Bepari2020
JF-Expert Member
- Nov 7, 2020
- 2,072
- 2,453
Lawama mtupie Nyerere aliyejenga mfumo mbovuKila akifungua mdomo namna hii anajianika ujinga wake.
Ufafanuzi wa Tundu Lissu juu ya Mamlaka makubwa ya Kikatiba aliyonayo Rais wa Tanzania yalitoka wapi. Nyerere hakuwa kama tunavyohubiriwa!
Kumbe Nyerere hakuwa na demokrasia, alikuwa dictator mkubwa, eti huyo ndiye anakuja kuwa Mtakatifu! Sikiliza kwa makini: