Rais Samia ni zawadi kwetu Watanzania tunayopaswa kujivunia na kuiheshimu

Rais Samia ni zawadi kwetu Watanzania tunayopaswa kujivunia na kuiheshimu

Hata Uganda enzi za Amini walisema ni zawadi iliyoletwa kutoka Mbinguni kuiongoza Uganda!
Unawezaje kumfananisha mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani na yule kichaa iddi amini? Bila Shaka haupo sawa, mama Samia Ni kiongozi kwelii kwelii, Ni kiongozi mwenye dira na muelekeo anayejuwa Ni wapi Tanzania inapaswa kuelekea, anayefahamu Ni wapi watanzania tunapaswa kuwa kiuchumi, Ndio sababu unaona namna anavyofanya kazi za kututumikia usiku na mchana, ndio maaana unaona namna mh Rais wetu mpendwa akifanya kazi bila kupumzika, ndio sababu unaona mh Rais wetu mpendwa akihakikisha kila Senti inayopatikana inakwenda kutatua changamoto za watanzania, ndio sababu unaona mh Rais wetu mpendwa akihakikisha na kutaka kuona watanzania wanafanya biashara na shughuli za kiuchumi bila bugudha Wala usumbufu wowote, Ndio sababu unaona mh Rais wetu mpendwa akitafuta fursa popote pale zinapopatikana hapa Duniani, Rais Samia Ni kiongozi aliyedhamilia kulipeleka mbele Taifa hili kimaendeleo
 
Unawezaje kumfananisha mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani na yule kichaa iddi amini? Bila Shaka haupo sawa, mama Samia Ni kiongozi kwelii kwelii, Ni kiongozi mwenye dira na muelekeo anayejuwa Ni wapi Tanzania inapaswa kuelekea, anayefahamu Ni wapi watanzania tunapaswa kuwa kiuchumi, Ndio sababu unaona namna anavyofanya kazi za kututumikia usiku na mchana, ndio maaana unaona namna mh Rais wetu mpendwa akifanya kazi bila kupumzika, ndio sababu unaona mh Rais wetu mpendwa akihakikisha kila Senti inayopatikana inakwenda kutatua changamoto za watanzania, ndio sababu unaona mh Rais wetu mpendwa akihakikisha na kutaka kuona watanzania wanafanya biashara na shughuli za kiuchumi bila bugudha Wala usumbufu wowote, Ndio sababu unaona mh Rais wetu mpendwa akitafuta fursa popote pale zinapopatikana hapa Duniani, Rais Samia Ni kiongozi aliyedhamilia kulipeleka mbele Taifa hili kimaendeleo
Wewe akili yako fupi. Sijafanansha, ni mifano nimetoa
 
Ndugu zangu hivyo ndivyo unavyoweza kusema, Rais Samia amejitoa na kujitolea kwa moyo wake wote kututumikia Watanzania kwa dhati ya moyo wake. Ni kiongozi ambaye mawazo yake yapo katika kuona kila siku walau maisha ya mtanzania mmoja au kundi la watanzania linainuka kiuchumi, wakati Mtanzania mwingine au kundi lingine nalo likiwa limeshikwa mkono na Rais, tayari kwa kuinuliwa kiuchumi kutoka katika dhiki.

Rais Samia kila anakokwenda unaona akitafuta fursa za kuwanufaisha Watanzania, kila anakokwenda unaona Rais Samia akitafuta mwanya wakuona Watanzania wenye uwezo wanafanya biashara katika nchi husika, kila aendako unaona moyo wa Rais Samia umeunganika na Watanzania tuliyobaki hapa nyumbani.

Ni kiongozi anayetamani kuona Watanzania tuna neemeka na fursa zote zinazopatikana popote pale katika uso wa dunia. Anataka kuona Watanzania hatubaki nyuma wala kuachwa na wenzetu, anataka kuona Tanzania inakuwa kimbilio na chaguo la kwanza la wawekezaji, wafanyabiashara wakubwa, watalii, wanamichezo, wageni na kila aina ya uwekezaji utakaoleta fursa katika nchi yetu na kusisimua na kukuza uchumi wetu.

Kaiheshimisha sana Tanzania kwa sasa ndiyo maana unaona namna watalii wanavyozidi kumiminika hapa nchini. Sasa uwekezaji unaongezeka siku hadi siku, hali itakayochochea kuongezeka kwa fursa za ajira kwetu vijana na mapato ya kodi yataongezeka.

Huduma mbalimbali za kijamii zitazidi kuboreshwa, kipato cha mwananchi mmoja mmoja kitaongezeka, mzunguko wa fedha utakuwa wenye Afya, mabenki yataongeza wanufaika wa mikopo na kupunguza riba kutokana na kuwepo kwa kiasi cha kutosha cha fedha kinachowekwa na watu kama akiba.

Kupitia juhudi hizi za Rais Samia katika kuimarisha diplomasia yetu ya uchumi, naona maisha ya Mtanzania yakiboreka na kuendana na utajiri wa nchi yetu, keki ya Taifa itafika kwa kila Mtanzania na kila mmoja atakula. Kila mmoja ataona faida ya utajiri huu tuliopewa na mwenyezi Mungu, kila Mtanzania atajivunia kuwa na kuzaliwa Tanzania katika nchi ya asali na maziwa.

Hakika Rais samai ni zawadi kwetu Watanzania, kiukweli anatukosha sana Watanzania kwa namna anavyochapa kazi, kwa namna alivyo mbunifu na anavyo tafuta fursa kwa ajili ya nchi yetu. Rais Samia ni mama wa taifa, mlezi bora wa Taifa na mama mwenye maono ya mbali. Hakika uongozi wake utaacha alama za kimaendeleo zitakazokumbukwa vizazi na vizazi na kusemwa kuwa, haya ni matunda ya Mama wa Taifa, Samia suluhu Hassani.

Kazi iendelee, Mama ametufikia na kuwafikia Watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya Watanzania wanyonge.

Lucas Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
Rais Samia Suluhu ni kiongozi wa ndoto za watanzania wengi amefanya maendeleo makubwa ndani ya siku 567 za utawala wake
 
Alambe asali ya wapi huyu! Anajikomba komba tu ili afikiriwe kwenye uteuzi. Amechagua kujitoa ufahamu, ili maisha yaendelee!

Hawa ndiyo wale uvccm ambao akili zao zote wamezihamisha kutoka kichwani, na kuzipeleka tumboni.
Acha makasiliko mama anaupiga mwingi sana haijawai kutokea kwanza amefungua milango ya ajira mambo ambayo tulikua tumesahau kabisa ameboresha sekta ya elimu pia amepunguza gharama za kilimo kupitia ruzuku ya mbolea sasa wakulima wananunua mbolea kwa nusu bei haya yote yamefanyika ndani ya siku 567
 
Ndugu zangu hivyo ndivyo unavyoweza kusema, Rais Samia amejitoa na kujitolea kwa moyo wake wote kututumikia Watanzania kwa dhati ya moyo wake. Ni kiongozi ambaye mawazo yake yapo katika kuona kila siku walau maisha ya mtanzania mmoja au kundi la watanzania linainuka kiuchumi, wakati Mtanzania mwingine au kundi lingine nalo likiwa limeshikwa mkono na Rais, tayari kwa kuinuliwa kiuchumi kutoka katika dhiki.

Rais Samia kila anakokwenda unaona akitafuta fursa za kuwanufaisha Watanzania, kila anakokwenda unaona Rais Samia akitafuta mwanya wakuona Watanzania wenye uwezo wanafanya biashara katika nchi husika, kila aendako unaona moyo wa Rais Samia umeunganika na Watanzania tuliyobaki hapa nyumbani.

Ni kiongozi anayetamani kuona Watanzania tuna neemeka na fursa zote zinazopatikana popote pale katika uso wa dunia. Anataka kuona Watanzania hatubaki nyuma wala kuachwa na wenzetu, anataka kuona Tanzania inakuwa kimbilio na chaguo la kwanza la wawekezaji, wafanyabiashara wakubwa, watalii, wanamichezo, wageni na kila aina ya uwekezaji utakaoleta fursa katika nchi yetu na kusisimua na kukuza uchumi wetu.

Kaiheshimisha sana Tanzania kwa sasa ndiyo maana unaona namna watalii wanavyozidi kumiminika hapa nchini. Sasa uwekezaji unaongezeka siku hadi siku, hali itakayochochea kuongezeka kwa fursa za ajira kwetu vijana na mapato ya kodi yataongezeka.

Huduma mbalimbali za kijamii zitazidi kuboreshwa, kipato cha mwananchi mmoja mmoja kitaongezeka, mzunguko wa fedha utakuwa wenye Afya, mabenki yataongeza wanufaika wa mikopo na kupunguza riba kutokana na kuwepo kwa kiasi cha kutosha cha fedha kinachowekwa na watu kama akiba.

Kupitia juhudi hizi za Rais Samia katika kuimarisha diplomasia yetu ya uchumi, naona maisha ya Mtanzania yakiboreka na kuendana na utajiri wa nchi yetu, keki ya Taifa itafika kwa kila Mtanzania na kila mmoja atakula. Kila mmoja ataona faida ya utajiri huu tuliopewa na mwenyezi Mungu, kila Mtanzania atajivunia kuwa na kuzaliwa Tanzania katika nchi ya asali na maziwa.

Hakika Rais samai ni zawadi kwetu Watanzania, kiukweli anatukosha sana Watanzania kwa namna anavyochapa kazi, kwa namna alivyo mbunifu na anavyo tafuta fursa kwa ajili ya nchi yetu. Rais Samia ni mama wa taifa, mlezi bora wa Taifa na mama mwenye maono ya mbali. Hakika uongozi wake utaacha alama za kimaendeleo zitakazokumbukwa vizazi na vizazi na kusemwa kuwa, haya ni matunda ya Mama wa Taifa, Samia suluhu Hassani.

Kazi iendelee, Mama ametufikia na kuwafikia Watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya Watanzania wanyonge.

Lucas Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

Namba ya simu.ujaweka
 
Ndugu zangu kwa hali hii mtegemee tutoboe? , Sijawahi kuona vijana wa hovyo na ajabu Kama hawa wanaosifia kwaajili ya kupata teuzi kwenye chama.... RUBBISH [emoji706]
 
Hapa panaitwa ni nyumbani kwa watu wanaoweza fikiria, wewe unaleta ushabiki na kuanzisha thrd. Tujadili kitu gani kwenye hayo mawazo mfu uliyoandika?
Huwezi ukaona Kama uwezo wako wa kufikiri ni wa kwenda taratibu
 
Penye ukweli lazima ukweli uzungumzwe, kwani Mimi nimeongelea Nini? Si nimeongelea masuala ya maendeleo yanayofanya na mh Rais wetu?
Ndugu zangu kwa hali hii mtegemee tutoboe? , Sijawahi kuona vijana wa hovyo na ajabu Kama hawa wanaosifia kwaajili ya kupata teuzi kwenye chama.... RUBBISH [emoji706]
 
Mambo matatu magumu kubadilika.
1.Popoma alieamua kuiamini CCM
2.Kijana muoga,mjinga na mnafki anaesubiri zali.
3. Ya tatu naificha Mana ataomba nifungiwe.
 
Mambo matatu magumu kubadilika.
1.Popoma alieamua kuiamini CCM
2.Kijana muoga,mjinga na mnafki anaesubiri zali.
3. Ya tatu naificha Mana ataomba nifungiwe.
Bila Shaka wewe Ni kutoka genge lile nililolisena Jana kuwa sijuwi linatumia vitu gani huko ufipa vinavyo athiri uwezo wa kufikiri na kujenga hoja
 
Back
Top Bottom