Rais Samia: Sisi tunalumbana kuhusu Bandari, wenzetu wanatumia fursa

🤣🤣🤣na watu wa kyerwa mmeongea eeh,sisi mbeya tushamtanguliza mwakabusi na nshala🙏
 
Huo udhaifu wa kikatiba uliopo ambao anaweza kuutumia kunyima wananchi uhuru wa kuongea ni upi?

Ni sehemu ipi ya katiba ambapo huo udhaifu upo?

Udhaifu pekee uliopo ni wa sisi wananchi kuwa ni waoga katika kulinda na kutetea haki zetu.
Katiba inamruhusu kufanya kosa lolote muda wowote na hatashitakiwa wala kuhojiwa na chombo chochote.
 
Kama yaliyofanyika Mbeya hayana baraka zake, haitapita wiki, utasikia RPC wa Mbeya amehamishiwa makao makuu. Ukiona kimya, ujue Rais amebariki.
 
Katiba inamruhusu kufanya kosa lolote muda wowote na hatashitakiwa wala kuhojiwa na chombo chochote.
Weka hapa hiyo sehemu ya katiba inayomruhusu kufanya hivyo.

Huu ndo ubwege na ujuha ninaouzungumzia hapa!!

Mtu hana hiyo haki ya kufanya yote hayo lakini mpo mnaoamini anaweza akafanya hivyo!!
 
Kama yaliyofanyika Mbeya hayana baraka zake, haitapita wiki, utasikia RPC wa Mbeya amehamishiwa makao makuu. Ukiona kimya, ujue Rais amebariki.
Asiruhusu lolote limtokee Mdude! Tuna imani nae mkuu wetu.
 
Tujue kwanza kisa cha kukamatwa maada mdude historia yake tunaijua
Kama ndio vile basi tuache
Hana kosa lolote lakini huu mwanya unaweza kutumika vibaya dhidi yake.
 
Hana kosa lolote lakini huu mwanya unaweza kutumika vibaya dhidi yake.

Inawezekana hana kosa ila anasaidia mambo ya kitaifa
Sio wote wanaokamatwa na Polisi ni wahalifu
Wengine wanakuwa kwenye kuwasaidia polisi, wengine wanakuwa wamesaidiwa kuwa salama
 
Samia ni kweli kabisa anastahili pongezi lakini anatakiwa kuwapiga STOP mapolisi waache harassment dhidi ya critics wake.
 
Samia ni kweli kabisa anastahili pongezi lakini anatakiwa kuwapiga STOP mapolisi waache harassment dhidi ya critics wake.
Hastahili pongezi zozote kwa kuacha kuibaka katiba!

Kumpa pongezi Samia ni sawa na kumpongeza jambazi ambaye hajakupora mali yako!

Jambazi hastahili pongezi yoyote ile kwa kuacha kuwa jambazi.

Ni akili gani hizo mlizonazo nyinyi????
 
Amekamatwa na tunaomba aachiwe haraka!
Kwa nini kakamatwa na si wewe, mimi au ndugu zetu wengine? Tujue chanzo cha kukamatwa then tuanze kujadili. #Yote kwa yote nakupongeza kutambua uvumilivu mkubwa wa Mhe. Rais na Amiri Jeshi Mkuu dhidi ya wakosoaji. Basi tuutumie uhuru vizuri.🙏🙏🙏
 
Hastahili pongezi zozote kwa kuacha kuibaka katiba!

Kumpa pongezi Samia ni sawa na kumpongeza jambazi ambaye hajakupora mali yako!

Jambazi hastahili pongezi yoyote ile kwa kuacha kuwa jambazi.

Ni akili gani hizo mlizonazo nyinyi????
Sema, jambazi baadaye likuvamia na kuiba na kuua ndio utajua jambazi ni mtu mbaya.
 
Sasa lijitu libaya likiacha kufanya ubaya wake ndo linastahilli pongezi?
Serikali kazi yake ni kutetea maslahi ya nchi Ila sasa hivi genge, kundi dogo la familia zao na washkaji zao wanatetea maslahi yao. Rushwa. Wamepewa 10% walipo kuwa Dubai.
 
Hatuna Rais Tanganyika.
 
Tuna genge la wahuni, likiongozwa na Rais kilaza, wamezamilia kuuza nchi. Kuingia Mikataba ya hovyo.
 
Rais akumbuke ya mwaka 2019 waziri wa uchukuzi Dr. Isack Kamwelwe na mkurugenzi wa TCAA mwanasheria Hamza Johari walipiga vita sana wawekezaji toka nje.
Huyu mwanasheria Hamza Johari na yule Dr. Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Isack Kamwelwe walivuruga sekta binafsi ya ndege fastjet 2019 - 2020 kwa kuapa kuwaondoa FastJet

Sasa mwaka 2023 tena mwanasheria Hamza Johari na Prof. Makame Mnyaa Mbawara wanataka kuvuruga bandari zetu kwa kujidai wanaipenda sekta binafsi itaweza ....

TOKA MAKTABA :

December 19, 2018
Dar es Salaam, Tanzania

Waziri ashangilia matatizo ya Fastjet

Waziri Isaack Kamwelwe aliibua sakata la Fastjet mbele ya Rais Magufuli “…kuna mfanyabiashara mmoja anayejulikana kwa jina la Fastjet...juzi alitusumbua…alitubip…tumempigia…”
Source : Azam TV
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…