Serikali ya Tanganyika itapata shilling ngapi kwa mwezi katika kukodisha hiyo bandariRais Samia Suluhu leo Juni 09, 2023 amesema sekta binafsi ndiyo itakayoitoa Tanzania kiuchumi, ameyasema hayo wakati akishiriki Mkutano wa 14 wa Baraza la Taifa la Biashara(TNBC).
Rais Samia amesema wajibu wa Serikali ni kutengeza mazingira bora ya kufanya biashara jambo ambalo pia litatanua wigo wa kukusanya kodi.
Nashindwa nikueleweshe vipi, lakini ndio kama unataka mashirika yetu haya ambayo hayajawahi kuwasirisha faida hata mwaka mmoja za ya kila mwaka kuomba ruzuku ili yasife Kwa kweli hapana, mwarabu ingia mzigoni haraka Sana, Kwa sasa msimuelewe tu mama Ila baadae mtamuelewa na mtasema kwanini alichelewa.Mfumo wa kibinafsi ndio upi as long as inamilikiwa na Serikali ni Kampuni ya Serikali.
Mashirika hayo mengi yalibinafsishwa kwa wawekezaji wa nje na sio ndani-acha kupotosha,na mengi yamekufa.
Tutalipwa ngapi kwa hii biashara naomba jibu jamani kwani nataka niunge mikono na miguuSafi kabisa kanyaga twende
Mama na sisi Wakazi wa Kigamboni atukumbuke, pale Kivukoni ni shida tupu kuvuka,tunakuomba ututaftie Mwarabu wa kutuvusha kwa uraisi na kwa haraka,Temesa wamefeli tayari!! Asante Mama naomba kuwasilisha!!Mama wa ajabu kuwahi kutokea
Kwani kabla ulikuwa unalipwa ngapiTutalipwa ngapi kwa hii biashara naomba jibu jamani kwani nataka niunge mikono na miguu
Mzizima wewe na bandari ya zamani ilikuwa Gezaulole na ilikuwa inaitwa Mrima acha ushambaKwanza lipia jina "Daresalaam" jina la Kiarabu
Yamenyooka kama rulermama yuko makini napenda sana mambo yake yalivyonyoka
Waulize bandari waseme walikuwa wanaingiza ngapi sio mimi binafsiKwani kabla ulikuwa unalipwa ngapi
Ukikamatwa na wale jamaa walio wekewa kinga jana,usianze kulia.Wewe mama utukome,ndo uuze Bandari zetu?
Jina "Daresalaam" ni la Kiarabu lilipiwe hati miliki.Mzizima wewe na bandari ya zamani ilikuwa Gezaulole na ilikuwa inaitwa Mrima acha ushamba
Hivi unajua atalipa ngapi??Nashindwa nikueleweshe vipi, lkn ndo kama unataka mashirika yetu haya ambayo hayajawahi kuwasirisha faida hata mwaka mmoja za ya kila mwaka kuomba ruzuku ili yasife Kwa kweli hapana, mwarabu ingia mzigoni haraka Sana, Kwa sasa msimuelewe tu mama Ila baadae mtamuelewa na mtasema kwanini alichelewa.
Kwani kabla unajua palikuwa panaingiza kiasi ganiTutalipwa ngapi kwa hii biashara naomba jibu jamani kwani nataka niunge mikono na miguu
Kaka ninachokueleza ni kuwa unapoona kwenye madini tunavyopigwa ndivyo hivyo kwenye maeneo mengine pia.shida ya Nchi za kiafrika sio upatikanaji wa fedha bali ni uongozi hovyo,uzalendo na Elimu.Nashindwa nikueleweshe vipi, lkn ndo kama unataka mashirika yetu haya ambayo hayajawahi kuwasirisha faida hata mwaka mmoja za ya kila mwaka kuomba ruzuku ili yasife Kwa kweli hapana, mwarabu ingia mzigoni haraka Sana, Kwa sasa msimuelewe tu mama Ila baadae mtamuelewa na mtasema kwanini alichelewa.
Basi kwa sasa hv itakuwa ni mara kumi yakeWaulize bandari waseme walikuwa wanaingiza ngapi sio mimi binafsi
Elewa basi kujenga na kuendesha ni vitu viwili tofauti, mfano mdogo ni mwendokasi serikali imejenga miundombinu mizuri na ya kisasa imekabidhi majizi waendeshe huo mradi nazani unachokiona kwenye mwendokasi labda na kwenye hili la bandari unaweza kunielewa.Serikali yenye maliasili lukuki inashindwa nini kutumia rasilimali zake kutafuta fedha kisha ikazitumia kuendeleza hiyo bandari???,kwani hao UAE walitoa wapi fedha mpaka wakaanzisha hizo kampuni si walitumia rasilimali zao.
Mkuu kuwa mwangalifu na arguments zako usidhani huku una argue na wanafunzi wa kidato cha 6.
Muombe mwarabu ajenge bandari ndogo GezauloleMama na sisi Wakazi wa Kigamboni atukumbuke, pale Kivukoni ni shida tupu kuvuka,tunakuomba ututaftie Mwarabu wa kutuvusha kwa uraisi na kwa haraka,Temesa wamefeli tayari!! Asante Mama naomba kuwasilisha!!
ndugai ❌️ndungai
Jamaa yupo sawa, Unapigwa dole la matako katika mazingira gani? Hii mifano mingine tuachane nayo tu. Tunaweza kupinga kuuzwa kwa bandari bila kuhusisha matako, makalio.Mtu akikupiga kidole cha matako halafu ukaendelea kumuheshimu basi atampiga na mkeo dole la makalio.., na ukiendelea hivyo na yeye ataendelea tena, hasara ipo , tena kubwa!!!!