Rais Samia ni nani hata mvua zimtii?

Rais Samia ni nani hata mvua zimtii?

Mimi ni mkristu safi naomba ifahamike hivyo, Nimeokoka na nampenda sana Mungu Baba, Yesu kristu na Roho Mtakatifu,

Mungu wangu ananguvu kuliko nguvu zenyewe, hakuna linaloshindikana katika yeye,

Mungu wangu anataka imani tu na kila kitu kwako kitakuwa ni Ushindi na Pepo ni uhakika,

Uwepo wake huambatana na ishara mbalimbali kama hii ya mvua ghafla,

Mtakumbuka,hivi majuzi wakati Rais Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya Hospitali ya Rufaa Bugando,

Wakati Mhe Rais akiendelea na hotuba yake alipofikia hatua ya kusema "Tuombe dua kuiombea mvua inyeshe " dakika zilezile mvua ikaanza kunyesha (angalia video).

Mkumbuke kunawatu wameusaka Urais kwa zaidi ya miongo mitatu sasa akiwemo Mhe Edward Ngoyayi Lowassa, Dkt. Slaa, Mhe Bernard Membe,Mhe Freeman Mbowe na wengine wengi.

Pamoja na msako wao huo wa Urais wa JMT lakini hawajawahi kupata Urais hata wa TFF.

Chaajabu, Rais Samia Suluhu Hassan hajawahi kuomba Urais popote lakini Mungu wa Mbinguni akamchagua yeye kirahisi tu,

Swali: Rais Samia Suluhu ni nani hata Mbingu na nchi zinamsikia na kuachilia mvua papo hapo?


|[Mungu wa Elia& Elisha

tunaomba mvua yenye neema tunakutukuza wewe peke yako katika Utatu mtakatifu]|




#SISI NI NANI HATA TUSIKUUNGE MKONO.

Ebu acheni ujinga hiyo ni science at work,kasoma utabiri wa hali ya hewa ili awaibue wajinga kama wewe.

Acha kumsingizia Mungu kwenye mambo ya kipumbavu,tunajua Samia ametokana na nini na kwa uchaguzi wa aina gani.
 
Andika majina Yako yote, Namba za simu,ikiwezekana na namba zako za simu, labda utabahatisha kuteuliwa.
 
Mimi ni mkristu safi naomba ifahamike hivyo, Nimeokoka na nampenda sana Mungu Baba, Yesu kristu na Roho Mtakatifu,

Mungu wangu ananguvu kuliko nguvu zenyewe, hakuna linaloshindikana katika yeye,

Mungu wangu anataka imani tu na kila kitu kwako kitakuwa ni Ushindi na Pepo ni uhakika,

Uwepo wake huambatana na ishara mbalimbali kama hii ya mvua ghafla,

Mtakumbuka,hivi majuzi wakati Rais Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya Hospitali ya Rufaa Bugando,

Wakati Mhe Rais akiendelea na hotuba yake alipofikia hatua ya kusema "Tuombe dua kuiombea mvua inyeshe " dakika zilezile mvua ikaanza kunyesha (angalia video).

Mkumbuke kunawatu wameusaka Urais kwa zaidi ya miongo mitatu sasa akiwemo Mhe Edward Ngoyayi Lowassa, Dkt. Slaa, Mhe Bernard Membe,Mhe Freeman Mbowe na wengine wengi.

Pamoja na msako wao huo wa Urais wa JMT lakini hawajawahi kupata Urais hata wa TFF.

Chaajabu, Rais Samia Suluhu Hassan hajawahi kuomba Urais popote lakini Mungu wa Mbinguni akamchagua yeye kirahisi tu,

Swali: Rais Samia Suluhu ni nani hata Mbingu na nchi zinamsikia na kuachilia mvua papo hapo?


|[Mungu wa Elia& Elisha

tunaomba mvua yenye neema tunakutukuza wewe peke yako katika Utatu mtakatifu]|




#SISI NI NANI HATA TUSIKUUNGE MKONO.

Kumbuka huu ni msimu wa Masika. Mnvua inaweza nyeesha wakati wowote.

Ukitaka kumpima kama ana uwezo huo subilia mwezi wa saba kama zitamtii basi atakua na uwezo huo unaousema.
 
Mimi ni mkristu safi naomba ifahamike hivyo, Nimeokoka na nampenda sana Mungu Baba, Yesu kristu na Roho Mtakatifu,

Mungu wangu ananguvu kuliko nguvu zenyewe, hakuna linaloshindikana katika yeye,

Mungu wangu anataka imani tu na kila kitu kwako kitakuwa ni Ushindi na Pepo ni uhakika,

Uwepo wake huambatana na ishara mbalimbali kama hii ya mvua ghafla,

Mtakumbuka,hivi majuzi wakati Rais Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya Hospitali ya Rufaa Bugando,

Wakati Mhe Rais akiendelea na hotuba yake alipofikia hatua ya kusema "Tuombe dua kuiombea mvua inyeshe " dakika zilezile mvua ikaanza kunyesha (angalia video).

Mkumbuke kunawatu wameusaka Urais kwa zaidi ya miongo mitatu sasa akiwemo Mhe Edward Ngoyayi Lowassa, Dkt. Slaa, Mhe Bernard Membe,Mhe Freeman Mbowe na wengine wengi.

Pamoja na msako wao huo wa Urais wa JMT lakini hawajawahi kupata Urais hata wa TFF.

Chaajabu, Rais Samia Suluhu Hassan hajawahi kuomba Urais popote lakini Mungu wa Mbinguni akamchagua yeye kirahisi tu,

Swali: Rais Samia Suluhu ni nani hata Mbingu na nchi zinamsikia na kuachilia mvua papo hapo?


|[Mungu wa Elia& Elisha

tunaomba mvua yenye neema tunakutukuza wewe peke yako katika Utatu mtakatifu]|




#SISI NI NANI HATA TUSIKUUNGE MKONO.

Mungu anapenda tuishi kwa kumpendaza yeye kama umchafu malaika hukaa pembeni ,tena wavumilivu ukijisafisha wanarudi ndani mwako
 
Huyu mleta mada huu ukame ++
Hajauona. Nimeamini maccm yakiambia nkwamba rangi ya nyasi Ni bluu yatakubali.
Kifupi we taga umechelewa teuzi zilishaisha zimebaki zile za kisomi tu. Ukuu wa wilaya usiohitaji akili tulishamaliza.
 
Mbona badoo safari hiy unafiki utawafia
Pic%20Layer_2021111311215721.jpg
 
Jitahd uchawa bongo unalipa
Mimi ni mkristu safi naomba ifahamike hivyo, Nimeokoka na nampenda sana Mungu Baba, Yesu kristu na Roho Mtakatifu,

Mungu wangu ananguvu kuliko nguvu zenyewe, hakuna linaloshindikana katika yeye,

Mungu wangu anataka imani tu na kila kitu kwako kitakuwa ni Ushindi na Pepo ni uhakika,

Uwepo wake huambatana na ishara mbalimbali kama hii ya mvua ghafla,

Mtakumbuka,hivi majuzi wakati Rais Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya Hospitali ya Rufaa Bugando,

Wakati Mhe Rais akiendelea na hotuba yake alipofikia hatua ya kusema "Tuombe dua kuiombea mvua inyeshe " dakika zilezile mvua ikaanza kunyesha (angalia video).

Mkumbuke kunawatu wameusaka Urais kwa zaidi ya miongo mitatu sasa akiwemo Mhe Edward Ngoyayi Lowassa, Dkt. Slaa, Mhe Bernard Membe,Mhe Freeman Mbowe na wengine wengi.

Pamoja na msako wao huo wa Urais wa JMT lakini hawajawahi kupata Urais hata wa TFF.

Chaajabu, Rais Samia Suluhu Hassan hajawahi kuomba Urais popote lakini Mungu wa Mbinguni akamchagua yeye kirahisi tu,

Swali: Rais Samia Suluhu ni nani hata Mbingu na nchi zinamsikia na kuachilia mvua papo hapo?


|[Mungu wa Elia& Elisha
tunaomba mvua yenye neema tunakutukuza wewe peke yako katika Utatu mtakatifu]|





#SISI NI NANI HATA TUSIKUUNGE MKONO.
 
Mimi ni mkristu safi naomba ifahamike hivyo, Nimeokoka na nampenda sana Mungu Baba, Yesu kristu na Roho Mtakatifu,

Mungu wangu ananguvu kuliko nguvu zenyewe, hakuna linaloshindikana katika yeye,

Mungu wangu anataka imani tu na kila kitu kwako kitakuwa ni Ushindi na Pepo ni uhakika,

Uwepo wake huambatana na ishara mbalimbali kama hii ya mvua ghafla,

Mtakumbuka,hivi majuzi wakati Rais Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya Hospitali ya Rufaa Bugando,

Wakati Mhe Rais akiendelea na hotuba yake alipofikia hatua ya kusema "Tuombe dua kuiombea mvua inyeshe " dakika zilezile mvua ikaanza kunyesha (angalia video).

Mkumbuke kunawatu wameusaka Urais kwa zaidi ya miongo mitatu sasa akiwemo Mhe Edward Ngoyayi Lowassa, Dkt. Slaa, Mhe Bernard Membe,Mhe Freeman Mbowe na wengine wengi.

Pamoja na msako wao huo wa Urais wa JMT lakini hawajawahi kupata Urais hata wa TFF.

Chaajabu, Rais Samia Suluhu Hassan hajawahi kuomba Urais popote lakini Mungu wa Mbinguni akamchagua yeye kirahisi tu,

Swali: Rais Samia Suluhu ni nani hata Mbingu na nchi zinamsikia na kuachilia mvua papo hapo?


|[Mungu wa Elia& Elisha
tunaomba mvua yenye neema tunakutukuza wewe peke yako katika Utatu mtakatifu]|





#SISI NI NANI HATA TUSIKUUNGE MKONO.
BIG CHAWA
 
Jamani. Mkutano ulitokea Mwanza, siyo Dodoma. Tafadhali.
Tumshukuru Mungu ila ajabu ni nini?
1637878294101.png

1637878238602.png
 
Mimi ni mkristu safi naomba ifahamike hivyo, Nimeokoka na nampenda sana Mungu Baba, Yesu kristu na Roho Mtakatifu,

Mungu wangu ananguvu kuliko nguvu zenyewe, hakuna linaloshindikana katika yeye,

Mungu wangu anataka imani tu na kila kitu kwako kitakuwa ni Ushindi na Pepo ni uhakika,

Uwepo wake huambatana na ishara mbalimbali kama hii ya mvua ghafla,

Mtakumbuka,hivi majuzi wakati Rais Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya Hospitali ya Rufaa Bugando,

Wakati Mhe Rais akiendelea na hotuba yake alipofikia hatua ya kusema "Tuombe dua kuiombea mvua inyeshe " dakika zilezile mvua ikaanza kunyesha (angalia video).

Mkumbuke kunawatu wameusaka Urais kwa zaidi ya miongo mitatu sasa akiwemo Mhe Edward Ngoyayi Lowassa, Dkt. Slaa, Mhe Bernard Membe,Mhe Freeman Mbowe na wengine wengi.

Pamoja na msako wao huo wa Urais wa JMT lakini hawajawahi kupata Urais hata wa TFF.

Chaajabu, Rais Samia Suluhu Hassan hajawahi kuomba Urais popote lakini Mungu wa Mbinguni akamchagua yeye kirahisi tu,

Swali: Rais Samia Suluhu ni nani hata Mbingu na nchi zinamsikia na kuachilia mvua papo hapo?


|[Mungu wa Elia& Elisha

tunaomba mvua yenye neema tunakutukuza wewe peke yako katika Utatu mtakatifu]|




#SISI NI NANI HATA TUSIKUUNGE MKONO.

Pole Sana mvua zimeanza kumiminika kila Kona ya nchi,umeumbuka na uchuro wako.
 
Mimi ni mkristu safi naomba ifahamike hivyo, Nimeokoka na nampenda sana Mungu Baba, Yesu kristu na Roho Mtakatifu,

Mungu wangu ananguvu kuliko nguvu zenyewe, hakuna linaloshindikana katika yeye,

Mungu wangu anataka imani tu na kila kitu kwako kitakuwa ni Ushindi na Pepo ni uhakika,

Uwepo wake huambatana na ishara mbalimbali kama hii ya mvua ghafla,

Mtakumbuka,hivi majuzi wakati Rais Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya Hospitali ya Rufaa Bugando,

Wakati Mhe Rais akiendelea na hotuba yake alipofikia hatua ya kusema "Tuombe dua kuiombea mvua inyeshe " dakika zilezile mvua ikaanza kunyesha (angalia video).

Mkumbuke kunawatu wameusaka Urais kwa zaidi ya miongo mitatu sasa akiwemo Mhe Edward Ngoyayi Lowassa, Dkt. Slaa, Mhe Bernard Membe,Mhe Freeman Mbowe na wengine wengi.

Pamoja na msako wao huo wa Urais wa JMT lakini hawajawahi kupata Urais hata wa TFF.

Chaajabu, Rais Samia Suluhu Hassan hajawahi kuomba Urais popote lakini Mungu wa Mbinguni akamchagua yeye kirahisi tu,

Swali: Rais Samia Suluhu ni nani hata Mbingu na nchi zinamsikia na kuachilia mvua papo hapo?


|[Mungu wa Elia& Elisha
tunaomba mvua yenye neema tunakutukuza wewe peke yako katika Utatu mtakatifu]|





#SISI NI NANI HATA TUSIKUUNGE MKONO.
Mkuu kapimwe matone ya ubongo. Ni hilo tu

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Acheni kufuru. Nina imani Samia hataingia kwenye mtego huu wa kishetani.

Mbingu na nchi zinamtii Mungu pekee yake maana ndiye aliyeziumba.

Kwani hiyo siku mvua iliponyesha Mwanza, ilikuwa siku ya kwanza kunyesha? Mvua Mwanza, kwa msimu huu wa mvua zimenyesha mara nyingi, na nyingine moaka ziliezua mabati ya nyumba za watu kuke Ilemela kueleka Airport.

Kabla ya siku hiyo, nilikuwa Shinyanga, mvua kubwa ilikuwa imenyesha. Siku ya nyuma yake nilikuwa Tabora, mvua kubwa ilikuwa imenyesha.

Kagera mvua zimekuwa zinanyesha maeneo mengi tangu mwishoni mwa mwezi wa September.

Uwongo na unafiki haumwongezei mwanadamu chochote zaidi ya aibu na fedheha.
Jamaa hawasomi weather forecast.

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Mimi ni mkristu safi naomba ifahamike hivyo, Nimeokoka na nampenda sana Mungu Baba, Yesu kristu na Roho Mtakatifu,

Mungu wangu ananguvu kuliko nguvu zenyewe, hakuna linaloshindikana katika yeye,

Mungu wangu anataka imani tu na kila kitu kwako kitakuwa ni Ushindi na Pepo ni uhakika,

Uwepo wake huambatana na ishara mbalimbali kama hii ya mvua ghafla,

Mtakumbuka,hivi majuzi wakati Rais Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya Hospitali ya Rufaa Bugando,

Wakati Mhe Rais akiendelea na hotuba yake alipofikia hatua ya kusema "Tuombe dua kuiombea mvua inyeshe " dakika zilezile mvua ikaanza kunyesha (angalia video).

Mkumbuke kunawatu wameusaka Urais kwa zaidi ya miongo mitatu sasa akiwemo Mhe Edward Ngoyayi Lowassa, Dkt. Slaa, Mhe Bernard Membe,Mhe Freeman Mbowe na wengine wengi.

Pamoja na msako wao huo wa Urais wa JMT lakini hawajawahi kupata Urais hata wa TFF.

Chaajabu, Rais Samia Suluhu Hassan hajawahi kuomba Urais popote lakini Mungu wa Mbinguni akamchagua yeye kirahisi tu,

Swali: Rais Samia Suluhu ni nani hata Mbingu na nchi zinamsikia na kuachilia mvua papo hapo?


|[Mungu wa Elia& Elisha

tunaomba mvua yenye neema tunakutukuza wewe peke yako katika Utatu mtakatifu]|




#SISI NI NANI HATA TUSIKUUNGE MKONO.

Wewe utakuwa ni shoga wa kizanzibari
 
Back
Top Bottom