Rais Samia: Nitaendelea kuzunguka kuwaambia wawekezaji waje Tanzania

Uzuri hajamtaja mtu,hilo ni jiwe gizani.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Tanzania kuwa nyuma kama unavyojitetea hapa ni kutokana na Upumbavu na Uzembe wa nani?
 
Nimefundishwa tangu utoto kutomlaumu mwanamke kwani uwezo wake wa kuona ni mita 100 tu,zaidi ya hapo machozi hutoka.

Puyanga tu mama we kosa huna
Na 'Wanabaiolojia' wanasema akitokea pia amemaliza 'Pensheni' yake ya Monthly Payment ( MP ) ndiyo huwa na 'Mapungufu' zaidi.
 
Umekumbuka Kunywa leo Kidonge chako cha Ugonjwa wa Akili ulionao na Uliorithishwa kutoka katika Koo zako zote Mbili?
 
Tulipigwa.Chanzo cha matatizo yote haya ni mzee wa Msoga kumteua hawara wake kuwa makamu wa Rais wa Bwana Chato.Mzee wa Msoga is the cursed creature!
View attachment 2035453
Kama kuna 'post' ambayo nimeipenda na imesema Uhalisia mzima kwa kilichotokea na kinachoendelea ni hii yako Mkuu.

Umemaliza kila Kitu na hii ndiyo 'post' yangu bora katika huu Uzi wangu. Wenye Akili Kubwa na kujua Mambo mengi tu yaliyojificha hapa tumekuelewa vyema.
 
kwanini waziri asifanye hyo kazi ww ukatulia ikulu kujenga na kutatua kero za wananchi we mama jmn....
 
Sawa Mh. Rais ni sawa, ila tunaomba usafiri na watu wachache - pamoja na ulinzi wako na wasaidizi basi walau wasizidi 7, maana unaweza kwenda kuomba mil 2 wakati safari nzima umetumia mil 6.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…