Rais Samia Suluhu aongeza bajeti kwa asilimia 230 Ujenzi wa JN-HPP

Rais Samia Suluhu aongeza bajeti kwa asilimia 230 Ujenzi wa JN-HPP

Wewe ndio ungekwamisha? Unalipaje mtu asiyemaliza kazi? Hizi ni story za kupata political milage.
Hakuna namna utaanza hadithi nyingi kwenye project hii ya bwawa la umeme na ile ya reli. Tuzidi kumuombea na kumsaidia Mama apate hekima na uwezo wa kuongoza nchi vizuri. Yote mema yanawezekana
Tuipiganie nchi yetu na chama chetu mkuu


#KAZI IENDELEE KWA KASI &WELEDI ZAIDI
 
Unakera sana na mada zako,kila siku unamsifia hangaya kwa ujinga ujinga..nakublock.
 
Tuipiganie nchi yetu na chama chetu mkuu


#KAZI IENDELEE KWA KASI &WELEDI ZAIDI

Nchi yetu yes...Chama kitapiganiwa kama kitaendelea kuhakikisha kinaleta maendeleo ya kweli kwa wananchi.
Hakuna short cut...keki ya Tanzania ni ya Watanzania wote. Ni jukumu la chama kuhakikisha serikali inawaletea watanzania wote maendeleo
 
Utapeli upi mkuu?!!

Kwani fedha hawajakabidhiwa ARAB CONTRACTORS?!!

Wenyewe wamesema wataumaliza mradi JUNI 2022.....

Ina maana kila kitu kinaenda kama kilivyopangwa? Hii project ilikuwa ya miaka mitatu....so far imekamilika kwa kiasi gani?
 
Nchi yetu yes...Chama kitapiganiwa kama kitaendelea kuhakikisha kinaleta maendeleo ya kweli kwa wananchi.
Hakuna short cut...keki ya Tanzania ni ya Watanzania wote. Ni jukumu la chama kuhakikisha serikali inawaletea watanzania wote maendeleo
Hakika....

Jukumu hilo anaendelea kulifanya mh.SSH....

Ndani ya MUDA mfupi amewapa fedha Arab Contractors kuukamilisha huo mradi wa Mwalimu Nyerere......

Ndani ya MUDA mfupi tu amewapandisha madaraja watumishi wa umma baada ya miaka 6 kupita.....

Ndani ya MUDA mfupi mno amefuta tozo ya "RETENTION FEE" 6% kwa wanufaika wa bodi ya mikopo ya elimu ya juu(HESLB)......

Ndani ya MUDA mfupi mno AMEWAAHIDI NYONGEZA ZA MISHAHARA kwa wafanyakazi ifikapo mwaka wa fedha 2022-2023(fiscal year).........

Ndani ya MUDA mfupi amewakumbusha MAHAKAMA kuharakisha michakato ya maamuzi ya kesi kuanzia mahakama za mwanzo mpaka mahakama ya rufani......

SIEMPRE JMT
 

Ujenzi wa JNHPP na Usambazaji wa umeme Rais Samia aongeza bajeti kwa 230% kutoka TZS 1.01T FY2020|22 hadi TZS 2.34T FY2021|22 "kaziiendelee" mnaoshangaa endeleeni kushangaa,​


" Hakuna kama Samia "​


Lengo la Rais wetu Samia Suluhu Hassan ifikapo mwaka 2026 Tanzania iwe na umeme wa uhakika unaofikia Jumla ya 5,000MW anamaanisha tunakwenda kuwa electricity donor country hakika kesho yetu ni bora sana kuliko leo,

Sote tunafahamu mahitaji ya Umeme Tanzania yanaongezeka siku hata siku kwa mfano mwaka 2020 mahitaji ya Umeme yalikuwa 1,151.66MW lakini hadi kufikia mwezi May 2021 mahitaji ya Umeme yalifikia 1,183.28MW sawa na ongezeko la 3%,Lakini pia kwa mwaka huku umeme wetu umetajwa kuwa ndio umeme wa bei chee zaidi African Mashariki kwani tunauza kwa $0.099/KWh hakika Tanzania ya Samia raha sana nabei hii itashuka zaidi banda ya JNHPP kukamilika,

Faida ya mradi huu sio umeme tu kwani tayari umeajiri jumla ya wafanyakazi 7,243 huku wazawa wakiwa ni 6,452 na wageni ni 791,Mradi huu utakapokamilika unatarajiwa kuzalisha Jumla ya MW 2,115

Mpaka Rais Samia Suluhu Hassan anaingia madarakani ni 38% tu ya fedha zote za mradi huu wa Tshs 6.55trilioni ndio zilikuwa zimelipwa ambayo ni Tshs 2.495 sawa na Pungufu ya Tshs 4.055trilioni, Hii ni sawa na kusema Rais Samia hadi mwisho wa mradi atakuwa ameujenga mradi wa JNHPP kwa 62%,Hakika Mama huyu anastahili pongezi sana kwa kiwango hiki cha Uzalendo,

Zikiwa zimesalia miezi kumi ( 10 ) tu kumalizika kwa mkataba huu Rais Samia Suluhu Hassan kupitia bajeti yake hii ya kwanza tayari ameshatenga 58% ya deni lote lililosalia ametoa Tshs 2.34trilioni kwaajili ya usambazaji wa umeme na ukamilishaji wa mradi huu wa JNHPP,Pesa hii ni sawa na pesa yote iliyotolewa tangu kuanza kwa mradi huu wa JNHPP,Unaweza kusema "Bajeti moja ya Rais Samia kwenye usambazaji wa umeme na ujenzi wa JNHPP ni sawa na bajeti zote zilizotolewa kujenga JNHPP tangu ianze May 2019 " Kama kuna mtu wa kuombewa kwa nguvu kubwa kwa sasa basi ni Rais Samia,


Taarifa inawezekana ni njema ila uandishi wako ni kichoko umefanya taarifa imekuwa ya kichoko
 
Hakika....

Jukumu hilo anaendelea kulifanya mh.SSH....

Ndani ya MUDA mfupi amewapa fedha Arab Contractors kuukamilisha huo mradi wa Mwalimu Nyerere......

Ndani ya MUDA mfupi tu amewapandisha madaraja watumishi wa umma baada ya miaka 6 kupita.....

Ndani ya MUDA mfupi mno amefuta tozo ya "RETENTION FEE" 6% kwa wanufaika wa bodi ya mikopo ya elimu ya juu(HESLB)......

Ndani ya MUDA mfupi mno AMEWAAHIDI NYONGEZA ZA MISHAHARA kwa wafanyakazi ifikapo mwaka wa fedha 2022-2023(fiscal year).........

Ndani ya MUDA mfupi amewakumbusha MAHAKAMA kuharakisha michakato ya maamuzi ya kesi kuanzia mahakama za mwanzo mpaka mahakama ya rufani......

SIEMPRE JMT

Una maana gani unaposema Mama Samia amewapa hela? Sasa mnataka wafanye kazi bure? 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ina maana kila kitu kinaenda kama kilivyopangwa? Hii project ilikuwa ya miaka mitatu....so far imekamilika kwa kiasi gani?
Mkuu wangu pale kuna injinia mkazi anaitwa Mushubila Kamuhabwa.....

Mtaalam huyo anasema kuwa mpaka sasa mradi huo umekuwa ukitekelezwa hatua zote 8 kwa kiwango kikubwa mno....mathalani wameshajenga "SADDLE DAMS" 4....pale jamaa wanafanya kazi usiku na mchana.......

Kufikia July 2021 Serikali sikivu ya awamu ya 6 imeshatoa kwa mkandarasi kiasi cha shilingi TRILIONI 2.5....mpaka ukamilike zinatakiwa kutolewa TRILIONI 6.5.....

#SiempreJMT
#KaziInaendelea
 
Taarifa inawezekana ni njema ila uandishi wako ni kichoko umefanya taarifa imekuwa ya kichoko
Mkuu hebu shusha pumzi banaa🤣

Taarifa haijitoshelezi?!!

Taarifa hujaielewa kitu gani mkuu wangu?!!!
 
Una maana gani unaposema Mama Samia amewapa hela? Sasa mnataka wafanye kazi bure? 🤣🤣🤣🤣🤣
Mkuu....

Ni kweli wanastahili kulipwa....

Ila....

Utashi wa KISIASA (kuamua kulipambania) kuko mikononi mwa serikali(mh.SSH).....kwani asingeitoa hela kwa haraka angelazimishwa ?!!!
 
Mkuu....

Ni kweli wanastahili kulipwa....

Ila....

Utashi wa KISIASA (kuamua kulipambania) kuko mikononi mwa serikali(mh.SSH).....kwani asingeitoa hela kwa haraka angelazimishwa ?!!!

Nampongeza sana kwa kuweza kulipa. Kuna tabia ilianza ya kuwapa wakandarasi kazi halafu kulipa ina kuwa kama mtu anatoa msaada
 
Nitakuja appreciate huu mradi ukikamilika.... Hizi porojo za sasa ni kelele tu kwangu maana bimkubwa watu alio waweka karibu ndio tuliokuwa na shaka nao hapo awali.....
🤣🤣
Ulijitia mashaka mwenyewe mkuu wangu.....

Ni wasiwasi tu usiokuwa na rejea"substantial reference" kwani mh.SSH hakuwahi kuwa Rais....bali msaidizi wa jembe letu hayati JPM....naye alimuamini sana kufikia kumteua mgombea mwenza na kumwacha mh.AMINA SALUM ALI(aliyepata kura nyingi za maoni nyuma ya JPM mwaka 2015).
 
Back
Top Bottom