peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
i mwenyekiti wa CCM sio mwenyekiti wa wananchiItafute vipi wakati yeye ndio mwenyekiti..kiufupi ccm ni chama cha wanafiki.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Yule wa zanzibar , maza ni dada yakeAlikuwa anaenda kila wiki? isitoshe eneo lake la kazi ni bara, Zanzibar wana Rais wao
Wanashirikiana kupiga pesa ya baraYule wa zanzibar , maza ni dada yake
Sauti ilipazwa, kusikia jambo lingine!Mwacheni mama, hayati alikua anaapisha viongozi Chato na mlifunga midomo yenu
Mnaleta mawazo yale yale primitive. Kuwa na rais wao hakumaanishi sio sehemu ya JMT.Alikuwa anaenda kila wiki? isitoshe eneo lake la kazi ni bara, Zanzibar wana Rais wao
Usipoangalia mpaka ukifika muda huo utakua unaishi na maumivu iwapo SSH ataendelea kuwa rais mpaka 2030.Tutaondoka mwaka 2025 , hata dini zetu zinatusuta
Arudi kwenu ZanzibarMnaleta mawazo yale yale primitive. Kuwa na rais wao hakumaanishi sio sehemu ya JMT.
Wanakuja na mawazo ya 'kishamba' yaliyojaa ubaguzi.Zanzibar siyo Kenya mkuu, hata yule mwingine alipoulizwa mbona kila kitu Chattel akajibu huko pia ni Tanzania
Kwetu ni bara na visiwani mkuu. Bahati nzuri kwa Tanzania na mbaya kwenu ni kwamba hizi kelele zenu huwa zinadhibitiwa vizuri sana huko mtaani, hivyo zinaishia kwenye keyboard tu.Arudi kwenu Zanzibar
Usipoangalia mpaka ukifika muda huo utakua unaishi na maumivu iwapo SSH ataendelea kuwa rais mpaka 2030.
Kipi hiko? Kuwa muwazi ili tupate kuchangia.Ki hafla kidogo tu tunaendelea kushuhudia hudhurio lake huko!
Tanganyika ndiyo nini? Mbona haionekani kwenye ramani, haionekani kwenye Atlas, haionekani kwenye Google Maps? Unataka Wazanzibari waombe vibali vya kwenda nchi ambayo haionekani? Machogo mna matatizo sana.Aende tu, sina shida na hilo! Kukopa kwa jina la Tanganyika kwaajili ya Znz wasiochangia kulipa mkopo huo ndo tatizo kubwa ikifiatiwa na mgawanyo usio sawa wa utajiri wetu; wanadai wao ni nchi huru, sasa unahamaje nchi yako kwenda nchi nyingine bila vibali, pasi ya kusafiria, resident permit? Zaidi inajichukulia tu ardhi kama uko Makunduchi....
Mwenyekiti wa CCM haoni tatizo, raisi wa JMT anaona sawa, raisi wa Tanganyika bwana Mipango kawekwa mwandani, hafurukuti n.k
Kwa hiyo na yeye karibuni ataitwa hayati?Mwacheni mama, hayati alikua anaapisha viongozi Chato na mlifunga midomo yenu
Haki !sawasawa kabisa ,kutesa kwa zamu .It is our turn to eat. Kazi iendelee.waacheni nao wazazibari wapumue, mmewanyonya mno toka mwaka 64 wamevumilia tu.
Wote, mimi, wewe, yeye tutakua marehemu na hayati (hapa inategemea umekufaje? kiboya au ukiwa kiongozi)Kwa hiyo na yeye karibuni ataitwa hayati?
Hizo safar zingekuwa mwelekeo wake ni kwenu hata usingengea na ungeona yuko sawaHaki !sawasawa kabisa ,kutesa kwa zamu .It is our turn to eat. Kazi iendelee.