Rais Samia naomba umwambie Kamala Harris, Tanzania ushoga ni 'NO'

Sikukosea kukuita lile jina.
Na sasa hivi naenda kukuongezea lingine.
Hivi una noma gani na mimi,nini nimekuchukulia,mbona kunifatafata,kila muda kunisema sema,nhee unataka niondoke humu jf...acha ligi za kitoto,fanya mambo yako aisee
 
Social vices kama ushoga na usagaji haviwezi kuchukuliwa kama vitu vinavyofaa kutungiwa sheria ya kuvitambua, kwa sababu kuna nguvu kubwa za kiushawishi na kifedha kusukuma hii ajenda ya kishetani tukae macho na kuchukua tahadhari hasa kufuatilia mienendo ya watoto wetu.
 
Hivi una noma gani na mimi,nini nimekuchukulia,mbona kunifatafata,kila muda kunisema sema,nhee unataka niondoke humu jf...acha ligi za kitoto,fanya mambo yako aisee
Basi MAWEED naomba unisamehe.
I am really really sorry [emoji120]
 
Context ya hizo statements ni ulaya sio Africa Sasa kwanini ujumuishe ukristo as if waanglikana wa tukuyu Mbeya wameafiki?

Ni sawa na magaidi wa ISIS au msimamo wa Ayatollah wa Iran ndio useme ni msimamo wa sheikh wa Mkalama?

vipi kuhusu lile kanisa la Pentecoste lililofungiwa hapa nchini kwa tuhuma za kujihusisha na ushoga na limepewa altmatum ya kwanini lisifutwe, unasemaje hilo sio kanisa ndani ya Tz??-
Sio kanisa la pentecostal Ile ni ministry sio KANISA mtofautishe haya mambo. So msimamo wa mtu mmoja usiingizwe kwa wakristo wote. Hta Kuna msikiti uliruhusu mashoga kusali ila je huo ni msimamo wa waislam wote?
 
Mashoga bhana mjue mnakera ile mbaya

Unaacha kukerwa na huduma mbovu unakerwa na jambo la hovyo.

Mtaani kuna mashoga wangapi? Afu jiulize lini mara ya mwisho mlipata maji na umeme wa uhakika kama hadi leo mnapewa misaada ya vyoo vya shule.

Hao mashoga ndo unatumia technology yao na wanakupa misaada yote wakati wewe straight man huna hata kiwanda cha toothpicks.

Mnatumia rungu kuua sisimizi. Hizi ndo akili za miafrika.
 
We kweli KICHAA

Mashoga wamejaa huko mitaanii halafu unataka kumsingizia Kamala kuwa yeye ndo analeta ushoga! UJINGER.

Nyie ndo mnafumuana marinda huko magetoni KWENYU, acha kumsingizia KAMALA.
 

Mkuu upo nje ambako watu wana uhuru wote, umewahi kuona mtu kalazimishwa kuwa shoga? Nitajie mfano mmoja tu wa mtu kulazimishwa kuwa shoga au straight.

Kuna nchi ushoga ni halali kisheria kama South Africa na Spain au Canada nani kalazimishwa kuwa shoga huko? Nguvu kazi kwenye hizo nchi imepungua? Nchi gani zina uchumi mkubwa kati ya hizo na hizi shitholes coutries zetu huko Africa?

I'm not advocating for it wala sisemi TZ ihalalishe ushoga ila nasema wabongo or waafrika rather wanatumia nguvu kubwa kudiscuss mambo finyu sana yasiyo na tija kwenye jamii zao. Wanacheza ngoma zisizo wahusu
 
Hawa wapinga ushoga wajinga sana ni kama hawaelewi wanachozungumza kabisa.

Wanaongea kama MAMBUZIII
 
Trueeee
 

Word mkuu. Ushoga unaanza au kupingwa at a family-level sio kwa policy za serikali.

Kuna nchi kama Taiwan zinakuli ushoga ila ni almost hakuna ushoga kule wakati huo huo Zenji wanakopinga ushoga kwa nguvu zote kila mtu anajua michezo yao.
 
Kweliiiiiii
 

Asante mkuu. Miafrika haioni hii.
 
Serikali na jamii ku-endorse ushoga na usagaji ni kuupa nguvu kusambaa zaidi sababu kuna nguvu kubwa ya kiushawishi na kifedha na pia kuna roho chafu ya kishetani nyuma yake, ni sawa na kumwagia petroli moto ambao tayari unawaka.​
 
Point yangu ni kwamba kila nchi iwe huru kuamua mambo yake yenyewe,kama kuna nchi imehalalisha ushoga hayo ni matakwa yao,misaada isitumike kama silaha kwa wengine kufuata atakalo mtoa misaada.
 
Hakika kabisa!!!
Wakati tunapambana na ushoga ,tunasahau kabisa vita ya umasikini na ujinga ,
Watu wanaumiza vichwa na kuvumbua na kutatua changamoto , ,ipo siku tutakunywa dawa ya maleria , mvumbuzi ni shoga huko USA.
Usipopambana na USHOGA, utalima vp?

Shoga anaweza Lima hata tuta moja?
 
Usipopambana na USHOGA, utalima vp?

Shoga anaweza Lima hata tuta moja?
Umekariri kila mtu atalima ili aishi, huyo Tim cook analima?.
Halafu for the sake of the best both worlds penda sana kupambana vita utakayoshinda , mashoga wapo wengi sana ni vile tu hatutaki ku admit tatizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…