Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na "mzigo wa India" inaelekea umeshaanza kuingia.....RIPs zimeanza tena!Mama anazidi kumsuta na kumkejeli Ndugai na bunge lake dhaifu lililojaa wacheza ngoma.
Ndugai zamu hii sukari itakuwa inapanda kiholela na vile vijidudu vya umeme wa gridi ya taifa vinaweza kugoma kusikia zile punje anazobugia kila siku.
Na wavimbe wapasukeee X2Mzee wa kudemka atafura kweli....lakini hana la kufanya!
Au lile nundu kichwani laweza kupasuka lenyewe!Mama anazidi kumsuta na kumkejeli Ndugai na bunge lake dhaifu lililojaa wacheza ngoma.
Ndugai zamu hii sukari itakuwa inapanda kiholela na vile vijidudu vya umeme wa gridi ya taifa vinaweza kugoma kusikia zile punje anazobugia kila siku.
Rais Samia amemshukuru Spika wa bunge la Kenya kwa kumpa heshima ya kuhutubia mabunge mawili ya nchi hiyo kwa pamoja.
Rais Samia amesema yeye ni Rais wa pili kutoka Tanzania kupewa heshima ya kuhutubia bunge hilo linaloheshimika duniani akiwa ametanguliwa na mstaafu Jakaya Kikwete.
Rais Samia amesema bunge la Kenya linavutia kwa upana wa demokrasia yake.
Kazi Iendelee!
Lete ushahidi!mahindi ya Tanzania yanasababisha kansa.
Anasema ya kweli toka moyoni mwake, kwani Mh. Rais Samia Suluhu Hassan wakati akiwa Makamu wa Rais alipata kusema jinsi anavyovutiwa na michango ya hoja wa wabunge wa upinzani Tanzania
Toka Maktaba :
17 Feb 2020
Samia Suluhu : "Napenda mawazo ya wapinzani, huwa wanajenga hoja vizuri, walini 'inspire' niingie siasa"
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amefunguka kuhusiana na historia ya maisha yake ambapo ameeleza siri ya mafanikio na chanzo kilichomvutia kuingia kwenye siasa. Samia Suluhu hoja za upinzani ni moto, walinivutia / inspire, mimi ni activist ...
Baadhi tu...wengine ni just hopeless. Kama CCM tu.Kama siyo kununuliwa wapinzani wako vizuri kichwani!
Lete ushahidi!
Ndugai kichaa kitamuwaka tenaRais Samia amemshukuru Spika wa bunge la Kenya kwa kumpa heshima ya kuhutubia mabunge mawili ya nchi hiyo kwa pamoja.
Rais Samia amesema yeye ni Rais wa pili kutoka Tanzania kupewa heshima ya kuhutubia bunge hilo linaloheshimika duniani akiwa ametanguliwa na mstaafu Jakaya Kikwete.
Rais Samia amesema bunge la Kenya linavutia kwa upana wa demokrasia yake.
Kazi Iendelee!