model yao ya kwanza.

1626017422352.png



Badala yake tukachagua hii ya pili ambayo ilikuwa scrap jalalani:

1626017284562.png


Mbona kwenye ununuzi wa ndege tulienda kwenye makampuni yanayojulikana duniani ya Boeing na tuka negotiate bei na kununua Dreamliners mbili na Boeing nne. Hakuna cha lowest competative tender wala mtoto wake kwani utaratibu huo ni wa kutoa mwanya wa rushwa (10% or more) na kuongeza gharama za middle men. Una hela zako unaenda mwenyewe kwenye kiwanda kinachojulikana duniani, unachagua kitu unachopenda cha uhakika, mna negotiate bei, unamlipa cash na kuondoka na kitu chako.
 

Kusema kweli leo nimesikitika sana kuona aina ya muundo wa treni ambayo serikali yetu imeweka mkataba na kampuni ya Hyundai-Rotem ni treni zenye mwonekano wa ki-Hitler!

Mimi nilifikiri tunaondokana na treni zenye muundo wa kutisha za enzi za George and Robert Stephenson na kuingia kwenye era ya treni za umeme zenye kuburudisha macho kwa design kama za wenzetu wajerumani.

Mama samia Suluhu Hassan Rais wetu nani kakupa ushauri wa kutua saini ya makubaliano ya kununua treni za aina hiyo? Mimi sitaki kuamini na sikutegema kama aina ya treni ambazo zitatereza kwenye reli yetu zingekuwa na mwonekano huo kwenye hiyo picha ya taarifa tuliyoipata kwenye Website ya hiyo kampuni iliyo shinda zabuni ya Hyndai-Rotem. Mbona inatisha?

Nitashangaa sana kama upande mmoja tumejitahidi kutengeneza Stations nzuri, za kisasa na zenye mwonekano mzuri na wa kupendeza na kupata system yenye technology mpya, alafu leo tunaambiwa kuwa tunapata treni zenye vichwa na mabehewa ya enzi za Hitler? Ama kweli Tanzania tunawatu ambao kweli hawajui kwenda na na wakati. Watu wasiokuwa na test ya biashara. Mnategemea nani mtampata kwenye kwenye hayo ma-wreck yenu?

Mkurugenzi Kadogosa hii sio treni ambazo models zake mtangazaji wako Beni Mwanantala amekuwa akituonyesha kwenye maonyesho uwanja wa sabasaba kurasini.

That's awful! Are you really serious with this mkurugenzi?

Sasa naomba niambie kuna tofauti gani na SGR ya kenya kimwonekano? Inamaana mnatufanya sisi ni masokwe mpaka mnatuletea matakataka kama haya ambayo hakuna mtu anaye yataka?

Waziri wa Ujenzi na uchukuzi hivi ni sahihi kweli sisi watanzania mtusweke kwenye ma-wagon yanayo onekana kama treni za kusafirisha mizigo na wanyama kama haya ambayo hata hayavutii? Mmepewa bure nini? Ama ndiyo tuseme mmedhamiria nini kutuletea? Tuambieni?

Nilipokuwa kwenye jengo lenu la maonyesho ya sabasaba mwaka jana na kujionea mwenyewe models za treni na mabehewa ambayo Mr. Mwanantala alitupa maelezo yake, aisee, nilifarijika sana sana moyoni na niliwaombea baraka nyingi kwa muumba wetu za kuwaongoza vizuri katika shughuli zenu za kuwatumikia Watanzania.

Sikutegemea kabisa kuwa leo ingekuwa siku ya majonzi makubwa kwa kuona au kusikia mashine zitakazo tereza kwenye reli yetu ya kisasa ya SGR kumbe ni madudu ambayo yamepitwa na wakati na yasiyo na mvuto hata lidogo. ES IST SCHRECKLICH!

Kila kitu Magu alikuwa kamaliza. Soma hapa: South Korean firm to supply SGR trains to Tanzania Samia hahusiki kabisa!
 
Humu ndani watu wanavyongea utadhani wao wana drive ma ferrari na ma Bugatti...kumbe vi baby walker second hand...bora ht serikali inanunua brand new...[emoji1787][emoji1787]

kifupi ni kua serikali imenunua hizo treni kulingana uwezo wake ki fedha na uwezo wa reli yenyewe...huwezi kununua bullet train ya 350km/h ukaileta kwenye rail yetu ya 160km/h hio ni under utilization na matumizi mabaya ya fedha za umma.
But still train zetu zitakua bora kuliko za Majirani zetu.
Umenikumbusha Bugatti ya Hajji Manara wa mikia anavyojiita wakati hana
 
Hata mimi nashangaa inakuwaje machina hakushinda Kwenye hizi tenda maana mara nyingi huwa anakuwa ana bid kwa very lowest price with the stated specification ,lazima kuna rushwa hapa sio bure
Hizi tender za competative bidding huwa ni rushwa tupu. Ndege zetu za Dreamliners na zile Airbus tulienda wenyewe kwenye hivyo viwanda vinavyojulikana duniani kama vinara wa kutengeneza ndege. Tukachagua specifications tunazotaka, tuka negotiate bei, tukawalipa cash na kupata discount ya 10%. Hakuna cha middle man wala cha kushindanisha tender. Huwezi ukavishindanisha viwanda. Unachagua kiwanda madhubuti kinachotengeneza bidhaa bora zinazoaminika duniani unachoweza kumudu bei zake.

Hawa jamaa walipaswa kufanya kama tulivyofanya kwenye ndege. Wangalienda China kwenye kiwanda kikubwa kinacho ongoza duniani kwa utengenezaji wa electric trains na kuchagua kati ya zile treni bora duniani kwa sasa. Korea kusini wanachokiweza ni hiyo simu ya Smsung tu. Hundai hata magari yao hayana soko au ubora duniani!
 

Kusema kweli leo nimesikitika sana kuona aina ya muundo wa treni ambayo serikali yetu imeweka mkataba na kampuni ya Hyundai-Rotem ni treni zenye mwonekano wa ki-Hitler!

Mimi nilifikiri tunaondokana na treni zenye muundo wa kutisha za enzi za George and Robert Stephenson na kuingia kwenye era ya treni za umeme zenye kuburudisha macho kwa design kama za wenzetu wajerumani.

Mama samia Suluhu Hassan Rais wetu nani kakupa ushauri wa kutua saini ya makubaliano ya kununua treni za aina hiyo? Mimi sitaki kuamini na sikutegema kama aina ya treni ambazo zitatereza kwenye reli yetu zingekuwa na mwonekano huo kwenye hiyo picha ya taarifa tuliyoipata kwenye Website ya hiyo kampuni iliyo shinda zabuni ya Hyndai-Rotem. Mbona inatisha?

Nitashangaa sana kama upande mmoja tumejitahidi kutengeneza Stations nzuri, za kisasa na zenye mwonekano mzuri na wa kupendeza na kupata system yenye technology mpya, alafu leo tunaambiwa kuwa tunapata treni zenye vichwa na mabehewa ya enzi za Hitler? Ama kweli Tanzania tunawatu ambao kweli hawajui kwenda na na wakati. Watu wasiokuwa na test ya biashara. Mnategemea nani mtampata kwenye kwenye hayo ma-wreck yenu?

Mkurugenzi Kadogosa hii sio treni ambazo models zake mtangazaji wako Beni Mwanantala amekuwa akituonyesha kwenye maonyesho uwanja wa sabasaba kurasini.

That's awful! Are you really serious with this mkurugenzi?

Sasa naomba niambie kuna tofauti gani na SGR ya kenya kimwonekano? Inamaana mnatufanya sisi ni masokwe mpaka mnatuletea matakataka kama haya ambayo hakuna mtu anaye yataka?

Waziri wa Ujenzi na uchukuzi hivi ni sahihi kweli sisi watanzania mtusweke kwenye ma-wagon yanayo onekana kama treni za kusafirisha mizigo na wanyama kama haya ambayo hata hayavutii? Mmepewa bure nini? Ama ndiyo tuseme mmedhamiria nini kutuletea? Tuambieni?

Nilipokuwa kwenye jengo lenu la maonyesho ya sabasaba mwaka jana na kujionea mwenyewe models za treni na mabehewa ambayo Mr. Mwanantala alitupa maelezo yake, aisee, nilifarijika sana sana moyoni na niliwaombea baraka nyingi kwa muumba wetu za kuwaongoza vizuri katika shughuli zenu za kuwatumikia Watanzania.

Sikutegemea kabisa kuwa leo ingekuwa siku ya majonzi makubwa kwa kuona au kusikia mashine zitakazo tereza kwenye reli yetu ya kisasa ya SGR kumbe ni madudu ambayo yamepitwa na wakati na yasiyo na mvuto hata lidogo. ES IST SCHRECKLICH!

Bora wangepewa SIDO hiyo tender
 

Kusema kweli leo nimesikitika sana kuona aina ya muundo wa treni ambayo serikali yetu imeweka mkataba na kampuni ya Hyundai-Rotem ni treni zenye mwonekano wa ki-Hitler!

Mimi nilifikiri tunaondokana na treni zenye muundo wa kutisha za enzi za George and Robert Stephenson na kuingia kwenye era ya treni za umeme zenye kuburudisha macho kwa design kama za wenzetu wajerumani.

Mama samia Suluhu Hassan Rais wetu nani kakupa ushauri wa kutua saini ya makubaliano ya kununua treni za aina hiyo? Mimi sitaki kuamini na sikutegema kama aina ya treni ambazo zitatereza kwenye reli yetu zingekuwa na mwonekano huo kwenye hiyo picha ya taarifa tuliyoipata kwenye Website ya hiyo kampuni iliyo shinda zabuni ya Hyndai-Rotem. Mbona inatisha?

Nitashangaa sana kama upande mmoja tumejitahidi kutengeneza Stations nzuri, za kisasa na zenye mwonekano mzuri na wa kupendeza na kupata system yenye technology mpya, alafu leo tunaambiwa kuwa tunapata treni zenye vichwa na mabehewa ya enzi za Hitler? Ama kweli Tanzania tunawatu ambao kweli hawajui kwenda na na wakati. Watu wasiokuwa na test ya biashara. Mnategemea nani mtampata kwenye kwenye hayo ma-wreck yenu?

Mkurugenzi Kadogosa hii sio treni ambazo models zake mtangazaji wako Beni Mwanantala amekuwa akituonyesha kwenye maonyesho uwanja wa sabasaba kurasini.

That's awful! Are you really serious with this mkurugenzi?

Sasa naomba niambie kuna tofauti gani na SGR ya kenya kimwonekano? Inamaana mnatufanya sisi ni masokwe mpaka mnatuletea matakataka kama haya ambayo hakuna mtu anaye yataka?

Waziri wa Ujenzi na uchukuzi hivi ni sahihi kweli sisi watanzania mtusweke kwenye ma-wagon yanayo onekana kama treni za kusafirisha mizigo na wanyama kama haya ambayo hata hayavutii? Mmepewa bure nini? Ama ndiyo tuseme mmedhamiria nini kutuletea? Tuambieni?

Nilipokuwa kwenye jengo lenu la maonyesho ya sabasaba mwaka jana na kujionea mwenyewe models za treni na mabehewa ambayo Mr. Mwanantala alitupa maelezo yake, aisee, nilifarijika sana sana moyoni na niliwaombea baraka nyingi kwa muumba wetu za kuwaongoza vizuri katika shughuli zenu za kuwatumikia Watanzania.

Sikutegemea kabisa kuwa leo ingekuwa siku ya majonzi makubwa kwa kuona au kusikia mashine zitakazo tereza kwenye reli yetu ya kisasa ya SGR kumbe ni madudu ambayo yamepitwa na wakati na yasiyo na mvuto hata lidogo. ES IST SCHRECKLICH!

Pesa yenu Mtanzania
 
Baada ya kufanya utafiti wa kina kuhusu ile mitungi ya chang'aa sasa naweza kuja kuchangia zaidi.
Nadhani kwenye hiyo picha unaoneka.

Kwanza nataka kusema hii kampuni ya kikorea iko vizuri, wanauzoefu wa kutosha kwenye haya mambo. Kazi walizofanya nyingi zinaonekana kwenye tovuti yao.

Sasa kwenye ile mitungi ya chang'aa nahisi kuna iwezekano mkubwa sana ikaja huku kwetu. Kwe sababu zifuatazo
1: ile mitungi Korail walidesign mahususi kwa ajili ya Turkish Railways na watu wanotujemgea hii reli ni hao hao waturuki.

2: wakorea waliwapa leseni waturuki wakitengeneze kwao. Inamaanisha kwamba ni treni za kikorea ila zinatengenizwa uturuki. Na kutokana na hali ya sasa kwa mturuki ndo mpango mzima kwenye huu mradi kuna uwezekano mkubwa wakatubambika huu uchafu.

Kwa tamati, naona kama kuna kila dalili kwamba hizo ndo zitakuwa treni zetu za "kisasa" na jinsi nchi yetu ilivyo, hakuna la kufanya kabisa.

Ila tusife moyo. Tuendelee kupiga kelele humu ndani labda mama atatusikia au haya makelele yakamgusa kadogosa na akajikamua tukapata treni zingine. Maana kitreni nzuri hao wakorea wanazo kibao. Nisisi tu wenyewe kukomaa.
Screenshot_2021-07-11-19-05-29.jpeg
 
PESA YAKO. Ni kama magari, unataka ya aina gani? Hii ndiyo pesa yetu. China wana nzuri sana kuliko hii ya Hyundai Rotem. Ni sawa na KIA ya tani moja. Siyo Hyundai sonata
 
Kadogosa na wenzake wote wametutapeli kisaikolojia. Kama matreni yenyewe ndo haya basi si wangetuambia kitambo.

Wametuaminisha kwamba wanaleta kitu cha kisasa, wakatuwekea na mapicha. Wakatuletea na models zake halafu mwishowa siku ndo haya.

Hii sio fea. Bora mngeuchuna tu, lakini sio kwa promo ile. Kwa kweli mmetuvunja moyo sana.

hahahahahahahahahahahahahahahahaha.........

mlikua mnakubali kudanyanywa kua mnaletewa treni za umeme.

hahahahahahahahahahahahaha.......
kwa umeme upi wa kuendeshea treni!?
 
Hizi tender za competative bidding huwa ni rushwa tupu. Ndege zetu za Dreamliners na zile Airbus tulienda wenyewe kwenye hivyo viwanda vinavyojulikana duniani kama vinara wa kutengeneza ndege. Tukachagua specifications tunazotaka, tuka negotiate bei, tukawalipa cash na kupata discount ya 10%. Hakuna cha middle man wala cha kushindanisha tender. Huwezi ukavishindanisha viwanda. Unachagua kiwanda madhubuti kinachotengeneza bidhaa bora zinazoaminika duniani unachoweza kumudu bei zake.

Hawa jamaa walipaswa kufanya kama tulivyofanya kwenye ndege. Wangalienda China kwenye kiwanda kikubwa kinacho ongoza duniani kwa utengenezaji wa electric trains na kuchagua kati ya zile treni bora duniani kwa sasa. Korea kusini wanachokiweza ni hiyo simu ya Smsung tu. Hundai hata magari yao hayana soko au ubora duniani!
Lakin CAG akikagua huwa anasema mabilioni yamepotea kwa sababu taratibu za manunuzi hazikufuatwa na huku mtandao tunashangilia Kuwa serika imeiba hela kwa Kuwa hamna competitive tender
 
Back
Top Bottom