Tanzania Potter's AssociationTPA kirefu chake ni nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania Potter's AssociationTPA kirefu chake ni nini?
Chaka anaingizwa kwa sababu ni demu! Mwamba unamuingizaje chaka haiwezekaniIssue siyo jinsia yake, ni namna anavyopata habari nyingi ambazo ni za uhakika, japo zipo chache wanamwingiza chaka.
Punguza makasiriko kumeri.Kwahiyo unataka tuanze kujadili hadi mikao ya watu sio[emoji848]? Watu tunajadili hoja za muhimu hapa, wewe unakuja na hoja zako mrenda mrenda hapa.
Mama ameanza kutufuta machozi siyo bure, anaanza kudhihirisha kauli yake, in raising wa jmtRais Samia Suluhu Hassan akipokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali na Ripoti ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, ametoa agizo la kusimamishwa Mkurugenzi Mkuu wa Bandari(TPA) kutokana ubadhirifu mkubwa unaoikumba mamlaka hiyo.
Mkurugenzi mkuu huyo anasimamishwa kazi ili kupisha uchunguzi wa kina.
Mbona Magu alikuwa anateuwa na kutumbua wasipotekeleza wajibu!!? au hili swala umelisahau.....kwa ufupi wa fikra zakoHuku akisimanga awamu zilizopita hadharani kuwa mambo yalofanyika hadi unashangaa kama viongozi walikuwepo. Haya sasa mficha maradhi........
Huo ndio udhaifu mkubwa ambao kwa ngazi ya raisi hakutakiwa kuwa nao. Ile ni taasisi lakini kama ulivyosema kila kitu alitaka aonekane yeye.I second you. JPM kwa uzalendo alikua namba moja, sidhani kama kuna Rais aliyekua na uchungu na hii nchi kama yule mzee
Tatizo lake kubwa alikua anataka kutengeneza "Cult personality" kwamba watu wote waone juhudi zake yeye kama yeye binafsi sio serikali kwa ujumla. Na watoto wa mjini walilijua hilo wakawa wananata na biti hapo hapo kumpamba huku wanafanya mitikasi yao
Mkuu wewe ni mzaramo? Maana mzaramo hakuachi hivi hivi, lazima akuchambe ndio akupe jibu.We naye Tanzania port authority, yaani mamlaka ya bandari Tanzania!
Kama sio reflection ya kiongozi aliomteua kwanini magufuli alikuwa anakesha kutumbua na kuwaminisha watanzania kuwa yeye si fisadi ilhali kazungukwa na wateule fisadi?ukisema hivo unakosea kiongozi ufanisi mbaya wa kiongozi sio reflection ya aliyemchagua huo ni ubadhilifu wa kiongozi mwenyewe
Jafo naye kaonywa vikali sana kuhusu tamisemi, ila hayo yote c yalitokea kwenye utawala wa jiweRais Samia Suluhu Hassan akipokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali na Ripoti ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, ametoa agizo la kusimamishwa Mkurugenzi Mkuu wa Bandari(TPA) kutokana ubadhirifu mkubwa unaoikumba mamlaka hiyo.
Mkurugenzi mkuu huyo anasimamishwa kazi ili kupisha uchunguzi wa kina.
Yule nae wizara yake imejaa madudu tu apumzishwe kidogo na yeyeKampiga mkwara na Jaffo kule TAMISEMI! Safi mama tuko nyuma yako!
Ndio unasema uongo.Wateuliwa wa jiwe! Acha bakora zianze sasa kutesa kwa zamu!
Wapinzani walituchelewesha sana, au nasema uongo ndugu zangu?
Unachotaka kusema hiyo report ya cag imeandaliwa mwezi huu tar 17 march baada ya jpm kufariki?
Mkuu tusubiri moto wa bunge na ripoti ya CAG mwakani. Hii imeumauma sehemu nyingi maana iliandakuwa kumpendeza bwana jiwe.Unachotaka kusema hiyo report ya cag imeandaliwa mwezi huu tar 17 march baada ya jpm kufariki?
Na huenda ndio amepewa kazi ya kumsaka kigogo [emoji23]Kigogo yupo Ikulu.
Tunasumbuana tu.
Blatantly True. Huo ndio ukweli yule hakuwa mzalendo alikuwa ni tapeli wa uzalendo akitumia hiyo mbinu kama mechanism ya kujifichaUzalendo wake ulikuwa ni wa mdomoni wa kuwahadaa wanyonge wake alokuwa akiwaongelea kila siku maana anajua hawana ufahamu wa kuyatambua hayo.
Kwa JPM haikuwa taasisi, ilikuwa ni one man show!
Kwanini mnasahahu kuwa makamu wa Raisi kazi yake kuu ni kutembea na mkasi kukata utepe na sio kutoa maagizo? Tena serekaki ya jiwe labda akutume, kama hajakutuma uthubutu kutoa amri yeyote.
Mfumo gani mama katengeneza?Raisi JPM alitumbua sana ila hakukuwa na mfumo. Namuona mama kama mtu atakayewezesha mfumo kuliko utumbuaji.
Mm mambo ya kigogo siyazingatii sana. Halafu suala la kutumbua nafikiri Chuma JPM hata yeye wakati mwingine alikuwa hajui kuwa atatumbua. Maamuzi aliyafanya papo kwa hapo.Tukumbushe pale ambapo kigogo alitabili mtu kutumbuliwa na JPM