Rais Samia: Sasa Tanzania tumeuza (Bandari), wale jirani wamekimbilia kule kufanya nini?

Rais Samia: Sasa Tanzania tumeuza (Bandari), wale jirani wamekimbilia kule kufanya nini?

Mkataba una shida gani?
Ni kama akili zenu nyote, wewe pamoja naorodha hiyo iliyokupa 'like'; akili zenu zimeganda mahali fulani na kamwe hamuwezi kuziondoa kwenye mgando huo.
Kama hadi wakati huu bado unauliza swali hilo, ina maana huamini kuwa hiyo 'IGA' ni mkataba.
Lakini pamoja na tunapokubaliana juu ya hilo, kuwa ni "Makubaliano", bado hamuoni ubovu uliomo kwenye hayo makubaliano!

Kinachotakiwa sasa, labda elekezeni akili zenu kwenye kuwaeleza wananchi wa nchi hii, kwamba "Makubaliano" hayo hayana uhusiano wowote na "Mikataba" itakayoingiwa.
Hapo mtakuwa na kazi ya kuwaambia wananchi kuwa makubaliano ya IGA yawepo au yasiwepo, haiathiri chochote katika mikataba hiyo ya HGA.

Kwa hiyo, nwasihi sasa, muelekeze akili zenu katika kuifuta IGA, ila tuendelee na HGA.

Nimeona mahali fulani ume'ni'quote', sijakusoma huko, nitakutafutia muda, maanake najua utakuwa umeacha takataka kama hizi unazoeneza kila mahali. Kwa hiyo vuta subira juu ya hilo.
 
Huyu mama uyu, why unasaini mkataba kimia kimia, ajipange hii ngoma nzito sana
Hakuna lolote, mikataba husika itasainiwa, DP WORLD atakuja , badabri itaboreka , na wapingaji wataaibika
 
Yaani huyo mama tunamheshimu sana ila ana shindwa kuwa na uelewa na vitu vidogo sana. Hakuna mtu ambaye hataki privatization ya bandari zetu kuongeza mapato na ufanisi. Ambacho hatutaki ni hio mikataba ambayo yeye anapewa huko akiwa kashashiba iftar. Afanye review ya mikataba iwe standard alafu aone kama kutakuwa na kelele. Vitu very simple vinamshinda.
 

Rais Samia akihutubia wakati wa uapisho wa viongozi, akizungumzia kuhusu Wizara mpya ya Mipango na Uwekezaji ameonesha namna ya kuweza kuzitambua fursa mbalimbali na kuzifanyia kazi kama nchi ili zisipotee.

Akitolea mfano sakata la sasa la fursa ya uwekezaji kwenye bandari zetu amesema haya, nanukuu

Nataka niseme vizuri hili suala la fursa na watu wanavyozitumia. Ndugu zangu wakati sisi tunalumbana bandari yetu apewe nani, iende isiende, ikae, ivue, sivue, wenzetu kwa kuona malumbano yetu mmeona wame-jump wamekwenda kulekule, na lile jumba lililowekwa bendera ya Tanzania, limewekwa bendera ya jirani.

Sasa Tanzania tumeuza, wale jirani wamekimbilia kule kufanya nini?

Na siku ambayo Bunge letu hapa lilisema kwamba ni ruhusa bandari yetu iendeshwe na Serikali na sekta binafsi, siku ya pili wenzetu wakasema ninyi moja? Sisi zote zilizoko huku ziende private sector na wakakimbilia kwenda kule kwenda kuwahi nafasi. Kama wale wanalumbana, njooni huku.

Sasa muone jinsi fursa zinavyokuja na kukimbia harakaharaka na jinsi wengine wanavyoweza kuzitumia haraka haraka.


Nimesema tu nitoe mfano huo kuona changamoto na jinsi ya kupata fursa kuzitumia na kuzifanya zisiponyoke.
Watakuja watakaa hapa wataiacha Tanzania ikiwa hoi ,tuona kama kutakuwa na change zozote kuwa mwarabu anatupenda sana
 

Rais Samia akihutubia wakati wa uapisho wa viongozi, akizungumzia kuhusu Wizara mpya ya Mipango na Uwekezaji ameonesha namna ya kuweza kuzitambua fursa mbalimbali na kuzifanyia kazi kama nchi ili zisipotee.

Akitolea mfano sakata la sasa la fursa ya uwekezaji kwenye bandari zetu amesema haya, nanukuu

Nataka niseme vizuri hili suala la fursa na watu wanavyozitumia. Ndugu zangu wakati sisi tunalumbana bandari yetu apewe nani, iende isiende, ikae, ivue, sivue, wenzetu kwa kuona malumbano yetu mmeona wame-jump wamekwenda kulekule, na lile jumba lililowekwa bendera ya Tanzania, limewekwa bendera ya jirani.

Sasa Tanzania tumeuza, wale jirani wamekimbilia kule kufanya nini?

Na siku ambayo Bunge letu hapa lilisema kwamba ni ruhusa bandari yetu iendeshwe na Serikali na sekta binafsi, siku ya pili wenzetu wakasema ninyi moja? Sisi zote zilizoko huku ziende private sector na wakakimbilia kwenda kule kwenda kuwahi nafasi. Kama wale wanalumbana, njooni huku.

Sasa muone jinsi fursa zinavyokuja na kukimbia harakaharaka na jinsi wengine wanavyoweza kuzitumia haraka haraka.


Nimesema tu nitoe mfano huo kuona changamoto na jinsi ya kupata fursa kuzitumia na kuzifanya zisiponyoke.
Akwende zake huko. Hatu copy na ku paste. Tunaishi Kwa katiba na Sheria.
 
Sitaki kuamini kwamba mama mpaka Sasa anashindwa kuwaelewa watanzania wanapinga nini au kwasababu hana la kujibu ndiomana kaongea hiko alichoongea kweli?🙆
WATANZANIA HAWAPINGI UWEKEZAJI BALI WANAPINGA AINA YA MKATABA TULIOINGIA NA HUYO MWEKEZAJI MWENYEWE.
Mama your office is too higher na inapaswa ikate kiu ya watanzania, nini hasa kinachoshindikana kuifanyia Reformation huo mkataba na kuondoa hivyo vifungu vinavyopigiwa kelele?
Kingine kweli mama swala la jumba refu duniani kuweka bendera ya Egypt ndio iwe bakora kwa kuwasuta watanzania? Kwani watanzania wanahitaji kupeperushiwa bendera yao kwenye hilo jumba au mazingira salama na mazuri juu ya rasilimali zao? That was too cheap for you to say in front of Camera😭
 
Je, kuna ukweli kuwa Nchi za Uarabuni, zinatumia uwezo wa DPW kuendesha bandari kumiliki rasilimali za nchi ugenini? Msikilize mchambuzi huyo



Ni kweli ndiyo maana makampuni makubwa huamua kununua kampuni ndogo zinazochipukia ili waondokane na ushidani au kunyakua fursa ambazo kampuni kubwa hawakuziona mwanzo .


Famed investor Warren Buffett has long talked about the importance of firms creating an “economic moat” around themselves as a way to stave off competition. But many of the tricks and strategies companies employ to get there are quite ugly and unfair and really tip the playing field. https://www.vox.com/the-goods/how-big-business-exploits-small-business
 

Rais Samia akihutubia wakati wa uapisho wa viongozi, akizungumzia kuhusu Wizara mpya ya Mipango na Uwekezaji ameonesha namna ya kuweza kuzitambua fursa mbalimbali na kuzifanyia kazi kama nchi ili zisipotee.

Akitolea mfano sakata la sasa la fursa ya uwekezaji kwenye bandari zetu amesema haya, nanukuu

Nataka niseme vizuri hili suala la fursa na watu wanavyozitumia. Ndugu zangu wakati sisi tunalumbana bandari yetu apewe nani, iende isiende, ikae, ivue, sivue, wenzetu kwa kuona malumbano yetu mmeona wame-jump wamekwenda kulekule, na lile jumba lililowekwa bendera ya Tanzania, limewekwa bendera ya jirani.

Sasa Tanzania tumeuza, wale jirani wamekimbilia kule kufanya nini?

Na siku ambayo Bunge letu hapa lilisema kwamba ni ruhusa bandari yetu iendeshwe na Serikali na sekta binafsi, siku ya pili wenzetu wakasema ninyi moja? Sisi zote zilizoko huku ziende private sector na wakakimbilia kwenda kule kwenda kuwahi nafasi. Kama wale wanalumbana, njooni huku.

Sasa muone jinsi fursa zinavyokuja na kukimbia harakaharaka na jinsi wengine wanavyoweza kuzitumia haraka haraka.


Nimesema tu nitoe mfano huo kuona changamoto na jinsi ya kupata fursa kuzitumia na kuzifanya zisiponyoke.
Hiyo bendera nasikia imeyeyuka
 
Samia empty sana, kwahiyo kama sisi tumefanya kosa ambalo linarudiwa na jirani, hiyo ndio sababu ya kuhalalisha kosa tulilofanya?

Sasa naamini huyu mwanamke hajawahi hata kuusoma ule mkataba, alioneshwa tu sehemu ya kusaini, nae akaweka saini yake.

Tuna hasara sana watanganyika.
Unajua hakuna haja ya kukimbilia kusaini vitu vitavyoweka nchi kwenye matatizo.

Tuhahitaji wawekezaji, ila masharti yawe rafiki kwa maslahi ya Tanganyika na vizazi vyao huko mbele. Tusiuze nchi jumla sababu ya desperation.

Everything should be careful considered, without haste.
 
Aina ya mkataba ndio wa kisasa, mbona JPM alisaini mkataba wa bomba la mafuta, uliwahi kuuona unafananaje?.

Huu sio wa kwanza kusainiwa na wanasheria wa serikali, suala la bandari linagusa maslahi ya wafanya biashara wanaozoea kula pesa ndefu hivyo wanaona ni vigumu kuachia ulaji uwaponyoke.
JPM alisaini mikataba ya bomba la mafuta mingi tu na ile mikataba ilisainiwa taifa zima tukishuhudia huku tukielezwa contents na kila hatua.

Mambo mengi ya kimsingi yahusuyo maslahi ya kitaifa aliyafanya live na kuyafafanua.
 
Kama upo naye karibu muulize, mkataba wa huyo jirani ameuona., maana hawa jamaa wakikutana na Nchi zenye watu wanaojielewa wanakuwa serious sana, ila wakikutana na Nchi Kama zetu wanatuona kama omba.

Yaani inakuwa kama vile wao tunawahitaji saana watusaidie, wakati wao pia wanaviitaji vitu vyetu tena kwa ulaghai, wanufaike zaidi wao kuliko wew mwenye nyumba. Mambo haya utayaona kwenye Nchi za Kiafrica tu zenye Watawala wasiojielewa nin wanataka, wanataka Nchi zao zifike wapi nanikwamda gani.,

Africa ilikuwa na viongozi wale wa mwanzo tu baada ya kupata uhuru kutoka kwa wakoloni, lakini hawa waliofuata ni wanafiki, wabinafsi, wafisadi na wasiozitakia mema Nchi zao. Africa inaongoza kwa kuwa na vita za wenyewe kwa wenyewe, na hii yote inatokana na kuwa na mifumo mibovu ya kiutawala., na watawala kuiona Nchi kama familia yake akitaka chochote anafanya bila kuangalia masirahi ya Wananchi.
Mkuu ni kweli kabisa, wale Viongozi wetu wa kwanza baada ya kupata Uhuru walikuwa committed kwa Wananchi na maendeleo ya Nchi zao. Umenikumbusha ishu moja miaka ya 1970/80 Kampuni ya UDA ilipo kwenda Hungary kununua mabasi ya abiria aina ya Ikarus ambayo ni kama haya ya mwendokasi ; yule officer aliye enda kununua hayo magari aka zawadiwa "Ikarus moja fupi/dogo kama 10% yake, lakini Serikali lilimtaka Ofisa huyu arudishe bus hilo UDA, maana hiyo % ni kwa wa-TZ wote.
Viongozi turudi kwenye uzalendo huo.
 

Rais Samia akihutubia wakati wa uapisho wa viongozi, akizungumzia kuhusu Wizara mpya ya Mipango na Uwekezaji ameonesha namna ya kuweza kuzitambua fursa mbalimbali na kuzifanyia kazi kama nchi ili zisipotee.

Akitolea mfano sakata la sasa la fursa ya uwekezaji kwenye bandari zetu amesema haya, nanukuu

Nataka niseme vizuri hili suala la fursa na watu wanavyozitumia. Ndugu zangu wakati sisi tunalumbana bandari yetu apewe nani, iende isiende, ikae, ivue, isivue, wenzetu kwa kuona malumbano yetu mmeona wame-jump wamekwenda kulekule, na lile jumba lililowekwa bendera ya Tanzania, limewekwa bendera ya jirani.

Sasa Tanzania tumeuza, wale jirani wamekimbilia kule kufanya nini?

Na siku ambayo Bunge letu hapa lilisema kwamba ni ruhusa bandari yetu iendeshwe na Serikali na sekta binafsi, siku ya pili wenzetu wakasema ninyi moja? Sisi zote zilizoko huku ziende private sector na wakakimbilia kwenda kule kwenda kuwahi nafasi. Kama wale wanalumbana, njooni huku.

Sasa muone jinsi fursa zinavyokuja na kukimbia haraka haraka na jinsi wengine wanavyoweza kuzitumia haraka haraka.


Nimesema tu nitoe mfano huo kuona changamoto na jinsi ya kupata fursa kuzitumia na kuzifanya zisiponyoke.
UPOFU WA NGAWILA
 
Leo nimemsikia japo Kwa Mbali na Huwa sipendi kumsikia anaongea nini, Kwanza anatia huruma . Pumzi imekata kabisaa na wasaidizi wake wanazidi kumdanganya.

Nilitegemea nimsikie akitoa ufafanuzi Kwa Nini aliingia mikataba wa hovyo kama ule. Baadala Yake karudia ngojera zilezile eti tutapata faida.

Nilichosikitisha Zaidi ni yeyé kutoa mfano eti wenzetu wamekimbilia huko, whaaat kwa hiyó DPW ni Maembe ya bure tuyakimbilie kichwa kichwa bila kujiuliza.

Samia kafail pakubwa sana
 
JPM alisaini mikataba ya bomba la mafuta mingi tu na ile mikataba ilisainiwa taifa zima tukishuhudia huku tukielezwa contents na kila hatua.

Mambo mengi ya kimsingi yahusuyo maslahi ya kitaifa aliyafanya live na kuyafafanua.
Walioipitisha hiyo mikataba ni hawa hawa kina Hamza Johari ambao leo wanaonekana ni wasaliti kwenye nchi yao!, ndio uishangae Tanzania.

Chuki za kumnyanyapaa rais na waziri Mbarawa zinaonekana zina mantiki awamu hii kwa suala hili la DPW wakati wanasheria waliopitisha mikataba ya JPM ndio hawa hawa wanaofanya kazi na SSH.
 
Mkuu ni kweli kabisa, wale Viongozi wetu wa kwanza baada ya kupata Uhuru walikuwa committed kwa Wananchi na maendeleo ya Nchi zao. Umenikumbusha ishu moja miaka ya 1970/80 Kampuni ya UDA ilipo kwenda Hungary kununua mabasi ya abiria aina ya Ikarus ambayo ni kama haya ya mwendokasi ; yule officer aliye enda kununua hayo magari aka zawadiwa "Ikarus moja fupi/dogo kama 10% yake, lakini Serikali lilimtaka Ofisa huyu arudishe bus hilo UDA, maana hiyo % ni kwa wa-TZ wote.
Viongozi turudi kwenye uzalendo huo.
Leo hakuna Mtawala wakuuuliza wala kukemea ubadhirifu wowote unaofanywa, maana hata neno RUSHWA hawataki kulisikia, wanataka wasikie neno TAKRIMA., ni ngum sana kuisha machafuko Nchi za Africa.
 
Back
Top Bottom