MAPITO Mwanza
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 4,236
- 5,907
Tena usikute ni mjumbe wa shinaUnaweza kukuta huyu mtoa mada ni baba wa familia na anategemewa kuiongoza familia yake na kuwapa ushauri........
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena usikute ni mjumbe wa shinaUnaweza kukuta huyu mtoa mada ni baba wa familia na anategemewa kuiongoza familia yake na kuwapa ushauri........
Kuteuliwa kufanya niniUnamaanisha ukiteuliwa utakakataa??
Hawa wakulima kwenye picha hawako kama watu wenye matumaini wala kutambua mikakati ya aina yoyote ile ila wanaonekana kukata tamaa hawana furaha hata kidogo.Wanamatumaini ya kesho yao kuwa njema kwa kuwa wanatambua mikakati ya serikali yao kuwainua kiuchumi kupitia kilimo na kauli mbiu ya kilimo Ni biashara,ambapo kwa Sasa kilimo Ni biashara inayolipa na inayotoa matumaini kwa wakulima wengi kujikwamua kiuchumi
Mamilioni ya watanzania wapi wameridhishwa, unataka kunambia wale wanaolipwa mlungula waandamane kumpongeza ndo wameridhishwa au?.Mamilioni ya watanzania wameridhishwa na Kasi ya kiutendaji ya mh Rais katika kupiga hatua za kimaendeleo kwa Taifa letu, watanzania wameridhishwa na mikakati ya mh Rais katika kukabiliana na changamoto zinazojitokeza mbele yetu, watanzania wameridhishwa na dhamira njema ya mh Rais katika kuijenga nchi yetu na kuipeleka mbele kimaendeleo
Inawezekana ndugu maana watu wa aina hii ndio wanaopendwa na viongozi wa CCMTena usikute ni mjumbe wa shina
Watu wanakwenda kwenye mikutano ya mh Rais kwa hiyari yao wenyewe kwa kutambua kazi kubwa na yakutukuka inayofanywa na mh Rais wetu katika kututumikia watanzaniaMamilioni ya watanzania wapi wameridhishwa, unataka kunambia wale wanaolipwa mlungula waandamane kumpongeza ndo wameridhishwa au?.
Kwanza ameingia na laana tu kwenye hii nafasi ya mchongo...njaa, ukame, vimeandama watanzania km wako kuzimu..
Siku nikimjua hakika nitapata kesi ya kujeruhiInawezekana ndugu maana watu wa aina hii ndio wanaopendwa na viongozi wa CCM
Kuwa chawa mkuu wa mama rasmi.Kuteuliwa kufanya nini
Njaa ukiiendekeza unaweza hata vaa kibwebwe ilhali ni mtoto wa kiume.Hatari sana uteuzi unapiganiwa
Kaaa kimya, nashangaa hata TAKUKURU wamo humu lkn km vile hawaoni kinachoendelea.Watu wanakwenda kwenye mikutano ya mh Rais kwa hiyari yao wenyewe kwa kutambua kazi kubwa na yakutukuka inayofanywa na mh Rais wetu katika kututumikia watanzania
Watanzania wanaonesha namna wanavyompenda kumkubali na kumuunga mkono Rais waoKaaa kimya, nashangaa hata TAKUKURU wamo humu lkn km vile hawaoni kinachoendelea.
Wanachi wanaenda kushangaa mz*m* unaosababisha laana na mikosi kwenye nchi yao
Uharo mtupu ulioandika,amekabiliana na changamoto zipi!!!! Mchele kutoka 1800 mpaka 2800 kwa kilo,sauti za majenereta kila sehemu umeme hakuna,hiyo ruzuku imesaidia nini kama kila kitu kimepanda bei.Acha kusifia ujinga ili upate uteuzi wakati watanzania wenzio wanaumia hizo ni roho za kiibilisi.huyo mama hakufaa kuongoza hata kwa masaa matatu yajayo .Rais Samia kaonyesha ushupavu mkubwa Sana katika kukabiliana na changamoto. Alionyesha ushupavu kipindi Cha mfumuko wa Bei ya mafuta nabolea kwa kutoa Ruzuku ya billion Mia moja kila mwezi katika mafuta na billion Mia moja hamsini katika mbolea na hivyo kupelekea kushuka kwa Bei sokoni.
KabisaRais Samia Ni Rais atakayekumbukwa Sana kwa maendeleo makubwa ya kiuchumi aliyoyaleta na kufanikisha ndani ya muda mfupi. Ameacha Alama za kimaendeleo katika kila secta
Kwamba Ruzuku ya billion Mia moja hamsini katika mbolea hujaona faida take? Kwamba hufahamu kuwa imesaidia kushuka kwa Bei? Kwamba hujuwi kuwa mbolea ya DAP msimu uliopita ilikuwa inauzwa shillingi laki moja na 40 lakini msimu huu inapatikana kwa Elfu 70 tu baada ya kutolewa Ruzuku? Au wewe siyo mtanzania? Au huelewi chochote kile kuhusu kilimo? Au hata jembe hufahamu linafananeje? Au hata mvua yenyewe ukiiona unaikimbia Kama kuku?Uharo mtupu ulioandika,amekabiliana na changamoto zipi!!!! Mchele kutoka 1800 mpaka 2800 kwa kilo,sauti za majenereta kila sehemu umeme hakuna,hiyo ruzuku imesaidia nini kama kila kitu kimepanda bei.Acha kusifia ujinga ili upate uteuzi wakati watanzania wenzio wanaumia hizo ni roho za kiibilisi.huyo mama hakufaa kuongoza hata kwa masaa matatu yajayo .
Kilimo Ni biashara mkuu,hata wewe unaweza kulim tu maana Tanzania tumebalikiwa kuwa na ardhi tele yenye rutuba na kusitawisha kila zaoKabisa
Maharage kilo elf 4200
Kilimo Ni biashara mkuu,hata wewe unaweza kulim tu maana Tanzania tumebalikiwa kuwa na ardhi tele yenye rutuba na kusitawisha kila zao
Ruzuku ya mbolea kwa kilimo kipi?, watu wanalima kwenye ukame.Kwamba Ruzuku ya billion Mia moja hamsini katika mbolea hujaona faida take? Kwamba hufahamu kuwa imesaidia kushuka kwa Bei? Kwamba hujuwi kuwa mbolea ya DAP msimu uliopita ilikuwa inauzwa shillingi laki moja na 40 lakini msimu huu inapatikana kwa Elfu 70 tu baada ya kutolewa Ruzuku? Au wewe siyo mtanzania? Au huelewi chochote kile kuhusu kilimo? Au hata jembe hufahamu linafananeje? Au hata mvua yenyewe ukiiona unaikimbia Kama kuku?
Ana usomi gani huyo naye mbona unampa sifa asiyostahili,hao ni vijana wa ovyo wa bongo daslam wenye tamaa za kifisi ambao wanakamatia kila fursa inayokuja mbele yao,uhandishi wa habari,uwakili,uanasheria,udalali,uchawa,ukuadi,wizi ilimradi mkono uende kinywani .ogopa sana watu wa namna hiyo na kwa jinsi kulivyo na urasimu katika nchi yetu ndio watu wa namna hii wamejaa huko juu eti wanatuongoza na matokeo yake ni nchi iko katika umasikini wa kutisha hadi leo hii.Nawe Mayalla msomi unaunga mkono upumbavu! Mmelogwa nini! Takataka zote hizi!
Kwa hiyo unafikiri mvua haitanyesha? Mimi niliko mvua imeshaanza kunyesha na tayari tunaendelea kupandaRuzuku ya mbolea kwa kilimo kipi?, watu wanalima kwenye ukame.
Acha kuwa na ubishi usiokuwa na maana, kwanza watu wanakula mbolea?. Hivi wanyakyusa kumbe wapo wendawazimu km ww eeh?, ila hapana, wanyakyusa ni watu smart sana.