Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
True paka associationTPA kirefu chake ni nini?
Kwani MATAGA wanasemaje kuhusu hiloHamukeni Hamukeni Jamani ,Si tuliambiwa kwamba MEKO alimaliza ufisadi kwenye mashirika ya UMMA?
Jaffo alichokuwa anajua ni kujipendekeza kwa jiwe tu! Ila hata jiwe wakati anatangaza baraza la mawaziri alionesha kutoridhishwa sana na TAMISEMI ya JaffoTamisemi nako kumeozaaaaa,walizoea kujipendekeza kwa meko wakajipendekeze na kwa huyu sasa
Hapa kwa Jafo kaongea vizuri sana. Maana amemwambia ukishindwa tuambie tukusaidie.Kampiga mkwara na Jaffo kule TAMISEMI! Safi mama tuko nyuma yako!
Hata aliekuwa boss wake (kwa sasa ni marehemu) kule mwanzo mwanzo alianza kwa speed hivyo kadri siku zilivyokuwa zinaenda mgigo ukawa unpugwa vile vileRais Samia Suluhu Hassan akipokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali na Ripoti ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, ametoa agizo la kusimamishwa Mkurugenzi Mkuu wa Bandari(TPA) kutokana ubadhirifu mkubwa unaoikumba mamlaka hiyo.
Mkurugenzi mkuu huyo anasimamishwa kazi ili kupisha uchunguzi wa kina.
Mama atengue Baraza hili haraka....Kampiga mkwara na Jaffo kule TAMISEMI! Safi mama tuko nyuma yako!
Alikuwa mwizi anaeongea kwa ukali anapogundua kuna mwizi mwenzake.Wateule wa JPM hao sasa iweje wafikie hatua ya kuwa wezi? Hapa ndio napata picha JPM hakuwa mzalendo
Mh Rais, Tanroads pindua meza yao, kule kuna ufisadi mkubwa, Engineer Patrick Mfugale achunguzwe, Engineer Marwa aliyekuwa meneja wa tanroads mkoa wa Mwanza na sasa ni RC Njombe achunguzwe.Rais Samia Suluhu Hassan akipokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali na Ripoti ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, ametoa agizo la kusimamishwa Mkurugenzi Mkuu wa Bandari(TPA) kutokana ubadhirifu mkubwa unaoikumba mamlaka hiyo.
Mkurugenzi mkuu huyo anasimamishwa kazi ili kupisha uchunguzi wa kina.
Duuh huko twitter kigogo anazidi kujizolea umaarufu. Ngoja nijiunge twitterAlimuambia Kakoko kesho asiende Kazini kwa Vitasa vya mlango vimeshabadilishwa na asubiri taarifa tu.
Na kweli Mh. Samia kashatoa taarifa ya kumsimamisha kazi.
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Na Clean Sheet juu [emoji1][emoji1]Yaani hapa ndioi Kigogo anajichuliaga POINT TATU kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Amemwambia CAG akamilishe ripoti yake,mashirika yote na taasisi akague vizuri...akamtahadharisha..asiogope..mama anataka ukweli wote. Leo kaanza na circle ya mwendazake...out tpa bossWachunguze pia na Ubadhilifu wa majengo yote ya chato mana hakuna anayejua
Ingekua enzi za Mtetezi wa wanyonge hivi CAG angemtaja kweli huyu rafiki kipenzi wa mkulu?