Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
- Thread starter
- #41
Kuna ujumbe mzito nimejaribu kuufikisha bila kuwa na sentensi zitakazoleta mfarakano miongoni mwa walengwa wa huu uzi.Porojo hizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna ujumbe mzito nimejaribu kuufikisha bila kuwa na sentensi zitakazoleta mfarakano miongoni mwa walengwa wa huu uzi.Porojo hizi
Tukubaliane kitu kimoja ndugu The Sunk Cost Fallacy .Na wewe nitajie wa 2 tuu waliopelekwa mahakama ya mafisadi wakatiwa hatiani na awamu ya 5..
Nyangumi watoke wapi sasa wakati ufisadi mkubwa umefanyika awamu zilizopita?