Bepari2020
JF-Expert Member
- Nov 7, 2020
- 2,072
- 2,453
Nyerere hawezi kukwepa hizo lawama. Kuna waliompinga na mfumo wake mbovu ila alitaka kutawala kidikteta. Nyerere ametupitisha njia mbaya.Ewalaa sasa hapo tatizo sio nyerere ila wenye dhamana ambao wananufaika na mfumo mbovu aliotuachia Nyerere, sasa sisi inabidi tu dili na hawa waliopo tuanze na mama samia.