Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji1787]Hiyo mibangi machadema mnayovuta yamewalandua akili, kuanzia Mkapa mlisema awaachie nchi, mkaja kwa Jakaya, mkamwita dhaifu, akaja Jpm , mkalalama ooh, dikteta, kaja mama mkaanza kumsifia alipoamua kusimamia Sheria na kuziacha huru mahakama kushughulikia kesi kama za akina Sabaya mkasema, "Mama anaupiga mwingi"Leo Mbowe kukamatwa, ooh "bring back our country" hata hamjitambui, akili zenu sawa na za ng'ombe tu.
Awaachie kwani ameiweka wapi?[emoji23]Mama tuachie nchi yetu.
#Bring back our country#!
Kila kiongozi anakuwa na leadership style yake. Kukutana na vyama vya upinzani sio jambo kwamba ni la lazima Rais aliyepo madarakani alifanye.Katiba yetu ya JMT pamoja na kupitwa na wakati inawatambua Watanzana kwamba ndiyo wenye nchi. Kwamba mamlaka zote katika nchi wenye kuziweka ni Watanzania. Sasa uhalisia wa hili na ubora wa mchakato wa kuwaweka watu kwenye mamlaka ni topic nyingine tofauti.
Hivyo, kwa msingi huu Rais wa JMT anawekwa kwenye hicho kiti na Waatanzania hata kama amerithi toka kwaa mtangulizi ambaye ameshindwa kuendelea na majukumu iwe kwa kifo, maradhi na mangineo.
Hivyo, Rais Samia waliokuweka kwenye hicho kiti ili uwaongoze ni Watanzania period.
Nimekusikia zaidi ya mara 2 kwa masikio yangu ukiita malalamiko genuine kabisa ya maboss wako yaani Watanzania kuwa ni kelele. Mara ya kwanza ilikuwa kwenye kuongezeka kwa bei ya mafuta kutokana na kuongezwa kwa kodi na mara ya pili ilikuwa kwenye hizi tozo za dhulma za miamala. Rais Samia, tofauti na mtangulizi wako wewe unakifahamu vzr sana Kiwahili, kelele na malalamiko ni vitu viwili tofauti kabisa.
Malalamiko ya maboss wako huwezi kuyaita kelele kama huwadharau. Matumizi ya neno kelele ni dalili za waziwazi kwamba unawachukulia poa sana maboss zako. Kuwadharau unaowangoza ambao ndiyo waliokupa hiyo nafasi si sahihi hata kidogo.
Kama haitoshi juzi nimekusikia tena ukisema kwamba ninanukuu 'Ninatamani sana kukutana na vyama vya upinzania ila wamechambuka sana angalau sasa wameanza kuwa na mabaraza' mwisho wa kunukuu. Kwa maneno mengine ulimaanisha kwamba utakuwa tyr kukutana na vyama vya upinzani endapo vitaunganishwa kwa namna moja ama nyingine.
Hizi nazo ni dharau tu hakuna kingine mama. Vyama vya siasa nchi hii haavifiki 100 na msajili anayo register ya hivyo vyama kila kimoja kina malengo yake. Vyama vya siasa si vyama vya wafanyakazi kwamba wataunda federations kama ilivyo tucta etc. Unataka vyama vya siasa viunde trade unions ndiyo ukutane navyo? Mzee Kikwete alikutana mara kadhaa na vyama vya siasa hakuhitaji hayo yako.
Kwa mujibu ya katiba ya JMT, CUF na CCM vyote ni vyama vya siasa tofauti tu ni kwamba CCM iko madarakani. Kuiambia kwamba ili ukutane na CUF lazima ijiunge kwenye baraza hizi ni dharau tu hakuna kingine. Wewe unaswali ninaamini kwamba unaamini yupo Mungu. The fact kwamba CCM iko madarakani haiamaanishi kwamba CCM ni superior kwa CUF ni suala la wakati na majaliwa ya Mungu.
Mwisho nilitarajia sana kifo cha aliyekuwa Rais wa JMT kitukumbushe kwamba wanadamu ni wapitaji tu duniani. Kumdharau mwanadamu mwingine sababu ya nafasi ambayo Mungu amekupa ni makosa makubwa. Kuwa kiongozi si ticket ya ww kuwa bora kuliko unayemuongoza ni suala la ratiba tu ya aliye juu kuliko vyote yaani Mungu kwa sisi tunaoamini uwepo wake.
Juu ya yote hayo alichoambulia ni matusi tu kutoka kwenu. Hakukuwa na tija yoyote zaidi ya hao wapinzani kwenda kuongeza bill ya ikulu tu kwa kunywa chai na sambusa za bure.Mzee Kikwete alikutana mara kadhaa na vyama vya siasa hakuhitaji hayo yako.
HatufaiMalalamiko anaita Kelele
Mjadala wa Katiba anaita Chokochoko
Shughuli halali za kisiasa anaita fujo za kisiasa
Huyu ana dharau sana
Hii sio sawa mdau.Yaani mother hili naliona takataka kabisa! Kulaza mimacho tu utafikri limewekewamo!
Dah!!Malalamiko anaita Kelele
Mjadala wa Katiba anaita Chokochoko
Shughuli halali za kisiasa anaita fujo za kisiasa
Huyu ana dharau sana
Mmawia hana hela ya bando!Mnataka aimbe mapambio!
Mmawia
Anatudharau sana ss mabosi zake anajua hata tukipga kura kwingine atashinda coz plc wapo kumuhkikishia hiloKatiba yetu ya JMT pamoja na kupitwa na wakati inawatambua Watanzana kwamba ndiyo wenye nchi. Kwamba mamlaka zote katika nchi wenye kuziweka ni Watanzania. Sasa uhalisia wa hili na ubora wa mchakato wa kuwaweka watu kwenye mamlaka ni topic nyingine tofauti.
Hivyo, kwa msingi huu Rais wa JMT anawekwa kwenye hicho kiti na Waatanzania hata kama amerithi toka kwaa mtangulizi ambaye ameshindwa kuendelea na majukumu iwe kwa kifo, maradhi na mangineo.
Hivyo, Rais Samia waliokuweka kwenye hicho kiti ili uwaongoze ni Watanzania period.
Nimekusikia zaidi ya mara 2 kwa masikio yangu ukiita malalamiko genuine kabisa ya maboss wako yaani Watanzania kuwa ni kelele. Mara ya kwanza ilikuwa kwenye kuongezeka kwa bei ya mafuta kutokana na kuongezwa kwa kodi na mara ya pili ilikuwa kwenye hizi tozo za dhulma za miamala. Rais Samia, tofauti na mtangulizi wako wewe unakifahamu vzr sana Kiwahili, kelele na malalamiko ni vitu viwili tofauti kabisa.
Malalamiko ya maboss wako huwezi kuyaita kelele kama huwadharau. Matumizi ya neno kelele ni dalili za waziwazi kwamba unawachukulia poa sana maboss zako. Kuwadharau unaowangoza ambao ndiyo waliokupa hiyo nafasi si sahihi hata kidogo.
Kama haitoshi juzi nimekusikia tena ukisema kwamba ninanukuu 'Ninatamani sana kukutana na vyama vya upinzania ila wamechambuka sana angalau sasa wameanza kuwa na mabaraza' mwisho wa kunukuu. Kwa maneno mengine ulimaanisha kwamba utakuwa tyr kukutana na vyama vya upinzani endapo vitaunganishwa kwa namna moja ama nyingine.
Hizi nazo ni dharau tu hakuna kingine mama. Vyama vya siasa nchi hii haavifiki 100 na msajili anayo register ya hivyo vyama kila kimoja kina malengo yake. Vyama vya siasa si vyama vya wafanyakazi kwamba wataunda federations kama ilivyo tucta etc. Unataka vyama vya siasa viunde trade unions ndiyo ukutane navyo? Mzee Kikwete alikutana mara kadhaa na vyama vya siasa hakuhitaji hayo yako.
Kwa mujibu ya katiba ya JMT, CUF na CCM vyote ni vyama vya siasa tofauti tu ni kwamba CCM iko madarakani. Kuiambia kwamba ili ukutane na CUF lazima ijiunge kwenye baraza hizi ni dharau tu hakuna kingine. Wewe unaswali ninaamini kwamba unaamini yupo Mungu. The fact kwamba CCM iko madarakani haiamaanishi kwamba CCM ni superior kwa CUF ni suala la wakati na majaliwa ya Mungu.
Mwisho nilitarajia sana kifo cha aliyekuwa Rais wa JMT kitukumbushe kwamba wanadamu ni wapitaji tu duniani. Kumdharau mwanadamu mwingine sababu ya nafasi ambayo Mungu amekupa ni makosa makubwa. Kuwa kiongozi si ticket ya ww kuwa bora kuliko unayemuongoza ni suala la ratiba tu ya aliye juu kuliko vyote yaani Mungu kwa sisi tunaoamini uwepo wake.
Hakuna nchi rahisi kuiongoza kama Tz. Wananchi wake ule sio uelewa wala upole ni ujinga. Kiongozi yoyote anaweza akaibuka tu kutoa tamko la ovyo makusudi kuwakera wananchi.Duh,kweli kuwa kiongozi Tanzania ni kijitwika zigo la misumari
Niaje ndugu???Awaachie kwani ameiweka wapi?[emoji23]
Tulia aupige mwingi.
Ahahahahah maskini ya Mungu eti mcha Mungu, pole sana mshua!If you want to test men's character, give them power.
Sikutegemea huyu Mama abehave namna hii na anavyojifanya mcha 'mungu'...
Kuna Tiss humu chunga kilomo lomo ikoYaani mother hili naliona takataka kabisa! Kulaza mimacho tu utafikri limewekewamo!
Kila zama na kitabu chake. Kazi iko palepale. Mlikuwa mnamdharau kuwa yeye ni mwanamke. Na bado mtazidi kuongeza misamiati.Malalamiko anaita Kelele
Mjadala wa Katiba anaita Chokochoko
Shughuli halali za kisiasa anaita fujo za kisiasa
Huyu ana dharau sana
Safi bro..Niaje ndugu???
Baadaye vile vicheko vyao vya kushangilia msiba lazima vigeuke .Kuna Tiss humu chunga kilomo lomo iko