Rais Samia: Nikijua wewe ni dhidi yangu(Serikali) siwezi kukushirikisha. Utatumia sheria zote za Kimataifa, nitatumia za ndani kuku-bar

Rais Samia: Nikijua wewe ni dhidi yangu(Serikali) siwezi kukushirikisha. Utatumia sheria zote za Kimataifa, nitatumia za ndani kuku-bar

Duh...!, kwa kauli kama hizi, kiukweli kabisa kuna vitu, ili twende salama, Mama lazima asaidiwe, kwa kuelimishwa kuwa ushirikishwa sio hisani, sio favor...
Tutafika tu kwenye nchi ya ahadi....Mungu ni mwema
 
Kenya ni nchi ya kibepari tangu mwanzo, tena ina katiba mpya,, wale kila nyumba ina umeme, maji, na kiwango cha elimu ni 99.9%😂.
Kila kijana ana ajira rasmi,, moi kajitahidi sana kuijenga kenya🤷🏾‍♂️
EEEeeeHeeeee!
Unasema kweli?

Nimewahi kuwasikia watu wa huko wakimlaani sana huyo Moi. Inawezekana wewe unamjua Moi mwingine.
 
Tutafika tu kwenye nchi ya ahadi....Mungu ni mwema
'Of course', hata nchi kama Haiti na wao wanayo matumaini ya siku moja kutoboa, ila haijulikani kwa mwendo wanaokwenda nao itawachukua muda gani.

Kwa aina ya uongozi tulionao, utakuwa ni mtu mwenye matarajio ya ajabu sana kuweka matumaini yako kwa Tanzania kupiga hatua za haraka kuelekea kwenye maendeleo.
 
Mama kakosea sana, huo ukali ndo alikuwa nao mtangulizi wake matokeo yake mama mwenyewe ndo unamgharim kuweka mambo sawa na kuwafariji baadhi ya waliopitia magumu utawala wa mtangulizi wake.
Sasa hii nitawaba… kwa sheria za ndani sio nzuri wakati kimataifa unatafuta suluhu hiyo hiyo!
mf: ya kuchoma vifaranga kwa sheria za ndani.

Mi naamini washauri na watu wa karibu wa mama wanampoteza kwa sasa na mbaya zaidi madudu yanazidi kutokea na hakuna hatua zo zote anazichukua hasa kwa wasaidizi wake.

Mwishoni ataambiwa KAA PEMBENI HUNA MVUTO tuweke mwingine tukiokoe CHAMA kwanza!
 
Huyo mama naona keshajichokea na kuchanganyikiwa. Hajui yupo wapi na anakwenda wapi.
Upeo na uwezo wake kuongoza watu ni mdogo sana. Yuko pale kama geresha tu.
 
Hata Magufuli ana afadhali.
Huyu maza ni dikteta haswa aliyejificha kwenye ushungi
 
Lakini watu hawatakagi kusikia ukweli, so wanapanick,, lakini huo ndo ukweli,, kila mtu anajua TLS ilikuwa inafanya harakati za kisiasa,,
Nani waliopanga na kutekeleza njama za kuvamia ofisi za Fatma Karume???
 
Duh...!, kwa kauli kama hizi, kiukweli kabisa kuna vitu, ili twende salama, Mama lazima asaidiwe, kwa kuelimishwa kuwa ushirikishwa sio hisani...
TLS ikishindwa kuikosoa na kumpambana na Serikali inayo:
1. Funga wanasheria kwa kuthubutu kutetea wateja
2.Bambikiza kesi wananchi na kuwaweka maabusu
3.Pora pesa za watu
4. Vunja Katiba na Sheria
5. Ingilia UHURU wa Mahakama
6. Uwa Demokrasia

Itakuwa DHAIFU.
Nilivyokuwa Rais wa TLS nimepambana na Serikali kwa sababu
1. Ili Funga wanasheria
2. Ili vunja Demokrasia
3. Ili vunja Katiba na Sheria
4. Ili shindwa ku-investigate extra judicial killings Kibiti
5. Ili ingilia UHURU wa Mahakama
Haya yote yameathiri HAKI za Wananchi.
No regrets
By Shangazi
 
Rais Samia Suluhu Hassan akihutubia katika mkutano wa 47 wa wanasheria Afrika Mashariki uliofanyika mkoani Arusha, amesema haya kuhusu kushirikisha watu/taasisi ambazo ziko dhidi yake...
This woman doesnt get it!The law society and the community at large,I'd not here to please her and her government!,we are here to poke holes in every thing they do,we are the watch dogs,we don't work for her!!she works for us,wananchi!!our task is to bring all the dirt up!to shine light on their deeds!

Her government is full of thieves!



Law society sio uvccm,au uwt,au polisi,hii society haihitaji fsdhila za serikali,ipo pale kukosoa uovu mwingi wa serikali,sasa mama anataka kila taasisi iwe praise and worship tu.

Ukikosolewa, badala ya kujibu hoja,unatumia sheria za kiimla kuvunja muguu wakosoaji,,,!!,what a tragedy!!
We heard from the horse mouth, ccm regime is not willing to receive critisim,!they take clitisim as animosity!!and they are willing to crush any dissent. Hawa jamaa hii nchi wanaiona kama private company,
 
P
Mama yuko sahihi. Hata kwenye maisha ya kawaida tunawashirikisha mambo yetu wale wanaoonyesha sapoti. 2025 Mama atashinda kwa kishindo. Ushindi wa kimbunga.
Naunga mkono hoja, ila ni iwapo atagombea!. Anayeamua kuwa atagombea ni mtu, yeye, na ni watu, sisi, chama CCM na Watanzania, lakini anayewezesha fulani kugombea, sii yeye, sio sisi, sio chama CCM na wala sio Watanzania, ni mamlaka nyingine!.

Hiyo mamlaka ya uwezeshaji huwa haisemi bali inatenda!, nashauri kwa sasa tuweke akiba ua maneno, halafu huu uchawa wa ushindi wa kishindo cha kimbunga, tuulete akiisha pitishwa na mamlaka ya uweseshaji!.

Hivyo Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye! ila pia kuna hii sauti Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke
P
 
At least utamtukana utaenda kulala bila wasiwasi....
Matusi tena.......?

Inashangaza sana kuona sifa za kiongozi anayeonekana bora kwa watanzania.

Kiongozi akiweka uthabiti katika nchi kwenye nyanja karibu zote = mbovu

Kiongozi akivumilia matusi hata kama kila sekta nyingine inadidimia shimoni = bora kuliko Magufuli.

Awkward!
 
Back
Top Bottom