Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Simpambi Ila kazi zake zinampamba Sana pasipo hata kukupa watu wakumpamba, nisipompongeza Mimi bado watanzania wengi watasimamia kumpongeza, wanafunzi wanaokwenda kupata elimu bure kidato Cha sita watasimamia kumpongeza, wazazi watampongeza tu kwa kupunguziwa adha ya kukupa Ada kidato Cha tano na sita watampongeza tu hata kana tutasema tukae kimya, wakulima ambao Sasa wanauza mazao yao kwa Bei nzuri watampongeza tu, wafanya biashara za mahotel ya kutalii watampongeza tu kwa mafuriko ya watalii wanaendelea kufurika hapa nchini
Narudia, hizi sifa ulizomwaga hapa ni kutokana na ulaji unaopata. Hata waliokuwa wanawapamba madictator walikuwa wanamwaga sifa za aina hii hii.