Rais Samia Suluhu ana emotional intelligence, utulivu wa hali ya juu

Punguza jazba!!hayo ni maamuzi yake akiongea Sawa na hata asipo sema ni Sawa pia Mbona hakuna ulazima huo,, wanaosema Kwa sasa ni wengi mnoo nafikiri kaona haina haja na yeye aseme!
 
Mama anafaa sana
2025-2030 anatutosha kutuvusha
MAMA LA MAMA HANA MBAMBAMBAAAAAA[emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji263][emoji263][emoji263][emoji263][emoji263][emoji263][emoji263][emoji1241][emoji1241][emoji1241]
 
Kumbe watu tunatofautiana sana katika kupima uongozi wa Rais!

Mimi naona Rais hajakaa kimya hata kidogo katika suala hili la Bandari, anaongea sana, tena kila siku kupitia wapambe wake pamoja na walamba viatu ama machawa.

Kitendo cha kukamatwa watu wanaopinga mkataba mbovu na kupewa kesi za mchongo, Mawaziri kutoka hadharani na kutoa vitisho kwa mambo yanayoruhusiwa kisheria na kikatiba, kina Wasira kuacha shughuli zao na kupanda majukwaani na kuanza kumwaga fitina, Kikwete kupanda mimbari za kidini na kupiga ngebe zake, kauli zote hizo ndiye yeye Samia kaziongea, ni zake na ndiyo msimamo wake huo.

Hakuna mtu anayeweza kukurupuka kutoa mambo kichwani bila ya kuwasiliana na boss wake kwanza, hayupo.

Ninachoweza kumtetea Rais ni kwenye jambo la ubambikiwaji wa kesi za kina Slaa, hilo laweza kuwa limeasisiwa na Ndumbaro pamoja na Wambura kwa minajiri ya kumfurahisha Rais kujionesha kuwa ni wachapa kazi, ndiyo maana kalikemea.

Lingekuwa limetoka kwake, kina Slaa wangelikuwa bado wanasota Ndani

Lakini hata hivyo, kina Ndumbaro hao si wanaamka na kupeana "hi" na Rais kila siku, wanaweza kutoka nje ya mstari wake kweli?

Nilichokuwa nakitegemea sasa Rais afanye conclusion ya jambo hili ambao ndiyo utakuwa ni msimamo wa Serikali.

Hakuna wazo jipya ama ushauri mpya utakaotolewa zaidi ya haya yaliyokwishatolewa na wananchi kamchanganyikeni kwa sasa.

Ujue nini, kuendelea kulikalia kimya jambo hili kwa sifa za ukimya ni sawa na kubet!
 
Alitukanwa MKENDA akiwa wazir wa viwanda mbele ya Raisi wa Uganda na waheshimiwa kama wate akaambiwa "Nonsense" Hiyo unasemaje

Wakati wa uwasilishaji wa Ripoti ya CAG mwaka 2023 nilisikia neno STUPID. Lilitamkwa na nani?

Wakati wa Mahojiano ya BBC 2022 na Salimu Kikeke alipouliza swala la Katiba Nilisikia anajibu " WEWE NDO WAMEKUTUMA"

Kwa hayo machache tukiacha ya Ndugai. Naomba ufafanuzi
 
Emotional intelligence ya kuuza mali za watanganyika?.

Ukiwa baba wa familia ukaona jambo alafu ukakaa kimya nani atakuja kukujibia?
Naunga mkono

Huu sio Emotional Intelligence bali hana jipya na majibu ya kutosha kaona akae kimya asije kuharibu zaidi.
 


Emotional intelligence - Kajaliwa na Mungu, nampongeza, ana utulivu kushinda wanaume wengi viongozi, kwa mbali namfananisha na utulivu wa Ally Hassan mwinyi, na Mwinyi Rais wa sasa wa znz
 
Emotional Intelligence na wananchi wanateseka na maamuzi ya kipuuzi, Huo ni Uwendawazimu
 
Uzi ufungwe. Yaani watu wanapewa kesi za UHAINI mtu anasema Rais ana emotional intelligence hahahahhah. Hajui kelele za wapambe wake ndio za Rais mwenyewe?Mpaka JK katoka hadharani hawajui haya ni maagizo yake mwenyewe Samia?
 
Naam kaka hasa yale ya mwanzo ndio yamemkomaza maana hapa tulipo sasa haihitajiki kukurupuka maana ukitoa mdomo tu na maneno yanasifa yakutokurudi aiseee๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†......


Busara ni jambo jema sana kwa kiongozi yeyote yule
 
Hana cha kujibu, ameshaona kaingia choo cha kwake. Unategemea ataongea nini? Wenye akili tunajua tu kwamba hapa famba limefanyika. The best thing ni kukaa na kurekebisha makosa, sio dhambi. Period.
 
Hata jana limemvaa mbona kwa sisi wataalamu wa body language tuliona hilo

Hana utulivu wowote kiburi kilimjaa kama kiongozi huwezi kusema ulikaa kimya na utaendelea kukaa kimya ili iweje sasa ndio nini sasa kuzila/kususa

Nchi ngumu sana hii
 
Mkuu Robert Heriel Mtibeli , ni kweli kabisa naunga mkono hoja, nakushukuru kuliona hili leo, angalia sisi wenzio tuliliona lini hili Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!โ€
P
Kweri Pascal wewe ndi bush lawyer nilitegemea utaleta hoja zamana ili utuelemishe umuhimu wa DP World kwa Tanzania kwakupangua hoja zawakina Mwabukusi umekuwa mtu wa hovyo kushabikia wakina mama mitandaoni? Napigilia msumari wajumbe wa Kawe walifanya jambo njema kukata mkia ...Afadhali mkono wa bausa aka Gwanjiboy.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ