mazaga one
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,514
- 4,042
- Thread starter
-
- #21
Una maanisha au unaongea ilimradihakuna ushahidi wowote popote, success can be tracked kuanzia shuleni mpaka kwenye career, sijaona popote kwamba ni overachiever, hivyo unatuletea stories za kweny midundiko tu, huwezi ku fake success, hata hivyo nyota njema huonekana asubuhi Waswahili tunasema na mpaka sasa hivi ni disappointments tu …
Naimani ndio jibu sahihi,posho gani hiyo unayoizungumzia?Umeulizwa umeshalipwa posho??, hivi kweli jibu lake ni hilo?
Posho ya kujikimu njaa ya siku.Naimani ndio jibu sahihi,posho gani hiyo unayoizungumzia?
Duuhh aisee siijui hiyoPosho ya kujikimu njaa ya siku.
Hana lolote huyu mtu anauza kila kitu cha watanganyika.Nawasalimu Kwa Jina la JMT.
Kama Thread inavyojieleza,Huyu Mhe.Rais Samia Mimi binafsi naona amebeba maono makubwa sana ya Nchi hii, malengo yake ni makubwa,kila nikimtazama natamani Watanzania wote muelewe Dhamira yake ilivyo Kubwa ya maendeleo na kuifanya Tanzania kama Ulaya.
Sababu Kubwa nazoziona ni hizi,Rais Samia alikuwa ndani ya utawala uliopita Tena Jikoni kabisa,na aliona madhaifu ya mwenzake na mengine aliweza Kujifunza akiwa Na mwenzake,Leo hii kapata fursa ya Kuwa Rais Yale yote ambayo yalikuwa madhaifu ya mtangalizi wake anayafanyia kazi.
Binafsi mpaka Sasa Mimi Samia Namkubali sana na ninampenda sana Mama yetu Huyu,na ninamuombea Kwa Mungu siku zote azidi kufanya kazi hii bila kuchoka,najua Watanzania huwa hawaridhiki hata ufanye zuri kisasi gani...Ila uzuri wake ni wachache tu wa Mitandaoni.
Mama Samia kama inasoma huu ujumbe,mama piga kazi tuletee maendeleo,naomba tu suala la
1. Umeme mama upige mwingi
2. Suala na Ajira ushaupiga mwingi na Bado unaupiga mwingi
3. Barabara mikataba kibao tunaona, ujenzi unaendelea Kwa Kasi Kubwa kama ilani inavyosema.
4. Suala la Afya umejenga vituo vingi vya afya na umenunua vifaa vya kisasa,siku hizi hadi kwenye zahanati za vijijini Watu wanafanya Vipimo vya Maabara Kwa ubora ule ule....
5. Twende michezo,mama umezidi kuupiga mwingi
6. Diplomasia ndio kabisaa Nchi yetu Sasa ni moto,
7. Mazingira ya Uwekezaji ndio kabisa mama umeweka mazingira Bora Sana,na kila siku wageni wanafurika Tanzania Kwa kuwa Serikali yako imefungua Nchi na kuweka mazingira Bora kabisa ya Uwekezaji..
Ombi langu kwako Mhe.Rais wetu...
Nakuomba sana Rais siku Moja waalike Wasomi kutoka Vyuo vyetu hasa Maprofessor na Madokta kadhaa kutoka Vyuo vyote Nchini angalua ukutane nao Ikulu waweze kukaa meza Moja na wewe kama Kuna mambo kadhaa wakushauri pia,naimani watakuongezea kitu..
Yote Kwa yote Nasema Kazi Iendelee.
Una uhakika yeye ndiye anayeongoza nchi?Nawasalimu Kwa Jina la JMT.
Kama Thread inavyojieleza,Huyu Mhe.Rais Samia Mimi binafsi naona amebeba maono makubwa sana ya Nchi hii, malengo yake ni makubwa,kila nikimtazama natamani Watanzania wote muelewe Dhamira yake ilivyo Kubwa ya maendeleo na kuifanya Tanzania kama Ulaya.
Sababu Kubwa nazoziona ni hizi,Rais Samia alikuwa ndani ya utawala uliopita Tena Jikoni kabisa,na aliona madhaifu ya mwenzake na mengine aliweza Kujifunza akiwa Na mwenzake,Leo hii kapata fursa ya Kuwa Rais Yale yote ambayo yalikuwa madhaifu ya mtangalizi wake anayafanyia kazi.
Binafsi mpaka Sasa Mimi Samia Namkubali sana na ninampenda sana Mama yetu Huyu,na ninamuombea Kwa Mungu siku zote azidi kufanya kazi hii bila kuchoka,najua Watanzania huwa hawaridhiki hata ufanye zuri kisasi gani...Ila uzuri wake ni wachache tu wa Mitandaoni.
Mama Samia kama inasoma huu ujumbe,mama piga kazi tuletee maendeleo,naomba tu suala la
1. Umeme mama upige mwingi
2. Suala na Ajira ushaupiga mwingi na Bado unaupiga mwingi
3. Barabara mikataba kibao tunaona, ujenzi unaendelea Kwa Kasi Kubwa kama ilani inavyosema.
4. Suala la Afya umejenga vituo vingi vya afya na umenunua vifaa vya kisasa,siku hizi hadi kwenye zahanati za vijijini Watu wanafanya Vipimo vya Maabara Kwa ubora ule ule....
5. Twende michezo,mama umezidi kuupiga mwingi
6. Diplomasia ndio kabisaa Nchi yetu Sasa ni moto,
7. Mazingira ya Uwekezaji ndio kabisa mama umeweka mazingira Bora Sana,na kila siku wageni wanafurika Tanzania Kwa kuwa Serikali yako imefungua Nchi na kuweka mazingira Bora kabisa ya Uwekezaji..
Ombi langu kwako Mhe.Rais wetu...
Nakuomba sana Rais siku Moja waalike Wasomi kutoka Vyuo vyetu hasa Maprofessor na Madokta kadhaa kutoka Vyuo vyote Nchini angalua ukutane nao Ikulu waweze kukaa meza Moja na wewe kama Kuna mambo kadhaa wakushauri pia,naimani watakuongezea kitu..
Yote Kwa yote Nasema Kazi Iendelee.
Amchukue tuNi Raisi wa kuigwa Mungu amfanyie wepesi
Basi Mpwa kila la heri, mengine nitakushauri inboxHahaha Mkuu Elli nakuheshimu sana, naheshimu kuanzia threads zako na madini yako...
Mimi nasema ukweli wa moyo wangu,nampenda Rais Samia.Sina haja ya kuweka namba ya Simu.Najua akihitaji kunipata atanipata popote pale.JF hii ni dude Kubwa sana.
Karibu sana Mkuu,nitashukuru sana Kuja kunipa Ushauri wako.Basi Mpwa kila la heri, mengine nitakushauri inbox
Nawasalimu Kwa Jina la JMT.
Kama Thread inavyojieleza,Huyu Mhe.Rais Samia Mimi binafsi naona amebeba maono makubwa sana ya Nchi hii, malengo yake ni makubwa,kila nikimtazama natamani Watanzania wote muelewe Dhamira yake ilivyo Kubwa ya maendeleo na kuifanya Tanzania kama Ulaya.
Sababu Kubwa nazoziona ni hizi,Rais Samia alikuwa ndani ya utawala uliopita Tena Jikoni kabisa,na aliona madhaifu ya mwenzake na mengine aliweza Kujifunza akiwa Na mwenzake,Leo hii kapata fursa ya Kuwa Rais Yale yote ambayo yalikuwa madhaifu ya mtangalizi wake anayafanyia kazi.
Binafsi mpaka Sasa Mimi Samia Namkubali sana na ninampenda sana Mama yetu Huyu,na ninamuombea Kwa Mungu siku zote azidi kufanya kazi hii bila kuchoka,najua Watanzania huwa hawaridhiki hata ufanye zuri kisasi gani...Ila uzuri wake ni wachache tu wa Mitandaoni.
Mama Samia kama inasoma huu ujumbe,mama piga kazi tuletee maendeleo,naomba tu suala la
1. Umeme mama upige mwingi
2. Suala na Ajira ushaupiga mwingi na Bado unaupiga mwingi
3. Barabara mikataba kibao tunaona, ujenzi unaendelea Kwa Kasi Kubwa kama ilani inavyosema.
4. Suala la Afya umejenga vituo vingi vya afya na umenunua vifaa vya kisasa,siku hizi hadi kwenye zahanati za vijijini Watu wanafanya Vipimo vya Maabara Kwa ubora ule ule....
5. Twende michezo,mama umezidi kuupiga mwingi
6. Diplomasia ndio kabisaa Nchi yetu Sasa ni moto,
7. Mazingira ya Uwekezaji ndio kabisa mama umeweka mazingira Bora Sana,na kila siku wageni wanafurika Tanzania Kwa kuwa Serikali yako imefungua Nchi na kuweka mazingira Bora kabisa ya Uwekezaji..
Ombi langu kwako Mhe.Rais wetu...
Nakuomba sana Rais siku Moja waalike Wasomi kutoka Vyuo vyetu hasa Maprofessor na Madokta kadhaa kutoka Vyuo vyote Nchini angalua ukutane nao Ikulu waweze kukaa meza Moja na wewe kama Kuna mambo kadhaa wakushauri pia,naimani watakuongezea kitu..
Yote Kwa yote Nasema Kazi Iendelee.
Wanatuona sis maboya ww waache tu tunawaesabia tu maana kila repot ikija ni hasara tupuRipoti ya CAG ya wizi wa matrilioni ameishia kutuzuga na Speech yake ya "Mastupid".
Ila maza ivi izi anaandikiwagwa na zuhura yunus?Dhamira ya Samia👇
View attachment 2749715
Ni kweli ni suala la muda tu ataondoka kwani ni kichaa peke anayeweza kuamini kwamba ana dhamira na nchiNawasalimu Kwa Jina la JMT.
Kama Thread inavyojieleza,Huyu Mhe.Rais Samia Mimi binafsi naona amebeba maono makubwa sana ya Nchi hii, malengo yake ni makubwa,kila nikimtazama natamani Watanzania wote muelewe Dhamira yake ilivyo Kubwa ya maendeleo na kuifanya Tanzania kama Ulaya.
Sababu Kubwa nazoziona ni hizi,Rais Samia alikuwa ndani ya utawala uliopita Tena Jikoni kabisa,na aliona madhaifu ya mwenzake na mengine aliweza Kujifunza akiwa Na mwenzake,Leo hii kapata fursa ya Kuwa Rais Yale yote ambayo yalikuwa madhaifu ya mtangalizi wake anayafanyia kazi.
Binafsi mpaka Sasa Mimi Samia Namkubali sana na ninampenda sana Mama yetu Huyu,na ninamuombea Kwa Mungu siku zote azidi kufanya kazi hii bila kuchoka,najua Watanzania huwa hawaridhiki hata ufanye zuri kisasi gani...Ila uzuri wake ni wachache tu wa Mitandaoni.
Mama Samia kama inasoma huu ujumbe,mama piga kazi tuletee maendeleo,naomba tu suala la
1. Umeme mama upige mwingi
2. Suala na Ajira ushaupiga mwingi na Bado unaupiga mwingi
3. Barabara mikataba kibao tunaona, ujenzi unaendelea Kwa Kasi Kubwa kama ilani inavyosema.
4. Suala la Afya umejenga vituo vingi vya afya na umenunua vifaa vya kisasa,siku hizi hadi kwenye zahanati za vijijini Watu wanafanya Vipimo vya Maabara Kwa ubora ule ule....
5. Twende michezo,mama umezidi kuupiga mwingi
6. Diplomasia ndio kabisaa Nchi yetu Sasa ni moto,
7. Mazingira ya Uwekezaji ndio kabisa mama umeweka mazingira Bora Sana,na kila siku wageni wanafurika Tanzania Kwa kuwa Serikali yako imefungua Nchi na kuweka mazingira Bora kabisa ya Uwekezaji..
Ombi langu kwako Mhe.Rais wetu...
Nakuomba sana Rais siku Moja waalike Wasomi kutoka Vyuo vyetu hasa Maprofessor na Madokta kadhaa kutoka Vyuo vyote Nchini angalua ukutane nao Ikulu waweze kukaa meza Moja na wewe kama Kuna mambo kadhaa wakushauri pia,naimani watakuongezea kitu..
Yote Kwa yote Nasema Kazi Iendelee.
Sasa Hv kiongozi yeyote mwenye akili kubwa atasoma tu alama za nyakati basi,yaani unawaongoza watu wa aina gani,maisha yao yakoje? Yanafuraha au yamejaa huzuni na mateso,je wanaona furaha kuwa ktk nchi yao,je wanawafurahia viongozi wao pasipo unafiki hapo hakuna cha kukusanya maprofesa wala madokta,SIKILIZA WATANZANIA WANASEMA NN na sio maprofesa na madokta utapoteza muda tu bure.Mathalan unamsikiliza profesa kama Mkandala utapata nn zaidi ya usahauri wa kijinga uliojaa unafiki na kujipendekeza.Nawasalimu Kwa Jina la JMT.
Kama Thread inavyojieleza,Huyu Mhe.Rais Samia Mimi binafsi naona amebeba maono makubwa sana ya Nchi hii, malengo yake ni makubwa,kila nikimtazama natamani Watanzania wote muelewe Dhamira yake ilivyo Kubwa ya maendeleo na kuifanya Tanzania kama Ulaya.
Sababu Kubwa nazoziona ni hizi,Rais Samia alikuwa ndani ya utawala uliopita Tena Jikoni kabisa,na aliona madhaifu ya mwenzake na mengine aliweza Kujifunza akiwa Na mwenzake,Leo hii kapata fursa ya Kuwa Rais Yale yote ambayo yalikuwa madhaifu ya mtangalizi wake anayafanyia kazi.
Binafsi mpaka Sasa Mimi Samia Namkubali sana na ninampenda sana Mama yetu Huyu,na ninamuombea Kwa Mungu siku zote azidi kufanya kazi hii bila kuchoka,najua Watanzania huwa hawaridhiki hata ufanye zuri kisasi gani...Ila uzuri wake ni wachache tu wa Mitandaoni.
Mama Samia kama inasoma huu ujumbe,mama piga kazi tuletee maendeleo,naomba tu suala la
1. Umeme mama upige mwingi
2. Suala na Ajira ushaupiga mwingi na Bado unaupiga mwingi
3. Barabara mikataba kibao tunaona, ujenzi unaendelea Kwa Kasi Kubwa kama ilani inavyosema.
4. Suala la Afya umejenga vituo vingi vya afya na umenunua vifaa vya kisasa,siku hizi hadi kwenye zahanati za vijijini Watu wanafanya Vipimo vya Maabara Kwa ubora ule ule....
5. Twende michezo,mama umezidi kuupiga mwingi
6. Diplomasia ndio kabisaa Nchi yetu Sasa ni moto,
7. Mazingira ya Uwekezaji ndio kabisa mama umeweka mazingira Bora Sana,na kila siku wageni wanafurika Tanzania Kwa kuwa Serikali yako imefungua Nchi na kuweka mazingira Bora kabisa ya Uwekezaji..
Ombi langu kwako Mhe.Rais wetu...
Nakuomba sana Rais siku Moja waalike Wasomi kutoka Vyuo vyetu hasa Maprofessor na Madokta kadhaa kutoka Vyuo vyote Nchini angalua ukutane nao Ikulu waweze kukaa meza Moja na wewe kama Kuna mambo kadhaa wakushauri pia,naimani watakuongezea kitu..
Yote Kwa yote Nasema Kazi Iendelee.
Hapo kwenye umeme fafanua kidogo sija elewaNawasalimu Kwa Jina la JMT.
Kama Thread inavyojieleza,Huyu Mhe.Rais Samia Mimi binafsi naona amebeba maono makubwa sana ya Nchi hii, malengo yake ni makubwa,kila nikimtazama natamani Watanzania wote muelewe Dhamira yake ilivyo Kubwa ya maendeleo na kuifanya Tanzania kama Ulaya.
Sababu Kubwa nazoziona ni hizi,Rais Samia alikuwa ndani ya utawala uliopita Tena Jikoni kabisa,na aliona madhaifu ya mwenzake na mengine aliweza Kujifunza akiwa Na mwenzake,Leo hii kapata fursa ya Kuwa Rais Yale yote ambayo yalikuwa madhaifu ya mtangalizi wake anayafanyia kazi.
Binafsi mpaka Sasa Mimi Samia Namkubali sana na ninampenda sana Mama yetu Huyu,na ninamuombea Kwa Mungu siku zote azidi kufanya kazi hii bila kuchoka,najua Watanzania huwa hawaridhiki hata ufanye zuri kisasi gani...Ila uzuri wake ni wachache tu wa Mitandaoni.
Mama Samia kama inasoma huu ujumbe,mama piga kazi tuletee maendeleo,naomba tu suala la
1. Umeme mama upige mwingi
2. Suala na Ajira ushaupiga mwingi na Bado unaupiga mwingi
3. Barabara mikataba kibao tunaona, ujenzi unaendelea Kwa Kasi Kubwa kama ilani inavyosema.
4. Suala la Afya umejenga vituo vingi vya afya na umenunua vifaa vya kisasa,siku hizi hadi kwenye zahanati za vijijini Watu wanafanya Vipimo vya Maabara Kwa ubora ule ule....
5. Twende michezo,mama umezidi kuupiga mwingi
6. Diplomasia ndio kabisaa Nchi yetu Sasa ni moto,
7. Mazingira ya Uwekezaji ndio kabisa mama umeweka mazingira Bora Sana,na kila siku wageni wanafurika Tanzania Kwa kuwa Serikali yako imefungua Nchi na kuweka mazingira Bora kabisa ya Uwekezaji..
Ombi langu kwako Mhe.Rais wetu...
Nakuomba sana Rais siku Moja waalike Wasomi kutoka Vyuo vyetu hasa Maprofessor na Madokta kadhaa kutoka Vyuo vyote Nchini angalua ukutane nao Ikulu waweze kukaa meza Moja na wewe kama Kuna mambo kadhaa wakushauri pia,naimani watakuongezea kitu..
Yote Kwa yote Nasema Kazi Iendelee.
Hakuna chawa mwenye AKILI wote ni punguani.Chawa huwa hawana akili wenyewe ni kusifia tu.