Rais Samia Suluhu Hassan akihutubia katika mkutano wa 47 wa wanasheria Afrika Mashariki uliofanyika mkoani Arusha, amesema haya kuhusu kushirikisha watu/taasisi ambazo ziko dhidi yake...
This woman doesnt get it!The law society and the community at large,I'd not here to please her and her government!,we are here to poke holes in every thing they do,we are the watch dogs,we don't work for her!!she works for us,wananchi!!our task is to bring all the dirt up!to shine light on their deeds!
Her government is full of thieves!
Law society sio uvccm,au uwt,au polisi,hii society haihitaji fsdhila za serikali,ipo pale kukosoa uovu mwingi wa serikali,sasa mama anataka kila taasisi iwe praise and worship tu.
Ukikosolewa, badala ya kujibu hoja,unatumia sheria za kiimla kuvunja muguu wakosoaji,,,!!,what a tragedy!!
We heard from the horse mouth, ccm regime is not willing to receive critisim,!they take clitisim as animosity!!and they are willing to crush any dissent. Hawa jamaa hii nchi wanaiona kama private company,