Rais Samia: Sensa haitauliza kuhusu Dini ya mtu

Kwani umewahi kusikia chuo cha sensa popote? Hili ni jambo la kukubaliana tu
Sensa ni takwimu za idadi ya watu ndugu, inaangalia vitu kama ukuaji wake, umri, kipato n.k
Uchukuaji na uchambuzi wa takwimu ni taaluma, hata vyuoni kuna kozi hizo
 
Sensa ni takwimu za idadi ya watu ndugu, inaangalia vitu kama ukuaji wake, umri, kipato n.k
Uchukuaji na uchambuzi wa takwimu ni taaluma, hata vyuoni kuna kozi hizo
Tofautisha taaluma ya upolisi na mambo ya takwimu
Tatizo nyie ndio chanzo cha mateso yetu,
Kufelisha watoto wetu shule,
Kupeana kazi ki idini,
Kufisidi mali ya umma,
Na mengi yapo Ila tuyaache yasidishe uchungu na maumivu
Kama unaamini mko wengi si mtumie uwingi wenu kupindua matokea?
 
No, no, no
Tunataka kuhesabiwa kwa dini zetu, tujuane tu, hii itasaidia katika mgawanyo wa mambo mengi tu,
Wakati ni sasa,
Unyonge na uonevu uishe
Acha upuuzi,, unataka idadi? Wambieni kanisani kwenu mhesabiane ..
 

Hata swali la ukabila halitakiwi kuwepo. Muhimu ni kujua idadi ya watanzania.
 
Acha upuuzi,, unataka idadi? Wambieni kanisani kwenu mhesabiane ..
Mpuuzi mama yako,
Wacha kudandia comment za wanaume,
Kama huwezi mjadala pita kando matusi na dharau sipendi, ila ukianza namaliza
 
So what??? Hii lugha umeletewa, ongea lugha yako
Unataka niongee lugha yangu uku wewe unataka tuige mambo ya nchi zingine yasiyo na faida hapa kwetu.maana mambo ya nigeria,somalia yanatuhusu nini sisi.Mara ngapi tumesikia vikundi vya kidini vikigombana na serikali kwenye baadhi ya hizo nchi zako ulizozitaja.kwahiyo unataka nasisi tuwe wajinga kama hao.
 
Kwa nini Wakristo ndio huwa wanapinga kwa nguvu zote hili suala? Wanaogopa nini? Nini kilichojificha hawataki kijulikane?
Kilichojificha ni ujinga wako uliouleta hadharani wakuwahusisha wakristo na jambo lisilowahusu.Ni kiongozi gani wakikristo aliyepinga hilo swala wakati linaratibiwa na serikali.Kwahiyo na huyu rais wasasa aliyekataa huo ujinga naye ni mkristo?
 
Kwa akili finyu kama hizi sababu ulizo orodhesha , nafikiri ndio maana wameamuwa waondoe hicho kipengele
 
Hili suali nchi nyingi wanauliza, hata katika CV lakini mafomu mingi ya online lipo hili suali lina umuhimu katika mahitaji na sio kuwagawa watu.
Hizo CV zenu mnazojaza marital status, na Religion .. ndio maana zinawanyima kazi vijana, katika kampuni zinazojielewi ni mifumo ya uandishi wa cv wa kizamani sana ..

Zipo details za muhimu zaidi ,zitakazo changia kumpa mtu kazi,
Same kwenye sensa yapo maswali muhimu zaidi
 
kwani kuanzisha hiyo mahakama ni mpaka mjue mpo wangapi?? we huoni watu wanajaa misikitini na kwenye swala ya Eid?, kama mnataka kuanzisha anzisheni lakini sio kwa sababu ya kutaka kujua mpo wangapi

leo mtaanza tujue tupo wangapi, kesho mtafata tujue idadi ya wasunni, washia au wahamadia, basi msunni aanzishe mahakama yake na nyie mahakama yenu basi vurugu tupu
 
issue ni moja tu, jihesabuni. Anzeni kwenye ngazi ya familia mpaka kwenye misikiti na kwa wakristo mkitaka kujihesabu anzeni kwenye vipaimara na ubatizo, ila sisi Tanzania tutakuhesabu kama mwananchi.
 
Msingi wa haya madai ni kukosa uwezo wa kujiendesha, serikali iliweka wazi, anzisheni hizo mahakama na mzigharamie wenyewe.

Unataka Mfumo wa Sharia uwe sehemu ya utawala wa serikali, reference ikiwa mbona UINGEREZA blah blah, UK wanao ushoga na usagaji pia kwenye taratibu zao, mnaweza ku-rejea hilo?

Mahitaji ya Uislamu yatambuliwe na serikali kwa lipi?

Ni wazi utakuwa ama umewahi kufika nchi za kiarabu kiislamu au hata kusikia lifestyle yao, kama isingekuwa kwa upanga, zaidi ya 50% ya wakazi wa kule wangeachana na Uislamu, achilia mbali kuwa hawana tofauti na ufirauni kabisa.
 
Swali la dini litasaidia kuzaana baada ya wachache kutokubali kupitwa, na wengi kutokubali kukaribiwa, itakuwa'marathon race' kwenye uzazi!
 
Jukumu la serikali iliyomadarakani moja ni kutimiza mahitaji ya watu wako kwa vyovyote vile, shida kubwa ni kwamba ikija issue inayowahusu waislamu inaonekana kama ni dharura binafsi n kuonekana kama labda kikundi kidogo cha watu wenye mahitaji hayo na serikali kutaka kujiweka pembeni nayo. huu ni udhaifu mkubwa wa kiutekelezaj kw serikali
 
Ni wazi utakuwa ama umewahi kufika nchi za kiarabu kiislamu au hata kusikia lifestyle yao, kama isingekuwa kwa upanga, zaidi ya 50% ya wakazi wa kule wangeachana na Uislamu, ach
Kwanza uislamu sio uarabu,
Dini hii ni ya wote, kama ambavyo ukristo sio uzungu,
Kwamba upanga ndio umesimamisha dini sio kweli, kwa sababu mafundisho yenyewe yanasema "hakuna kulazimishana katika dini"
Ukiona wanakulazimisha huo sio uislamu,
Jukumu lao ni kukunasihi tu ukitaka uwe usipitaka wanakuombea mungu akuongoze,
Na ukichagua kupotea hiyo ni shauri yako lakini halazimishwi mtu,
Kuhusu ufirauni huo ndio udhaifu wa mwanadamu, kwani sie sio malaika,
Kama ambavyo askofu, padri au shehe anaweza kubaka au kuzini
Kwa hiyo udhaifu ni wa mwanadamu na utukufu ni ALLAH pekee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…