Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Sensa ni takwimu za idadi ya watu ndugu, inaangalia vitu kama ukuaji wake, umri, kipato n.kKwani umewahi kusikia chuo cha sensa popote? Hili ni jambo la kukubaliana tu
🤣🤣Hata hio % tunaweza tusifike tuko wachache mno sio rahis kua kwenye kundi letu wengi wanashindwa, hongera kwakua wengi sasa inakuaje hamjiamin nahamuishi kulalamika
Hatupo kabisa mpo waislamu Tu Tanzania.Okeee, ndio maana munapinga kwa kuwa mushajijua mupo wachache sanaaa, nasikia ni 7% tu
Kama ni kweli basi muna haki ya kupinga, vinginevyo tuthibitishe tu
[emoji1][emoji1][emoji119][emoji119][emoji119]Hatupo kabisa mpo waislamu Tu Tanzania.
Tofautisha taaluma ya upolisi na mambo ya takwimuSensa ni takwimu za idadi ya watu ndugu, inaangalia vitu kama ukuaji wake, umri, kipato n.k
Uchukuaji na uchambuzi wa takwimu ni taaluma, hata vyuoni kuna kozi hizo
Kama unaamini mko wengi si mtumie uwingi wenu kupindua matokea?Tatizo nyie ndio chanzo cha mateso yetu,
Kufelisha watoto wetu shule,
Kupeana kazi ki idini,
Kufisidi mali ya umma,
Na mengi yapo Ila tuyaache yasidishe uchungu na maumivu
Acha upuuzi,, unataka idadi? Wambieni kanisani kwenu mhesabiane ..No, no, no
Tunataka kuhesabiwa kwa dini zetu, tujuane tu, hii itasaidia katika mgawanyo wa mambo mengi tu,
Wakati ni sasa,
Unyonge na uonevu uishe
Rais Samia Suluhu Hassana ametoa wito kwa wananchi kujitokeza katika zoezi la sensa huku akisema suala jipya lililoongezwa ni swali kuhusu anuani za makazi.
Amesema hakutakuwa na swali la kuhusu dini ya mtu kwa kuwa suala hilo lilishakataliwa tangu enzi za Rais Julius Nyerere, hivyo hakutakuwa na swali la namna hiyo.
Rais ameyasema hayo akiongea na wanawake Zanzibar.
Mpuuzi mama yako,Acha upuuzi,, unataka idadi? Wambieni kanisani kwenu mhesabiane ..
Aaah sasa unaharibu utamu,Hatupo kabisa mpo waislamu Tu Tanzania.
Unataka niongee lugha yangu uku wewe unataka tuige mambo ya nchi zingine yasiyo na faida hapa kwetu.maana mambo ya nigeria,somalia yanatuhusu nini sisi.Mara ngapi tumesikia vikundi vya kidini vikigombana na serikali kwenye baadhi ya hizo nchi zako ulizozitaja.kwahiyo unataka nasisi tuwe wajinga kama hao.So what??? Hii lugha umeletewa, ongea lugha yako
Kilichojificha ni ujinga wako uliouleta hadharani wakuwahusisha wakristo na jambo lisilowahusu.Ni kiongozi gani wakikristo aliyepinga hilo swala wakati linaratibiwa na serikali.Kwahiyo na huyu rais wasasa aliyekataa huo ujinga naye ni mkristo?Kwa nini Wakristo ndio huwa wanapinga kwa nguvu zote hili suala? Wanaogopa nini? Nini kilichojificha hawataki kijulikane?
Kwa akili finyu kama hizi sababu ulizo orodhesha , nafikiri ndio maana wameamuwa waondoe hicho kipengeleHawa CCM sijui Nyerere wanamuonaje na kumchukuliaje, Nyerere alikuwa ni binadamu na alikuwa na madhaifu sana, Nyerere hakuwa mkweli kuna siku alisema angemuwahi Rais wa 2010 akiwa hai.
Suali la dini ni suali zuri katika nchi kujua watu wako wala halina mtafaruku wowote ni figure tu kama nchi unajua Tanzania kwa mfano kuna waislamu kiasi gani na wakiristo kiasi gaini labda ambao hawana dini ni kiasi gani kujua mahitaji vile vile katika shughuli za maendeleo.
Hili suali nchi nyingi wanauliza, hata katika CV lakini mafomu mingi ya online lipo hili suali lina umuhimu katika mahitaji na sio kuwagawa watu.
Lakini ukija kwa wanaokataa sijui tuseme ni hofu au kitu gani sijuI au ndio hizo fikira za Nyerere labda wanaogopa waislamu kuonekana ni wengi kuliko wakiristo maana aslimia 99% wanaopinga suali hili la dini ni wakristo, hawa watu wana hofu sana kujiona wako kidogo.
Nadhani kuna watu hawatakubali kuhesabiwa kama hili suali halipo
Hizo CV zenu mnazojaza marital status, na Religion .. ndio maana zinawanyima kazi vijana, katika kampuni zinazojielewi ni mifumo ya uandishi wa cv wa kizamani sana ..Hili suali nchi nyingi wanauliza, hata katika CV lakini mafomu mingi ya online lipo hili suali lina umuhimu katika mahitaji na sio kuwagawa watu.
kwani kuanzisha hiyo mahakama ni mpaka mjue mpo wangapi?? we huoni watu wanajaa misikitini na kwenye swala ya Eid?, kama mnataka kuanzisha anzisheni lakini sio kwa sababu ya kutaka kujua mpo wangapiHili jibu litakuja tukishajua idadi ya waislamu na Nchi itajua mahitaji ya waislamu, kwa mfano waislamu wapewe fursa ya kuanzisha mahkama zao (za kikadhi) kwa ajili ya kutatua changamoto zao na kupata haki zao kwa mujibu wa dini yao ili kuipunguzia Nchi kutatua migogoro ya waislamu ambayo Mahkama za sasa hazina nguvu kisheria na haziko specified.
sijisikii aibu wala fedheha kuanza kuonekana muislamu., unajua shida ni kwamba Wakiristo wao imani yao sijuwi ni kwanini hawajiamini, linapokuja suala lenye maslahi za kidini wao dini yao wanataka wawe kimya ambapo ni tofauti na imani nyengine.
issue ni moja tu, jihesabuni. Anzeni kwenye ngazi ya familia mpaka kwenye misikiti na kwa wakristo mkitaka kujihesabu anzeni kwenye vipaimara na ubatizo, ila sisi Tanzania tutakuhesabu kama mwananchi.Kwa sababu wakiristo hawashughuliki na dini yao mana hawana uhakika unataka na waislamu pia wawe hivyo? Nchi nyingi duniani zimeangalia mahitaji ya waislamu kwa sababu ndio watu wengi walionao katika nchi yao hakukuwa na namna,
Leo nyerere mchonga meno kawapangia maisha ya baadae na munamuabudu ata akikwambie 2+1 = 5 basi nyoote mtasema ndiooo
Msingi wa haya madai ni kukosa uwezo wa kujiendesha, serikali iliweka wazi, anzisheni hizo mahakama na mzigharamie wenyewe.Hili jibu litakuja tukishajua idadi ya waislamu na Nchi itajua mahitaji ya waislamu, kwa mfano waislamu wapewe fursa ya kuanzisha mahkama zao (za kikadhi) kwa ajili ya kutatua changamoto zao na kupata haki zao kwa mujibu wa dini yao ili kuipunguzia Nchi kutatua migogoro ya waislamu ambayo Mahkama za sasa hazina nguvu kisheria na haziko specified.
Jukumu la serikali iliyomadarakani moja ni kutimiza mahitaji ya watu wako kwa vyovyote vile, shida kubwa ni kwamba ikija issue inayowahusu waislamu inaonekana kama ni dharura binafsi n kuonekana kama labda kikundi kidogo cha watu wenye mahitaji hayo na serikali kutaka kujiweka pembeni nayo. huu ni udhaifu mkubwa wa kiutekelezaj kw serikaliMsingi wa haya madai ni kukosa uwezo wa kujiendesha, serikali iliweka wazi, anzisheni hizo mahakama na mzigharamie wenyewe.
Unataka Mfumo wa Sharia uwe sehemu ya utawala wa serikali, reference ikiwa mbona UINGEREZA blah blah, UK wanao ushoga na usagaji pia kwenye taratibu zao, mnaweza ku-rejea hilo?
Mahitaji ya Uislamu yatambuliwe na serikali kwa lipi?
Ni wazi utakuwa ama umewahi kufika nchi za kiarabu kiislamu au hata kusikia lifestyle yao, kama isingekuwa kwa upanga, zaidi ya 50% ya wakazi wa kule wangeachana na Uislamu, achilia mbali kuwa hawana tofauti na ufirauni kabisa.
Kwanza uislamu sio uarabu,Ni wazi utakuwa ama umewahi kufika nchi za kiarabu kiislamu au hata kusikia lifestyle yao, kama isingekuwa kwa upanga, zaidi ya 50% ya wakazi wa kule wangeachana na Uislamu, ach