Rais Samia: Nikijua wewe ni dhidi yangu(Serikali) siwezi kukushirikisha. Utatumia sheria zote za Kimataifa, nitatumia za ndani kuku-bar

Wataalam ndiyo injini ya kuleta maendeleo katika nchi.
Wataalam hawatakiwi kujipendekeza na kuwalamba nyayo wanasiasa.
Mtaalam anapotoa maoni au kukosoa lazima asikilizwe siyo kumchukia au kumuita adui.
 
Mama anataka wanaomsapoti kwenye Mbio zake za Urais 2025 tu.

Nje ya hapo hakuna.

Ni lini Ccm au viongozi wake walishamshilikirisha mtu mwingine kwenye mambo yake?

Rais Samia awe mwazi asizunguke zunguke mbuyu.

Inaonekana Mbio za Urais zinamtesa sana.
 
Maza endelea kupiga hapo hapo kwenye mshono
 

Mlaumu Nyerere aliyejenga mfumo mbovu
 
Kwani Mama kasema anataka wamsapoti kwenye nini?

Hivi ndio kusema Serikali ya Ccm inadhindwa kufanya mambo mazuri sababu ya TLS na taasisi kama hizo?

Mbona visingizio vimekuwa vingi
 
Duh...!, kwa kauli kama hizi, kiukweli kabisa kuna vitu, ili twende salama, Mama lazima asaidiwe, kwa kuelimishwa kuwa ushirikishwa sio hisani, sio favor, sio option, sio choice, ushirikishwaji ni haki, duty and responsibility, yaani ni wajibu!, kama ulivyo utii kwa mamlaka!. Unaweza kuchagua marafiki lakini huwezi kuchagua majirani, ukiisha jikuta unaishi na jirani fulani, ni lazima ushirikiane nae ndipo muishi vizuri.
Sasa leo ndio nimeanza kuielewa hii TLS ya Hosea!.
Duh....!.
Haya...
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…