Poleni Watanzania.
Kwako Mama Samia Suluhu, nakuomba sana uturudishie haki yetu iliyopotea ghafla ya fao la kujitoa NSSF. Nakuomba sana futa sheria kandamizi dhidi ya Wafanyakazi. Mtu anaacha kazi kafanya miakaa 15 au 20 halafu unakuja kumwambia asubirie mpaka afikishe miaka 55 au 60 je hii ni sahihi? Nakuomba sana rudisha mfumo ule ule wa JK ukijitoa unapewa chako basi mambo yanaendelea.
Kumbuka mtu huyo kalipa kodi zake zote lakini siku akifukuzwa kazi anajifariji na fedha zake zilizopo NSSF lakini cha kushangaza mtu huyo unamminya na kumwambia asubirie miaka 60.
Nakuomba sana baada ya kukabidhiwa kiti anza na hili, pia piga panga Sheria kandamizi.
Kwako Mama Samia Suluhu, nakuomba sana uturudishie haki yetu iliyopotea ghafla ya fao la kujitoa NSSF. Nakuomba sana futa sheria kandamizi dhidi ya Wafanyakazi. Mtu anaacha kazi kafanya miakaa 15 au 20 halafu unakuja kumwambia asubirie mpaka afikishe miaka 55 au 60 je hii ni sahihi? Nakuomba sana rudisha mfumo ule ule wa JK ukijitoa unapewa chako basi mambo yanaendelea.
Kumbuka mtu huyo kalipa kodi zake zote lakini siku akifukuzwa kazi anajifariji na fedha zake zilizopo NSSF lakini cha kushangaza mtu huyo unamminya na kumwambia asubirie miaka 60.
Nakuomba sana baada ya kukabidhiwa kiti anza na hili, pia piga panga Sheria kandamizi.