Rais Samia: Sasa Tanzania tumeuza (Bandari), wale jirani wamekimbilia kule kufanya nini?

Rais Samia: Sasa Tanzania tumeuza (Bandari), wale jirani wamekimbilia kule kufanya nini?

Leo nimemsikia japo Kwa Mbali na Huwa sipendi kumsikia anaongea nini, Kwanza anatia huruma . Pumzi imekata kabisaa na wasaidizi wake wanazidi kumdanganya.

Nilitegemea nimsikie akitoa ufafanuzi Kwa Nini aliingia mikataba wa hovyo kama ule. Baadala Yake karudia ngojera zilezile eti tutapata faida.

Nilichosikitisha Zaidi ni yeyé kutoa mfano eti wenzetu wamekimbilia huko, whaaat kwa hiyó DPW ni Maembe ya bure tuyakimbilie kichwa kichwa bila kujiuliza.

Samia kafail pakubwa sana
Uliofail ni wewe na umekata pumzi.Huna unacheolezea.
 
Leo nimemsikia japo Kwa Mbali na Huwa sipendi kumsikia anaongea nini, Kwanza anatia huruma . Pumzi imekata kabisaa na wasaidizi wake wanazidi kumdanganya.

Nilitegemea nimsikie akitoa ufafanuzi Kwa Nini aliingia mikataba wa hovyo kama ule. Baadala Yake karudia ngojera zilezile eti tutapata faida.

Nilichosikitisha Zaidi ni yeyé kutoa mfano eti wenzetu wamekimbilia huko, whaaat kwa hiyó DPW ni Maembe ya bure tuyakimbilie kichwa kichwa bila kujiuliza.

Samia kafail pakubwa sana
Sasa ndiyo umeandika utumbo gani huu?
Kwa ufupi Mama anaupiga mwingi sana Mitano tena.
 
Leo nimemsikia japo Kwa Mbali na Huwa sipendi kumsikia anaongea nini, Kwanza anatia huruma . Pumzi imekata kabisaa na wasaidizi wake wanazidi kumdanganya.

Nilitegemea nimsikie akitoa ufafanuzi Kwa Nini aliingia mikataba wa hovyo kama ule. Baadala Yake karudia ngojera zilezile eti tutapata faida.

Nilichosikitisha Zaidi ni yeyé kutoa mfano eti wenzetu wamekimbilia huko, whaaat kwa hiyó DPW ni Maembe ya bure tuyakimbilie kichwa kichwa bila kujiuliza.

Samia kafail pakubwa sana
Tafuta msosi Kwa wanako
 
Leo nimemsikia japo Kwa Mbali na Huwa sipendi kumsikia anaongea nini, Kwanza anatia huruma . Pumzi imekata kabisaa na wasaidizi wake wanazidi kumdanganya.

Nilitegemea nimsikie akitoa ufafanuzi Kwa Nini aliingia mikataba wa hovyo kama ule. Baadala Yake karudia ngojera zilezile eti tutapata faida.

Nilichosikitisha Zaidi ni yeyé kutoa mfano eti wenzetu wamekimbilia huko, whaaat kwa hiyó DPW ni Maembe ya bure tuyakimbilie kichwa kichwa bila kujiuliza.

Samia kafail pakubwa sana
Tusubiri mvua inyeshe tujue panapovuja
 
Anajua sana, zile ni siasa tu. Ulitaka asemeje ili ujue anajua wakati yeye anataka jambo lake lipite.
 
Watu hawapingi muwekezaji lakini Wana pata mashaka na baadhi ya vipengele vya mkataba, nyie badala ya kujibu hoja zao mna wadhihaki na hapo ndipo mashaka yanapo zidi
 

Rais Samia akihutubia wakati wa uapisho wa viongozi, akizungumzia kuhusu Wizara mpya ya Mipango na Uwekezaji ameonesha namna ya kuweza kuzitambua fursa mbalimbali na kuzifanyia kazi kama nchi ili zisipotee.

Akitolea mfano sakata la sasa la fursa ya uwekezaji kwenye bandari zetu amesema haya, nanukuu

Nataka niseme vizuri hili suala la fursa na watu wanavyozitumia. Ndugu zangu wakati sisi tunalumbana bandari yetu apewe nani, iende isiende, ikae, ivue, isivue, wenzetu kwa kuona malumbano yetu mmeona wame-jump wamekwenda kulekule, na lile jumba lililowekwa bendera ya Tanzania, limewekwa bendera ya jirani.

Sasa Tanzania tumeuza, wale jirani wamekimbilia kule kufanya nini?

Na siku ambayo Bunge letu hapa lilisema kwamba ni ruhusa bandari yetu iendeshwe na Serikali na sekta binafsi, siku ya pili wenzetu wakasema ninyi moja? Sisi zote zilizoko huku ziende private sector na wakakimbilia kwenda kule kwenda kuwahi nafasi. Kama wale wanalumbana, njooni huku.

Sasa muone jinsi fursa zinavyokuja na kukimbia haraka haraka na jinsi wengine wanavyoweza kuzitumia haraka haraka.


Nimesema tu nitoe mfano huo kuona changamoto na jinsi ya kupata fursa kuzitumia na kuzifanya zisiponyoke.
Mungu wangu! Kumbe mama anajua DPW kapewa bandari moja? Kumbe mama anauza nchi bila kujua.
 
Samia mjinga sana.

Kasaini instruments of full powers kumuidhinisha Waziri Mbarawa wa Tanzani atie saini mkataba kwa niaba ya serikali ya Tanzania na serikali ya Dubai.

Huyu rais huwa anasoma anachosaini?
 
Mama mswahili huyu.
Analeta mipasho kwenye mambo serious

Huku bandari gani moja anayoongelea?
Inaonekana alitoa ruhusa ya bandari moja tu wajanja wamekabidhi zote.
Hajui mkataba huyu
 
Mungu wa Mbinguni asaidie Taifa letu na Viongozi wake. Kwamba Tanzania imefikia mahali tunatishiwa kwa bendera ya nchi jirani kupeperushwa kwenye jengo refu kuliko yote duniani.

Hii ni Tanzania iliyo na historia ya kuongoza mapambano ya ukombozi wa nchi za Afrika kusini mwa jangwa la Sahara ama?

Tanzania tunatakiwa Bandari yetu iwe mshindani wa Bandari ya Dubai na hizi za nchi za jirani wala si vinginevyo.

Hatuwezi kuwa wa shindani wa bandari ya Dubai kama watatuendeshwa wao tutaishia kubemendwa.

Huo ndio ukweli mchungu na mkataba wa makubaliano ya awali unaonesha hivyo.
Watanzania yaani nadharia nyingi ila uhalisia sasa hamna kitu achana na mambo tulipaswa kipi nireality sijui tumerogwa yaani hatuoni ukweli sijui tumelishwa nini yaani sisi wa kushindana na Dubai kwa sasa kwenye utendaji kazi wa bandari kweli kweli hio labda iwe hivi tuwaachie bandari wawekeze halafu tuwanyanganye halafu tushindane nao yaani uwezo wetu wa kusupport bajeti yetu 100% kabisa bila kutegemea popote tu hatujafikia halafu ndio tuanze kuleta umwamba wa kushindana hembu tuwe na uhalisia tuuuvae uhalisia bila foreign direct investment hatuwezi kutoboa we need it ili tuweze kukua lakini pia kuongeza wigo mpana wa masoko toka huko makampuni mageni yalikotoka.
 
Serikali isiwape sikio wanaopiga kelele, wanatucheleweshea maendeleo..tusonge mbele!
 
Watanzania yaani nadharia nyingi ila uhalisia sasa hamna kitu achana na mambo tulipaswa kipi nireality sijui tumerogwa yaani hatuoni ukweli sijui tumelishwa nini yaani sisi wa kushindana na Dubai kwa sasa kwenye utendaji kazi wa bandari kweli kweli hio labda iwe hivi tuwaachie bandari wawekeze halafu tuwanyanganye halafu tushindane nao yaani uwezo wetu wa kusupport bajeti yetu 100% kabisa bila kutegemea popote tu hatujafikia halafu ndio tuanze kuleta umwamba wa kushindana hembu tuwe na uhalisia tuuuvae uhalisia bila foreign direct investment hatuwezi kutoboa we need it ili tuweze kukua lakini pia kuongeza wigo mpana wa masoko toka huko makampuni mageni yalikotoka.

Kama hujui hata USA wana mkopo mkubwa huko China unafikiri utasaidika vipi?
 
"Wakati sisi tunalumbana bandari apewe nani iende isiende, ikae, ivue isivue, wenzetu kwa kuona malumbano yetu wame-jump wamekwenda kulekule, lile lile jumba lilowekwa bendera ya Tanzania limewekwa bendera ya jirani, sasa Tanzania tumeuza wale jirani wamekimbilia kule kufanya nini?, na siku ambayo bunge letu lilisema ni ruhusa bandari iendeshwe na serikali na sekta binafsi siku ya pili wenzetu wakasema nyinyi moja, sisi zote ziende private sector wakakimbia kule kuwahi nafasi,"- Rais @samia_suluhu_hassan

"Sasa muone jinsi ambavyo fursa zinavyokuja na kukimbia haraka haraka na jinsi wengine wanavyoweza kuzitumia haraka haraka, nilisema nitoe tu mfano huo kuona changamoto na jinsi ya kuzitumia fursa na kuzifanya zisichomoke,"- Rais Samia


#ViapoIkulu
#EastAfricaTV
Hii nayo ni akili ya mtu anayejiamini na uchungu na rasimali zake?
 

Rais Samia akihutubia wakati wa uapisho wa viongozi, akizungumzia kuhusu Wizara mpya ya Mipango na Uwekezaji ameonesha namna ya kuweza kuzitambua fursa mbalimbali na kuzifanyia kazi kama nchi ili zisipotee.

Akitolea mfano sakata la sasa la fursa ya uwekezaji kwenye bandari zetu amesema haya, nanukuu

Nataka niseme vizuri hili suala la fursa na watu wanavyozitumia. Ndugu zangu wakati sisi tunalumbana bandari yetu apewe nani, iende isiende, ikae, ivue, isivue, wenzetu kwa kuona malumbano yetu mmeona wame-jump wamekwenda kulekule, na lile jumba lililowekwa bendera ya Tanzania, limewekwa bendera ya jirani.

Sasa Tanzania tumeuza, wale jirani wamekimbilia kule kufanya nini?

Na siku ambayo Bunge letu hapa lilisema kwamba ni ruhusa bandari yetu iendeshwe na Serikali na sekta binafsi, siku ya pili wenzetu wakasema ninyi moja? Sisi zote zilizoko huku ziende private sector na wakakimbilia kwenda kule kwenda kuwahi nafasi. Kama wale wanalumbana, njooni huku.

Sasa muone jinsi fursa zinavyokuja na kukimbia haraka haraka na jinsi wengine wanavyoweza kuzitumia haraka haraka.


Nimesema tu nitoe mfano huo kuona changamoto na jinsi ya kupata fursa kuzitumia na kuzifanya zisiponyoke.
Daaaah anaongelea hii au ipi? 👇👇👇
 
Back
Top Bottom