Binafsi sio mnafiki , na sijawai kuwa mnafiki, pale panapobidi huntetea yoyote bila kujali itikadi ya chama so far nikiona hatendewi haki nitakutetea,
But KWA SSH ukweli ndo huu,
KWENYE kiti kile anapwaya Sana na tena Sana, ni bora ajue hili kuliko kumpaka mafuta kwa Mgongo wa Chupa, hawezi japo anajikongoja , Hili Hata nyie CCM mnajua ila hamuwezi kusema, ila si wanaccm wote bali wale tu CCM Halisi, wengine tupa kule, KWA sifa mnazomwagia, nae anaamini Sasa kiti amekifit kumbe sio , ndo maana unaona bado amekua na shauku ya kugombea tena , KWA kuaminishwa eti anaupiga Mwinyi, mwambieni ukweli,WENDA akaona wapi ajirekebishe, KWA nini anapwaya, why hastahili kutoendelea, full stop,lakin mkikaa sifia tu, Hata agombee 2025 hapati, na akilazimisha atajijua naishia hapa