Rais Samia: Sifurahii Mgogoro wa Yanga na Feitoto. Nataka umalizike

Rais Samia: Sifurahii Mgogoro wa Yanga na Feitoto. Nataka umalizike

Hizi ndo taratibu za huko CAS ukiwa unafuta kesi. Sawa.
Hivi lile agizo ra Rais lilikuwa private au public?

Hapa ndipo point ya article niliyo kutumia ya intervention inapo ingia.
 
Hivi lile agizo ra Rais lilikuwa private au public?

Hapa ndipo point ya article niliyo kutumia ya intervention inapo ingia.
Haya yanahusiana vipi na taratibu za kufuta kesi CAS?
 
Hawajali chochote kuhusu nchi its is all about power, hapo mbinu ni kuwateka washabiki wote wa Yanga ili wampiganie na kumtetea, anajaribu kila awezalo abakie, kama mnakumbuka alipoingia na kuona mambo magumu alikuja na machief akataka kuleta mambo waliotumia Wakoloni akitaka kufufua uchief ili wampiganie kikabila ikabumu sasa kaingia kwenye mpira mwisho wa siku its all about power na haina uhusiano wowote na football wakishindwa kila kitu watahamia kwenye Uislamu ni swala la muda tu, na huo ndio utakuwa mwisho wa Tanzania, wanaingiza hii nchi shimoni kwa uroho wa madaraka, …
we unaumwa siyo bure. Nenda hospitalini katibiwe we ngedere, yule wa kwako ameshakufa we zuzu kamfuate aliko.
 
Haya yanahusiana vipi na taratibu za kufuta kesi CAS?
Hivi point yangu umeielewa kweli?

Hivi hizo nchi zilizo fungiwa ,FIFA walijuaje kama kuna third part imeingilia maamuzi?

Na ndio maana nikakuuliza je agizo la Raisi lilitolewa private au public?

Kama ni public maana hata FIFA wanajua.

Kufuta unaweza ukafuta je FIFA hawato itreat kama this issue imekuwa influenced na third part na FIFA kama ikipiga ban mana hushiriki michuano yoyote.
 
Hivi point yangu umeielewa kweli?

Hivi hizo nchi zilizo fungiwa ,FIFA walijuaje kama kuna third part imeingilia maamuzi?

Na ndio maana nikakuuliza je agizo la Raisi lilitolewa private au public?

Kama ni public maana hata FIFA wanajua.

Kufuta unaweza ukafuta je FIFA hawato itreat kama this issue imekuwa influenced na third part na FIFA kama ikipiga ban mana hushiriki michuano yoyote.
Swali linahusu taratibu za kufuta kesi CAS iwapo mmeamua kutatua nje ya CAS. inawezekana haiwezekani?
 
Swali linahusu taratibu za kufuta kesi CAS iwapo mmeamua kutatua nje ya CAS. inawezekana haiwezekani?
Kuwezekana inawezekana ila je FIFA wata litafsiri vip, maana maamuzi yame hafikiwa baada ya kauli ya Rais. Je huoni hapo ni under influenced of third part?

Issues hii terminology UNDER INFLUENCE OF THIRD PART kuintervene kwenye maswala ya mpira na ndio sababu ya nchi nyingi kupigwa ban.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Kuwezekana inawezekana.
Baasi. Fei na Yanga wakae Fei aachane na Kesi, Yanga waseme maslahi yao walipwe waachane na Fei. Win-Win. Hii ndo nia ya Raisi wa JMT. Tatizo lipo wapi iwapo hili litatokea?
 
Baasi. Fei na Yanga wakae Fei aachane na Kesi, Yanga waseme maslahi yao walipwe waachane na Fei. Win-Win. Hii ndo nia ya Raisi wa JMT. Tatizo lipo wapi iwapo hili litatokea?

Tatizo kamati ya kina Fei haitaki kuja kwenye meza ya mazungumzo maana room hiyo Yanga walisha itoa, ngoja tuone wao kama watahesimu kauli ya Rais.
 
Tatizo kamati ya kina Fei haitaki kuja kwenye meza ya mazungumzo maana room hiyo Yanga walisha itoa, ngoja tuone wao kama watahesimu kauli ya Rais.
Usiongelee ya nyuma. Huko nyuma kuna mengi na ndiyo yalileta migogoro ikafika mpaka ikulu raisi akajua. Kama Fei akisema sitaki basi atajua mwenyewe ila wasuluhishi akiwemo raisi wameshafanya sehemu yao.
 
Kwani waliokataa kukaa mezani kuzungumza hili swala ni nani? Ktk option zilizotolewa na Yanga ni kukaa mezani kuzungumza ili kila mmoja apate maslahi yake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa mlizikataa 112M kwann?? Mtake msitakee Fei anaondokaa kilainiiii.

Mtajuta kupenda vya bureeee, woiiiiiiiii
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa mlizikataa 112M kwann?? Mtake msitakee Fei anaondokaa kilainiiii.

Mtajuta kupenda vya bureeee, woiiiiiiiii
Hizo zilitolewa chini ya utaratibu gani?

We nae kama hujielewi, so Fei alikuwa halipwi?
 
Hizo zilitolewa chini ya utaratibu gani?

We nae kama hujielewi, so Fei alikuwa halipwi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wenzako wote wa Yanga wameshakubali hadi sasa Fei yuko huruu, wee bakii kubwataa hivyo usubiri press ya Yanga kuhusu Fei kuwa huru, ndo utakapo furahishwa zaidi.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wenzako wote wa Yanga wameshakubali hadi sasa Fei yuko huruu, wee bakii kubwataa hivyo usubiri press ya Yanga kuhusu Fei kuwa huru, ndo utakapo furahishwa zaidi.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa mimi na fikiria kwa kutumia kichwa changu na si cha wenzangu,sababu hata mimi wapo wenzangu wenye msimamo kama wangu.

Kwani vp hayo mazungumzo yasha fanyika.
 
Sasa mimi na fikiria kwa kutumia kichwa changu na si cha wenzangu,sababu hata mimi wapo wenzangu wenye msimamo kama wangu.

Kwani vp hayo mazungumzo yasha fanyika.
Subiri mrejeshooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa mlienda ikulu kufanyaa nn?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] au pale ni TFF makao makuu??
Ngj uongozi utoe majibu umeamuaje kuhusu feisali ,ikulu tulienda kupongezwa na mweshimiwa na kula dinner[emoji16]
 
Ngj uongozi utoe majibu umeamuaje kuhusu feisali ,ikulu tulienda kupongezwa na mweshimiwa na kula dinner[emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tayari huko, yuko huru.
 
Screenshot_20230809-211503.jpg
 
Back
Top Bottom