Humu ndani watu wanachuki sana. Yaani jinsi wanavyotafsiri ni tofauti kabisa na ilivyo tamkwa.Kasema ukikaa ki uadui..sio kila anaepinga adui...sio kila upinzani ni uadui ....adui ni Yule anaepinga kila kitu...mtu analalamika mgao ...akiambiwa tumenunua mitambo ya gesi kuondoa mgao hataki pia ..anataka tusubiri bwawa la Nyerere...sasa watu Aina hiyo ni wazalendo au wanafiki
Aache kujihami bibi yako kijijini huko.Inferiority complex.
Huyu Bibi Tozo muda wote ANAJIHAMI.
Aacha roho mbaya bwege wewe. Utakufa kwa roho mbaya k...ma wewe.Huyu maza anazidi kuharibu. Angekuwa anakaa kimya. Nani asupport mgao wa umeme na zuio la kufanya siasa.
Hili linazidi kuonyesha namna wapinzani walivyo wachochezi. Kilichoxungumzwa na namna kilivyo zungumzwa ni tofauti kabisa na mnavyokileta. Wekeni uchochezi pembeni tujenge nchi
Kamsikilize mama yako humu unafanya nini? Huyo ndio raisi wako hutaki hama nchi. Umejaza chuki na roho mbaya tu.Oya sisi hatutaki hata kusikia huyo maza anasema nini. Usiwe unatupostia utumbo wake
Hopeless bibi yako shamba huko.Tuna bibi tu fulani hv kakaa tu ikulu pale kwenye kiti hopeless kabisa
Katili mama yako.Huyu mama ni katili sn
Aacha roho mbaya bwege wewe. Utakufa kwa roho mbaya k...ma wewe.
Upinzani na Wanancho sisi sote ni wajinga unaanzaje kusubiri mtawala ndio akuruhusu,Fanya hiyo mikutano watu wapambane na polisi wakufa wave uone kama Mikutano itakataliwa.Tafsiri ya adui kwake inaweza kuwa tofauti. Maana tafsiri ya adui kwake ni yule anayempinga. Ndio maana mpaka Leo imekuwa ngumu kurudisha mikutano ya hadhara maana Mama anaogopa challenge.
Mbona huu mfumo unafanya kazi vizuri kwenye baadhi ya nchi zilozostarahabika.
Ghana, Zambia, Malawi, Kenya, South Africa, na Sasa Angola wameamka.
Nadhani shida sio upinzani ni mfumo wa vyama vingi kutokuwa na sheria inayoendana na mazingira yake.
Kwani Fatuma Karume ni mpinzani? Halafu yule hawakilishi wapinzani, anajiwakilisha mwenyewe.
Mbona mmeanza kumkana!? yule si ndo chadema dam dam, kindakindaki. Mpaka mkawa mnamwita shangazi wa chama.
[/QUOT
Yule ni ACT hajawahi kuwa CHADEMA na hawapendi CHADEMA maana wanasakama mama Samiah.
.Upinzani na Wanancho sisi sote ni wajinga unaanzaje kusubiri mtawala ndio akuruhusu,Fanya hiyo mikutano watu wapambane na polisi wakufa wave uone kama Mikutano itakataliwa.
Kwa kiasi fulani wanafanya vizuri. Ukiangalia kwa undani, utaona angalau waliofanikiwa ni wale waliofanya utamadunisho wa mfumo wa vyama vingi. Ambao mfumo mpya ulipitiwa upya kulingana na demokrasia, mila na desturi zao. Lakini kwa wale waliomeza kama dodoki mfumo wa vyama vingi kama ilivyo Washington, London na Paris, wamejikuta katika changamoto kubwa sana za kiutawala na kimfumo. Mpaka wanaona ni mzigo kuwa na mfumo mpya kutoka magharibi.
Zinamharibia kwa nani actually?Ondoa stress zako za kishetani. Uchawa wako usilete kwangu. Mimi sio mpumbavu Kama wewe. Nimetoa ushauri kwamba Mama akae kimya, kauli zingine zinamuharibia. Chawa umekuja mbio kunitukana ukidhania sifa. Baki na matusi yako ukidhani ni ujanja.
Ni ukweli ambao wengi hawaujui kuhusu baadhi ya members wa humu,utajiuliza amesema Bwawa la Nyerere why hakusema kusubiri mvua zinyeshe?Michango yake haiwezi kuegemea vyama, Kwasababu yeye michango yake lazima iwe na kiharufu Cha udini.
Ni kama Mohamed Said, yeye Hana chama ila ana udini.
Watu wake hawajawahi kukosea.
Sahihi kabisaWapinzani sio maadui.
Sio Waasi.
Wakosoaji sio maadui .
Sio Waasi.
Wapo kuchagiza mambo yaende kwa uzuri na ufanisi zaidi.
Wapo kutoa alarming alerts matharani mahala fulani panapigwa serikali ingilieni kati kuzuia upotevu wa rasilimali usiwe mkubwa zaidi.
Au pengine ni viashiria ambavyo serikali ikiwahi kuzuia tutaokoa mapato ya serikali.
N.k
Tatizo linakuja pale wapinzani wanapotumika na foreigner,, saa hizi wako ulaya wanafunzwa mbinu za kunyakua madaraka,, we cant allow that... 😆Sahihi kabisa
Sio kweli.....na viongozi wa Ccm wanapoenda huko Ulaya au China huwa wanafunzwa nini ?.....Tatizo linakuja pale wapinzani wanapotumika na foreigner,, saa hizi wako ulaya wanafunzwa mbinu za kunyakua madaraka,, we cant allow that... 😆