Rais Samia Suluhu amsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Mhandisi Deusdedit Kakoko

Rais Samia Suluhu amsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Mhandisi Deusdedit Kakoko

Rais Samia Suluhu Hassan akipokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali na Ripoti ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, ametoa agizo la kusimamishwa Mkurugenzi Mkuu wa Bandari(TPA) kutokana ubadhirifu mkubwa unaoikumba mamlaka hiyo.

Mkurugenzi mkuu huyo anasimamishwa kazi ili kupisha uchunguzi wa kina.
Hata aliekuwa boss wake (kwa sasa ni marehemu) kule mwanzo mwanzo alianza kwa speed hivyo kadri siku zilivyokuwa zinaenda mgigo ukawa unpugwa vile vile
 
Rais Samia Suluhu Hassan akipokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali na Ripoti ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, ametoa agizo la kusimamishwa Mkurugenzi Mkuu wa Bandari(TPA) kutokana ubadhirifu mkubwa unaoikumba mamlaka hiyo.

Mkurugenzi mkuu huyo anasimamishwa kazi ili kupisha uchunguzi wa kina.
Mh Rais, Tanroads pindua meza yao, kule kuna ufisadi mkubwa, Engineer Patrick Mfugale achunguzwe, Engineer Marwa aliyekuwa meneja wa tanroads mkoa wa Mwanza na sasa ni RC Njombe achunguzwe.
 
Atakayefanikisha kukamatwa kwa "KIGOGO" atapewa donge nono..
Mimi na walevi wenzangu tutatoa donge nono kwa Atakayefanikisha kukamatwa kwa atayemkamatisha "KIGOGO"
...... KIGOGO apewe uraisi wa twira... Milele na milele hata akivunja katiba atajua mwenyewe...
Maza SSH piga spanaaaaaaaaa
 
Back
Top Bottom