Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cha bure kipi hapo au we kipofuWatanzaniaz wanapenda vya bure, duuuh!
Napendekeza akimaliza suala la fao la kujitoa wafanyakazi wapate haki zao pia awaamuru watoa huduma za simu wafungulie line zote zilizofungwa kwa amri ya serikali mpaka NIDA wamalize zoezi la kutoa vitambulisho vya taifa kwa sababu watu wengi hasa vijijini wanateseka sana kwa kukosa simu.We jamaa una akili sana hilo mimi limenigusa kwa asilimia zote pesa zangu wanazo nssf alafu tunasota mtaani
Mkuu hicho siyo cha bure. Ni jasho la mchangiaji kijana anayehitaji fedha hizo zimsaidie kuanzisha biashara baada ya kukoma kwa ajira.Watanzaniaz wanapenda vya bure, duuuh!
Hao ndio MATAGA aka Zero Brain ,yaani anasema wazi kabisa kwamba fedha za NSSF ni za bure ,hajui hata zinapatikana vipi na ndio wao waliokuwa wanasifia UTOPOLO.Mkuu hicho siyo cha bure. Ni jasho la mchangiaji kijana anayehitaji fedha hizo zimsaidie kuanzisha biashara baada ya kukoma kwa ajira.
Kila mtanzania atalipa, Watuambie kila mtu anadaiwa sh ngapi Mimi nilipe langu.Deni la Taifa limefika ngapi? Na atalipa nani?
Kwani NSSF Mali ya marehemu?Marehemu hajazikwa mnaanza kugombea Mirathi