Samia ni Rais mwanamageuzi sio Rais wa kukariri ujinga ujinga kisa tuu sijui wazee sijui upuuzi gani hakuna nonsense..
Kwanza amesema hakuna kuogopa kubadili muelekeo wa Nchi kama Kuna manufaa regardless of maumivu ,mtazoea tuu [emoji91][emoji91]
Wenda mie mpumbavu kama ulivyo mpumbavu, ila kwa bahati mbaya we mjinga kama walivyo wengine ,pumbavuWewe mpumbavu amua tuone,ni nyie wajinga wachache ndio mnahangaisha na ndio maana mnapuuzwa.
Kama na wewe ni mtu mzima Sasa si Bora mtoto? Hovyo kabisaUsipende kuingilia mazungumzo ya watu wazima.
Nenda kacheze na watoto wenzako, au kama hutaki kakojoe ukalale
Wasomi wote waupinge then tuwapuuziie , halafu ndio tumsikilize mjinga mjoja sujui anaitwa johari!?Masharti yapi unayopinga wewe? Yana shida gani? Johari Katoa ufafanuzi unachopinga wewe ni kipi hasa?
UmepanicNdio hivyo kwani Cha ajabu ni kipi? Na huna jeuri yeyote kwake
Who is fucking hao wasomi wako Ili wawe ndio wanaofikiria Kwa niaba ya Watanzania? Kwani huko Serikalini Yuko Johar tuu? Ujinga umekujaa umeshikiwa akili.Who's is fu.ckin.g johar in this country!?Wasomi wote waupinge then tuwapuuziie , halafu ndio tumsikilize mjinga mjoja sujui anaitwa johari!?
Ni panic kwa.lipi? Huna Cha kumfanya na baba Yako anamsubilia kitandani,Kwa hiyo ulitaka wewe ndio ulazwe.kitandani?Umepanic
Kwani ndowewe unayeenda kusukumiwa njenge
Kama na wewe ni mtu mzima Sasa si Bora mtoto? Hovyo kabisa
Una laana kabisa weweHovyo ni wewe, baba na mama yako walio kuzaa, pamoja na kizazi chako.
Viazi kama nyie ni hasara kwa taifa.
Who is fucking hao wasomi wako Ili wawe ndio wanaofikiria Kwa niaba ya Watanzania? Kwani huko Serikalini Yuko Johar tuu? Ujinga umekujaa umeshikiwa akili.
Uwezo mdogo yule.Mama hajatuelewa kwa nini?
Sisi nani kamwambia tunakataa wawekezaji?
Kwa nini anaona ugumu kuelewa kinachopingwa ni aina ya mkataba na sio mwekezaji?
Nchi ngumu sana hii!
Korona pumbafu zake kabisa!
Mega foolFool
Madame, kukimbilia ni Sawa.. Naamini hata akikimbilia hawezi fanya mkataba wa hovyo kama wa hapa kwetu.... Wenzetu wa nakimbia na akili zao kichwani.. Sisi tunakimbia na akili zetu tumboni.. Utegemee mtakua Sawa? 😁 😁Rais Samia akihutubia wakati wa uapisho wa viongozi, akizungumzia kuhusu Wizara mpya ya Mipango na Uwekezaji ameonesha namna ya kuweza kuzitambua fursa mbalimbali na kuzifanyia kazi kama nchi ili zisipotee.
Akitolea mfano sakata la sasa la fursa ya uwekezaji kwenye bandari zetu amesema haya, nanukuu
Nataka niseme vizuri hili suala la fursa na watu wanavyozitumia. Ndugu zangu wakati sisi tunalumbana bandari yetu apewe nani, iende isiende, ikae, ivue, sivue, wenzetu kwa kuona malumbano yetu mmeona wame-jump wamekwenda kulekule, na lile jumba lililowekwa bendera ya Tanzania, limewekwa bendera ya jirani.
Sasa Tanzania tumeuza, wale jirani wamekimbilia kule kufanya nini?
Na siku ambayo Bunge letu hapa lilisema kwamba ni ruhusa bandari yetu iendeshwe na Serikali na sekta binafsi, siku ya pili wenzetu wakasema ninyi moja? Sisi zote zilizoko huku ziende private sector na wakakimbilia kwenda kule kwenda kuwahi nafasi. Kama wale wanalumbana, njooni huku.
Sasa muone jinsi fursa zinavyokuja na kukimbia harakaharaka na jinsi wengine wanavyoweza kuzitumia haraka haraka.
Nimesema tu nitoe mfano huo kuona changamoto na jinsi ya kupata fursa kuzitumia na kuzifanya zisiponyoke.
Je, kuna ukweli kuwa Nchi za Uarabuni, zinatumia uwezo wa DPW kuendesha bandari kumiliki rasilimali za nchi ugenini? Msikilize mchambuzi huyoThe process was then cancelled amid political undercurrents. The Treasury Cabinet Secretary previously confirmed that DP World were among many port operators being explored by the government as potential private partners to run the new Lamu Port
Njoo uniteke mrembo nipo faya upanga mtaa wa mindu nyumba na 132.Natamani wanaopinga bandari watekwe
Siyo kwamba hawajui kinachobishaniwa. Wanajitoa ufahamu makusudi tu. Walete hapa IGA ya Kenya kama nayo itakuwa na Mkataba wa milele Kwa wa kwetu. Watu gani rigid hivi hamtaki kukubali mmekosea mkasahihisha?Unajua tunashindwa kuelewana kitu kidogo sana, tunawahitaji sana hawa wawekezaji hata waanze kesho, ila si kwa mkataba huu.
Hao wenzetu tumeona mikataba yao kuwa ipo km ya kwetu?