P Phillipo Bukililo JF-Expert Member Joined Dec 29, 2015 Posts 18,487 Reaction score 13,611 Nov 6, 2022 Thread starter #41 Rasterman said: Porojo hizi Click to expand... Kuna ujumbe mzito nimejaribu kuufikisha bila kuwa na sentensi zitakazoleta mfarakano miongoni mwa walengwa wa huu uzi.
Rasterman said: Porojo hizi Click to expand... Kuna ujumbe mzito nimejaribu kuufikisha bila kuwa na sentensi zitakazoleta mfarakano miongoni mwa walengwa wa huu uzi.
HIMARS JF-Expert Member Joined Jan 23, 2012 Posts 70,791 Reaction score 98,334 Nov 6, 2022 #42 Ila wachina watatuumiza sana
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Nov 6, 2022 #43 Ngoja tuone...
residentura JF-Expert Member Joined Mar 1, 2017 Posts 8,146 Reaction score 11,434 Nov 7, 2022 #44 The Sunk Cost Fallacy said: Na wewe nitajie wa 2 tuu waliopelekwa mahakama ya mafisadi wakatiwa hatiani na awamu ya 5.. Nyangumi watoke wapi sasa wakati ufisadi mkubwa umefanyika awamu zilizopita? Click to expand... Tukubaliane kitu kimoja ndugu The Sunk Cost Fallacy . Serikali ya awamu ya 2 mpaka hii haijawahi shughulikia mapapa wa ufisadi. Kwa ujumla na kiukweli serikali ya CCM haijawahi kushughulikia mafisadi wa aina yoyote zaidi ya wezi wa kuku sababu wote ni wamoja.
The Sunk Cost Fallacy said: Na wewe nitajie wa 2 tuu waliopelekwa mahakama ya mafisadi wakatiwa hatiani na awamu ya 5.. Nyangumi watoke wapi sasa wakati ufisadi mkubwa umefanyika awamu zilizopita? Click to expand... Tukubaliane kitu kimoja ndugu The Sunk Cost Fallacy . Serikali ya awamu ya 2 mpaka hii haijawahi shughulikia mapapa wa ufisadi. Kwa ujumla na kiukweli serikali ya CCM haijawahi kushughulikia mafisadi wa aina yoyote zaidi ya wezi wa kuku sababu wote ni wamoja.