Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu ampe kibali zaidi mkuuHii ndio maana ya "The Great Thinkers "
Endelea kutupa utamu huu,
Makala zako najisomeaga mkuu unanondo balaa,
Samia yuko mbele sana huwezi mlinganisha na yeyote
Kazi iendelee
Miezi mitatu iliyopita.... [emoji1787]Ujenzi wa JNHPP na Usambazaji wa umeme Rais Samia aongeza bajeti kwa 230% kutoka TZS 1.01T FY2020|22 hadi TZS 2.34T FY2021|22 "kaziiendelee" mnaoshangaa endeleeni kushangaa,
" Hakuna kama Samia "
Lengo la Rais wetu Samia Suluhu Hassan ifikapo mwaka 2026 Tanzania iwe na umeme wa uhakika unaofikia Jumla ya 5,000MW anamaanisha tunakwenda kuwa electricity donor country hakika kesho yetu ni bora sana kuliko leo,
Sote tunafahamu mahitaji ya Umeme Tanzania yanaongezeka siku hata siku kwa mfano mwaka 2020 mahitaji ya Umeme yalikuwa 1,151.66MW lakini hadi kufikia mwezi May 2021 mahitaji ya Umeme yalifikia 1,183.28MW sawa na ongezeko la 3% kwa mwaka huku umeme ukitajwa kuwa ndio umeme wa chee zaidi African Mashariki kwani unauzwa $0.099/KWh
Faida ya mradi huu sio umeme tu kwani tayari umeajiri jumla ya wafanyakazi 7,243 huku wazawa wakiwa ni 6,452 na wageni ni 791,Mradi huu utakapokamilika unatarajiwa kuzalisha Jumla ya MW 2,115
Mpaka Rais Samia Suluhu Hassan anaingia madarakani ni 38% tu ya fedha zote za mradi huu wa Tshs 6.55trilioni ndio zilikuwa zimelipwa ambayo ni Tshs 2.495 sawa na Pungufu ya Tshs 4.055trilioni, Hii ni sawa na kusema Rais Samia hadi mwisho wa mradi atakuwa ameujenga mradi wa JNHPP kwa 62%,Hakika Mama huyu anastahili pongezi sana kwa kiwango hiki cha Uzalendo,
Zikiwa zimesalia miezi kumi ( 10 ) tu kumalizika kwa mkataba huu Rais Samia Suluhu Hassan kupitia bajeti yake hii ya kwanza tayari ameshatenga 58% ya deni lote lililosalia ametoa Tshs 2.34trilioni kwaajili ya usambazaji wa umeme na ukamilishaji wa mradi huu wa JNHPP,Pesa hii ni sawa na pesa yote iliyotolewa tangu kuanza kwa mradi huu wa JNHPP,Unaweza kusema "Bajeti moja ya Rais Samia kwenye usambazaji wa umeme na ujenzi wa JNHPP ni sawa na bajeti zote zilizotolewa kujenga JNHPP tangu ianze May 2019 " Kama kuna mtu wa kuombewa kwa nguvu kubwa kwa sasa basi ni Rais Samia,
Hivi hizo pesa ni samia anazitoa kwenye mkoba wake?Ujenzi wa JNHPP na Usambazaji wa umeme Rais Samia aongeza bajeti kwa 230% kutoka TZS 1.01T FY2020|22 hadi TZS 2.34T FY2021|22 "kaziiendelee" mnaoshangaa endeleeni kushangaa,
" Hakuna kama Samia "
Lengo la Rais wetu Samia Suluhu Hassan ifikapo mwaka 2026 Tanzania iwe na umeme wa uhakika unaofikia Jumla ya 5,000MW anamaanisha tunakwenda kuwa electricity donor country hakika kesho yetu ni bora sana kuliko leo,
Sote tunafahamu mahitaji ya Umeme Tanzania yanaongezeka siku hata siku kwa mfano mwaka 2020 mahitaji ya Umeme yalikuwa 1,151.66MW lakini hadi kufikia mwezi May 2021 mahitaji ya Umeme yalifikia 1,183.28MW sawa na ongezeko la 3%,Lakini pia kwa mwaka huku umeme wetu umetajwa kuwa ndio umeme wa bei chee zaidi African Mashariki kwani tunauza kwa $0.099/KWh hakika Tanzania ya Samia raha sana nabei hii itashuka zaidi banda ya JNHPP kukamilika,
Faida ya mradi huu sio umeme tu kwani tayari umeajiri jumla ya wafanyakazi 7,243 huku wazawa wakiwa ni 6,452 na wageni ni 791,Mradi huu utakapokamilika unatarajiwa kuzalisha Jumla ya MW 2,115
Mpaka Rais Samia Suluhu Hassan anaingia madarakani ni 38% tu ya fedha zote za mradi huu wa Tshs 6.55trilioni ndio zilikuwa zimelipwa ambayo ni Tshs 2.495 sawa na Pungufu ya Tshs 4.055trilioni, Hii ni sawa na kusema Rais Samia hadi mwisho wa mradi atakuwa ameujenga mradi wa JNHPP kwa 62%,Hakika Mama huyu anastahili pongezi sana kwa kiwango hiki cha Uzalendo,
Zikiwa zimesalia miezi kumi ( 10 ) tu kumalizika kwa mkataba huu Rais Samia Suluhu Hassan kupitia bajeti yake hii ya kwanza tayari ameshatenga 58% ya deni lote lililosalia ametoa Tshs 2.34trilioni kwaajili ya usambazaji wa umeme na ukamilishaji wa mradi huu wa JNHPP,Pesa hii ni sawa na pesa yote iliyotolewa tangu kuanza kwa mradi huu wa JNHPP,Unaweza kusema "Bajeti moja ya Rais Samia kwenye usambazaji wa umeme na ujenzi wa JNHPP ni sawa na bajeti zote zilizotolewa kujenga JNHPP tangu ianze May 2019 " Kama kuna mtu wa kuombewa kwa nguvu kubwa kwa sasa basi ni Rais Samia,
Tuendelee kumsemea mama amefanya mengi mazuri sana pacha,CM 1774858
Binafsi nikushukuru sana kuwafumbua macho hasa waliokata tamaa baada ya kifo cha Rais Magufuli ,
Samia anafanya vizuri sana ila kwa njia tofauti lazima wamuamini mama yuko vizuri sana na analeta matokeo kwa haraka sana,
Kwakasi ile ya 38% miaka miwili huenda tungekwama,
Hivi hizo pesa ni samia anazitoa kwenye mkoba wake?
Tuendelee kuuombea utafika mwisho tuNitakuja appreciate huu mradi ukikamilika.... Hizi porojo za sasa ni kelele tu kwangu maana bimkubwa watu alio waweka karibu ndio tuliokuwa na shaka nao hapo awali.....
Tuna safari ndefu sana. Na haya ndio matunda ya katiba mbovu na elimu mbovu.Urais ni Taasisi mkuu wangu,
Akifanya PM ndio Samia kafanya,
Don't take H. E. Samia as an intity
Mama ni multitasking anafanya yote kwa pamoja kwa speedSio kwamba anadesa kwa Mwendazake? Ahahahahahahahah!!!
So elimu yako haitambui kuwa "Urais " ni taasisi?Tuna safari ndefu sana. Na haya ndio matunda ya katiba mbovu na elimu mbovu.
Kweli kabisa hasa ukiwa na "Road Map" iliyotengenezwa na mtu makini kama JPM yaani spidi inakuwa kama kumwangusha mlevi vile!!!Mama ni multitasking anafanya yote kwa pamoja kwa speed
Comment Of The day,Huyu mama kama naanza kumuelewa hivi! Ujue sisi wafuasi wa siasa kali za Magu tulipata shida sana kukuelewa,lakini kwa mbaali anakuja kuja.
Tusisahau kuna wabunge walimshambulia Magufuli katika juhudi za kuanzisha mradi huu mkubwa kabisa. Akaziba maskio mbaba wa watu ukaanza pamoja na hali ngumu ya watu wa mwzingira lakini saivi tunaanza kuona utamu unanukia!
Safi JPM heko Samia.
Asante sana mleta mada
Sawa tu mkuu hakuna aliyekataa,Kweli kabisa hasa ukiwa na "Road Map" iliyotengenezwa na mtu makini kama JPM yaani spidi inakuwa kama kumwangusha mlevi vile!!!
Tuombe Uzima nitakukera sana,Unaanza kuwa kero, wewe ni wa kupiga tofari....
CM 1774858
Binafsi nikushukuru sana kuwafumbua macho hasa waliokata tamaa baada ya kifo cha Rais Magufuli ,
Samia anafanya vizuri sana ila kwa njia tofauti lazima wamuamini mama yuko vizuri sana na analeta matokeo kwa haraka sana,
Kwakasi ile ya 38% miaka miwili huenda tungekwama,
🤣🤣Tuombe Uzima nitakukera sana,
#KAZI IENDELEE KWA KASI &WELEDI ZAIDI
Mradi huu mkubwa unatarajiwa kukamilika JUNE 2022....Nitakuja appreciate huu mradi ukikamilika.... Hizi porojo za sasa ni kelele tu kwangu maana bimkubwa watu alio waweka karibu ndio tuliokuwa na shaka nao hapo awali.....
CCM na utapeli ni kama mgonjwa na uji. Mmesahau kwambwa mliahidi gesi ya mtwara ikifika dar es salaam tatizo la umeme litakua historia. Kweli mmeishiwa vijana wangu