imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Unapinga nini?Waarabu au Mkataba?Umeandika vingi sana ,
Nianze kukujibu kipi ewe mjukuu wa sultan Majid.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapinga nini?Waarabu au Mkataba?Umeandika vingi sana ,
Nianze kukujibu kipi ewe mjukuu wa sultan Majid.
Mkataba wa waarabu.Unapinga nini?Waarabu au Mkataba?
Mikataba ya Wazungu kwenye Migodi yetu vipi?Mkataba wa waarabu.
PoleAkafanye Zanzibar Ili hata tukijitenga rasilimali zetu ziwe salama
Poleni sanaMkataba wa waarabu.
Mikataba ya Wazungu kwenye Migodi yetu vipi? Haina kasoro yoyote
Hiyo tulipinga mkatuona madikteta.Mikataba ya Wazungu kwenye Migodi yetu vipi?
Hii haina kasoro yoyote🙏
Sasa ndio uchukue tu uwape sekta binafsi bila kuangalia kama mkataba una maslahi kwa taifa.Serikali ya Emirates inafanya biashara ktk mfumo wa kibinafsi, na wanajielewa, watz mashirika ya kibiashara yote mmeua na bado mnangangania kuyaendesha ili muendelee kuiba na kutafuna jasho la watz majizi makubwa nyie.
Mkataba alioingia yeye wa Bomba la mafuta vipi?Hiyo tulipinga mkatuona madikteta.
Sheria mkabadili ili muwape utamu vizuri
Huoni hata UN Rose walimtoaUwezo wa wanawake kwakweli ni wa kuutafakari
Tatizo lake niini??Mkataba alioingia yeye wa Bomba la mafuta vipi?
Wewe lipiza 2025Tena atukomee kabisaaa, si akafanye hayo huko kwao Zenjii.
Kwahiyo tuwe tunawapa wawekezaji kwa kuangalia Dini zao?Hii haina kasoro yoyote🙏
Msikilize Msukuma.Tatizo lake niini??
Hata lile zimwi mlisema hivo hivoAjali itawaua nyie Samia hakuna cha kumtisha na ni rais mpaka 2030 mnaowaza kumtoa kafanyeni inshu zengine
Hili ni shamba ambalo yoyote anaweza vuna hatuangalia DINI.Kwahiyo tuwe tunawapa wawekezaji kwa kuangalia Dini zao?
Kwa sasa uwekezaji kkubwa utaenda kwa waarabu tuMama tuna ardhi kubwa sana chukua mikoa 4 wape wachina/wahindi waanzishe makazi watulipe hela tujenge SGR Nchi nzima
Mnaziendesha kwa faida?Kwani NDEGE ANAZO NUNUA NA ZA NANI? Tuanzie hapo kwanza