Rais Samia ni dereva hodari, shupavu jasiri na mahiri wa taifa letu, Watanzania waridhishwa na kasi yake

Gombea uongozi ili uje utuongoze na uone Kama utachaguliwa kwa Sera zako hizo za matusi
 

Kama kuongezeka kwa watu ndio kunaleta changamoto za mgao wa umeme, basi China ilitakiwa iwe gizani jumla.
 
Gombea uongozi ili uje utuongoze na uone Kama utachaguliwa kwa Sera zako hizo za matusi
Serikali yako inayoendeshwa kijuha ndio imesababisha niongee maneno makali kuwakilisha watanzania walio wengi wenye hasira na mgao wa umeme unaoendelea nchini,mimi ni mfanyabiashara wa samaki wabichi unajua hasara niliyopata mpaka sasa kutokana na kukatika umeme!!!??? Muda sio mrefu nitafunga biashara kwa kufirisika unadhani hiyo serikali yenu ya majambazi itanisaidia nini na familia yangu!!!!! MKITAKA TUSITUMIE LUGHA KALI HEBU KUWENI NA HURUMA NA WATANZANIA WENZENU
 
Nawewe umetoa lamoyoni linalo kunyima usingizi Asante Kwa mapambio
 
Iamini serikali yetu mkuu maana inatambua yote hayo ya hasara ndio maana unaona ikiweka mikakati ya kutumia vyanzo vingine kuzalisha umeme vitakavyosaidia kupunguza changamoto hii ya umeme, umeongea kwa uchungu lakini naomba uwe na Imani na mh Rais wetu maana amedhamiria kulimaliza tatizo hili kwa kuchukua hatua za muda mfupi wa Kati na mrefu
 
Kwa hiyo unafikiri mvua haitanyesha? Mimi niliko mvua imeshaanza kunyesha na tayari tunaendelea kupanda
Miaka 60 bado tunategemea mvua pekee ndo imuokoe Mtanzania?, kweli?.
Umerogwa ww na huyo ndg yako.
Ole wenu kuwe na katiba mpya uone km ccm watapita!...
 
Miaka 60 bado tunategemea mvua pekee ndo imuokoe Mtanzania?, kweli?.
Umerogwa ww na huyo ndg yako.
Ole wenu kuwe na katiba mpya uone km ccm watapita!...
CCM itapita,CCM itachaguliwa ten,CCM itapigiwa Kura za Ndio,CCM itaungwa mkono ,CCM utapewa Ridhaa ya kuunda serikali kwa kuwa Ni chama chenye Sera na ajenda zinazogusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti
 
Chawa bin kiroboto
 
Hivi kule kwenu Mbozi mmeacha biashara ya kuchunana ngozi za binadamu?
Mbozi kwa Sasa ni salama na matukio ya namna hiyo hayapo kabisa, wanambozi wapo bize na kilimo Cha mahindi kahawa maharage karanga alizeti kilimo Cha mbogamboga n.k. karibu Sana Mbozi wilaya yenye ardhi nzuri na inayokubali mazao karibu yote na yenye watu wakalimu upendo na ushirikiano,hatuna ubaguzi kwa wageni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…