Rais Samia Suluhu aongeza bajeti kwa asilimia 230 Ujenzi wa JN-HPP

Rais Samia Suluhu aongeza bajeti kwa asilimia 230 Ujenzi wa JN-HPP

Kweli kabisa hasa ukiwa na "Road Map" iliyotengenezwa na mtu makini kama JPM yaani spidi inakuwa kama kumwangusha mlevi vile!!!
Hilo halipingika mkuu....

Na ndio maana mh.Rais SSH anasema YEYE NI MAGUFULI NA MAGUFULI NI YEYE.... kiutekelezaji....hata kama hawatofanana 100%.....
 

Ujenzi wa JNHPP na Usambazaji wa umeme Rais Samia aongeza bajeti kwa 230% kutoka TZS 1.01T FY2020|22 hadi TZS 2.34T FY2021|22 "kaziiendelee" mnaoshangaa endeleeni kushangaa,​


" Hakuna kama Samia "​


Lengo la Rais wetu Samia Suluhu Hassan ifikapo mwaka 2026 Tanzania iwe na umeme wa uhakika unaofikia Jumla ya 5,000MW anamaanisha tunakwenda kuwa electricity donor country hakika kesho yetu ni bora sana kuliko leo,

Sote tunafahamu mahitaji ya Umeme Tanzania yanaongezeka siku hata siku kwa mfano mwaka 2020 mahitaji ya Umeme yalikuwa 1,151.66MW lakini hadi kufikia mwezi May 2021 mahitaji ya Umeme yalifikia 1,183.28MW sawa na ongezeko la 3%,Lakini pia kwa mwaka huku umeme wetu umetajwa kuwa ndio umeme wa bei chee zaidi African Mashariki kwani tunauza kwa $0.099/KWh hakika Tanzania ya Samia raha sana nabei hii itashuka zaidi banda ya JNHPP kukamilika,

Faida ya mradi huu sio umeme tu kwani tayari umeajiri jumla ya wafanyakazi 7,243 huku wazawa wakiwa ni 6,452 na wageni ni 791,Mradi huu utakapokamilika unatarajiwa kuzalisha Jumla ya MW 2,115

Mpaka Rais Samia Suluhu Hassan anaingia madarakani ni 38% tu ya fedha zote za mradi huu wa Tshs 6.55trilioni ndio zilikuwa zimelipwa ambayo ni Tshs 2.495 sawa na Pungufu ya Tshs 4.055trilioni, Hii ni sawa na kusema Rais Samia hadi mwisho wa mradi atakuwa ameujenga mradi wa JNHPP kwa 62%,Hakika Mama huyu anastahili pongezi sana kwa kiwango hiki cha Uzalendo,

Zikiwa zimesalia miezi kumi ( 10 ) tu kumalizika kwa mkataba huu Rais Samia Suluhu Hassan kupitia bajeti yake hii ya kwanza tayari ameshatenga 58% ya deni lote lililosalia ametoa Tshs 2.34trilioni kwaajili ya usambazaji wa umeme na ukamilishaji wa mradi huu wa JNHPP,Pesa hii ni sawa na pesa yote iliyotolewa tangu kuanza kwa mradi huu wa JNHPP,Unaweza kusema "Bajeti moja ya Rais Samia kwenye usambazaji wa umeme na ujenzi wa JNHPP ni sawa na bajeti zote zilizotolewa kujenga JNHPP tangu ianze May 2019 " Kama kuna mtu wa kuombewa kwa nguvu kubwa kwa sasa basi ni Rais Samia,


Siasa za maji taka hizi. Rais amezitoa wapi hizo fedha??? ana miradi ya familia inayosaidia nchi??? Fedhazinatoka kwa wananchi,mbona msiwapongeze wananchi???? Kila mradi ukifanyika eto rais..alichaguliwa akaja na fedha??? Si mpenzi wa siasa,ila hili hapana, rais ha donate, anawakibika kutoa uwajibikaji kwa mapato kutoka kwa wananchi na sources zingine, ukome kujipendekeza
 
Siasa za maji taka hizi. Rais amezitoa wapi hizo fedha??? ana miradi ya familia inayosaidia nchi??? Fedhazinatoka kwa wananchi,mbona msiwapongeze wananchi???? Kila mradi ukifanyika eto rais..alichaguliwa akaja na fedha??? Si mpenzi wa siasa,ila hili hapana, rais ha donate, anawakibika kutoa uwajibikaji kwa mapato kutoka kwa wananchi na sources zingine, ukome kujipendekeza
Duniani kote FEDHA ZA NCHI ni Kodi ya wananchi....iwe nchi zenye Vita na machafuko Kama Somalia , Ethiopia na Eritrea.....

Mathalani nchini DRC kumekuwa na maendeleo haba ya ujenzi wa barabara zinazounganisha mikoa yao pamoja na utajiri mkubwa wa MADINI GHALI...hapa umekosekana UTASHI WA KISIASA...UTASHI WA KIUTAWALA......
 
Siasa za maji taka hizi. Rais amezitoa wapi hizo fedha??? ana miradi ya familia inayosaidia nchi??? Fedhazinatoka kwa wananchi,mbona msiwapongeze wananchi???? Kila mradi ukifanyika eto rais..alichaguliwa akaja na fedha??? Si mpenzi wa siasa,ila hili hapana, rais ha donate, anawakibika kutoa uwajibikaji kwa mapato kutoka kwa wananchi na sources zingine, ukome kujipendekeza
Rais ni taasis hata wewe ni sehemu ya Rais,

Rais ndio budget advisor

Rais ndio budget proposer
 
Duniani kote FEDHA ZA NCHI ni Kodi ya wananchi....iwe nchi zenye Vita na machafuko Kama Somalia , Ethiopia na Eritrea.....

Mathalani nchini DRC kumekuwa na maendeleo haba ya ujenzi wa barabara zinazounganisha mikoa yao pamoja na utajiri mkubwa wa MADINI GHALI...hapa umekosekana UTASHI WA KISIASA...UTASHI WA KIUTAWALA......
Unaakili kubwa sana wewe Jumbe Brown
Tatizo la Watanzania ni Elimu tu
Samia atawateaa sana hawa pingapinga
 
Unaakili kubwa sana wewe Jumbe Brown
Tatizo la Watanzania ni Elimu tu
Samia atawateaa sana hawa pingapinga
🤣🤣Shukran mkuu wangu.....

ELIMU ELIMU ELIMU.....

Hapa kijiweni kwenye kahawa nimetoka kumueleza kijana nguli wa CHADEMA kuwa mh.Rais SSH atawatesa sana....mno.... kwa ubora wake kisiasa............kwa sababu yeye ni kama JPM(utashi wa kutekeleza miradi ya maendeleo) ila yeye ni mpole ,mtulivu na msikivu zaidi ya JPM(socially)....mathalani ndani ya miaka 6 wananchi walikuwa wanalalamikia haya:-

1)Ajira kwa vijana....ndani ya muda mfupi AMEAJIRI vijana zaidi ya 8000(TAMISEMI+WIZARA YA AFYA)....

2)Kupandisha madaraja watumishi wa umma na kuwaahidi nyongeza za mishahara ifikapo mwaka wa fedha 2022/2023......

3)Kufuta RETENTION FEE 6% ya wanufaika wa mikopo ya elimu ya juu(HESLB)...

NI MENGI MNO MKUU🤣🤣
 

Ujenzi wa JNHPP na Usambazaji wa umeme Rais Samia aongeza bajeti kwa 230% kutoka TZS 1.01T FY2020|22 hadi TZS 2.34T FY2021|22 "kaziiendelee" mnaoshangaa endeleeni kushangaa,​


" Hakuna kama Samia "​


Lengo la Rais wetu Samia Suluhu Hassan ifikapo mwaka 2026 Tanzania iwe na umeme wa uhakika unaofikia Jumla ya 5,000MW anamaanisha tunakwenda kuwa electricity donor country hakika kesho yetu ni bora sana kuliko leo,

Sote tunafahamu mahitaji ya Umeme Tanzania yanaongezeka siku hata siku kwa mfano mwaka 2020 mahitaji ya Umeme yalikuwa 1,151.66MW lakini hadi kufikia mwezi May 2021 mahitaji ya Umeme yalifikia 1,183.28MW sawa na ongezeko la 3%,Lakini pia kwa mwaka huku umeme wetu umetajwa kuwa ndio umeme wa bei chee zaidi African Mashariki kwani tunauza kwa $0.099/KWh hakika Tanzania ya Samia raha sana nabei hii itashuka zaidi banda ya JNHPP kukamilika,

Faida ya mradi huu sio umeme tu kwani tayari umeajiri jumla ya wafanyakazi 7,243 huku wazawa wakiwa ni 6,452 na wageni ni 791,Mradi huu utakapokamilika unatarajiwa kuzalisha Jumla ya MW 2,115

Mpaka Rais Samia Suluhu Hassan anaingia madarakani ni 38% tu ya fedha zote za mradi huu wa Tshs 6.55trilioni ndio zilikuwa zimelipwa ambayo ni Tshs 2.495 sawa na Pungufu ya Tshs 4.055trilioni, Hii ni sawa na kusema Rais Samia hadi mwisho wa mradi atakuwa ameujenga mradi wa JNHPP kwa 62%,Hakika Mama huyu anastahili pongezi sana kwa kiwango hiki cha Uzalendo,

Zikiwa zimesalia miezi kumi ( 10 ) tu kumalizika kwa mkataba huu Rais Samia Suluhu Hassan kupitia bajeti yake hii ya kwanza tayari ameshatenga 58% ya deni lote lililosalia ametoa Tshs 2.34trilioni kwaajili ya usambazaji wa umeme na ukamilishaji wa mradi huu wa JNHPP,Pesa hii ni sawa na pesa yote iliyotolewa tangu kuanza kwa mradi huu wa JNHPP,Unaweza kusema "Bajeti moja ya Rais Samia kwenye usambazaji wa umeme na ujenzi wa JNHPP ni sawa na bajeti zote zilizotolewa kujenga JNHPP tangu ianze May 2019 " Kama kuna mtu wa kuombewa kwa nguvu kubwa kwa sasa basi ni Rais Samia,


Eeeh hii sasa mama anakwenda vizuri,
Mimi nitamuunga mkono tu huyu mama japo mimi ni chadema
 

Ujenzi wa JNHPP na Usambazaji wa umeme Rais Samia aongeza bajeti kwa 230% kutoka TZS 1.01T FY2020|22 hadi TZS 2.34T FY2021|22 "kaziiendelee" mnaoshangaa endeleeni kushangaa,​


" Hakuna kama Samia "​


Lengo la Rais wetu Samia Suluhu Hassan ifikapo mwaka 2026 Tanzania iwe na umeme wa uhakika unaofikia Jumla ya 5,000MW anamaanisha tunakwenda kuwa electricity donor country hakika kesho yetu ni bora sana kuliko leo,

Sote tunafahamu mahitaji ya Umeme Tanzania yanaongezeka siku hata siku kwa mfano mwaka 2020 mahitaji ya Umeme yalikuwa 1,151.66MW lakini hadi kufikia mwezi May 2021 mahitaji ya Umeme yalifikia 1,183.28MW sawa na ongezeko la 3%,Lakini pia kwa mwaka huku umeme wetu umetajwa kuwa ndio umeme wa bei chee zaidi African Mashariki kwani tunauza kwa $0.099/KWh hakika Tanzania ya Samia raha sana nabei hii itashuka zaidi banda ya JNHPP kukamilika,

Faida ya mradi huu sio umeme tu kwani tayari umeajiri jumla ya wafanyakazi 7,243 huku wazawa wakiwa ni 6,452 na wageni ni 791,Mradi huu utakapokamilika unatarajiwa kuzalisha Jumla ya MW 2,115

Mpaka Rais Samia Suluhu Hassan anaingia madarakani ni 38% tu ya fedha zote za mradi huu wa Tshs 6.55trilioni ndio zilikuwa zimelipwa ambayo ni Tshs 2.495 sawa na Pungufu ya Tshs 4.055trilioni, Hii ni sawa na kusema Rais Samia hadi mwisho wa mradi atakuwa ameujenga mradi wa JNHPP kwa 62%,Hakika Mama huyu anastahili pongezi sana kwa kiwango hiki cha Uzalendo,

Zikiwa zimesalia miezi kumi ( 10 ) tu kumalizika kwa mkataba huu Rais Samia Suluhu Hassan kupitia bajeti yake hii ya kwanza tayari ameshatenga 58% ya deni lote lililosalia ametoa Tshs 2.34trilioni kwaajili ya usambazaji wa umeme na ukamilishaji wa mradi huu wa JNHPP,Pesa hii ni sawa na pesa yote iliyotolewa tangu kuanza kwa mradi huu wa JNHPP,Unaweza kusema "Bajeti moja ya Rais Samia kwenye usambazaji wa umeme na ujenzi wa JNHPP ni sawa na bajeti zote zilizotolewa kujenga JNHPP tangu ianze May 2019 " Kama kuna mtu wa kuombewa kwa nguvu kubwa kwa sasa basi ni Rais Samia,

Namshauri ndugu january makamba akomae akamilishe huu mradi kwa weredi mkubwa..... Ukamilike kwa haraka...atapata point kubwa ya kuupata urais hapo baadae
 
Back
Top Bottom