CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 5,621
- 5,029
- Thread starter
-
- #41
Tuipiganie nchi yetu na chama chetu mkuuWewe ndio ungekwamisha? Unalipaje mtu asiyemaliza kazi? Hizi ni story za kupata political milage.
Hakuna namna utaanza hadithi nyingi kwenye project hii ya bwawa la umeme na ile ya reli. Tuzidi kumuombea na kumsaidia Mama apate hekima na uwezo wa kuongoza nchi vizuri. Yote mema yanawezekana
😍Comment Of The day,
Kuwa na amani mkuu Samia anafanya vizuri Sana,
Tuendelee kumwombea,
#KAZI IENDELEE KWA KASI &WELEDI ZAIDI
Mkuu nakusalimu kwa jina la JMTMradi huu mkubwa unatarajiwa kukamilika JUNE 2022....
Tujiandae kuwa na MEGAWATI 2215💪
Acheni utapeli. Ukifanya kitu kitaonekana tu huhitaji nguvu nyingi kuwatangazia watu kuwa umefanya ABC..
Utapeli upi mkuu?!!Acheni utapeli. Ukifanya kitu kitaonekana tu huhitaji nguvu nyingi kuwatangazia watu kuwa umefanya ABC..
#Kazi Iendelee mkuu wangu🙏Mkuu nakusalimu kwa jina la JMT
Tuipiganie nchi yetu na chama chetu mkuu
#KAZI IENDELEE KWA KASI &WELEDI ZAIDI
Utapeli upi mkuu?!!
Kwani fedha hawajakabidhiwa ARAB CONTRACTORS?!!
Wenyewe wamesema wataumaliza mradi JUNI 2022.....
Hakika....Nchi yetu yes...Chama kitapiganiwa kama kitaendelea kuhakikisha kinaleta maendeleo ya kweli kwa wananchi.
Hakuna short cut...keki ya Tanzania ni ya Watanzania wote. Ni jukumu la chama kuhakikisha serikali inawaletea watanzania wote maendeleo
Taarifa inawezekana ni njema ila uandishi wako ni kichoko umefanya taarifa imekuwa ya kichokoUjenzi wa JNHPP na Usambazaji wa umeme Rais Samia aongeza bajeti kwa 230% kutoka TZS 1.01T FY2020|22 hadi TZS 2.34T FY2021|22 "kaziiendelee" mnaoshangaa endeleeni kushangaa,
" Hakuna kama Samia "
Lengo la Rais wetu Samia Suluhu Hassan ifikapo mwaka 2026 Tanzania iwe na umeme wa uhakika unaofikia Jumla ya 5,000MW anamaanisha tunakwenda kuwa electricity donor country hakika kesho yetu ni bora sana kuliko leo,
Sote tunafahamu mahitaji ya Umeme Tanzania yanaongezeka siku hata siku kwa mfano mwaka 2020 mahitaji ya Umeme yalikuwa 1,151.66MW lakini hadi kufikia mwezi May 2021 mahitaji ya Umeme yalifikia 1,183.28MW sawa na ongezeko la 3%,Lakini pia kwa mwaka huku umeme wetu umetajwa kuwa ndio umeme wa bei chee zaidi African Mashariki kwani tunauza kwa $0.099/KWh hakika Tanzania ya Samia raha sana nabei hii itashuka zaidi banda ya JNHPP kukamilika,
Faida ya mradi huu sio umeme tu kwani tayari umeajiri jumla ya wafanyakazi 7,243 huku wazawa wakiwa ni 6,452 na wageni ni 791,Mradi huu utakapokamilika unatarajiwa kuzalisha Jumla ya MW 2,115
Mpaka Rais Samia Suluhu Hassan anaingia madarakani ni 38% tu ya fedha zote za mradi huu wa Tshs 6.55trilioni ndio zilikuwa zimelipwa ambayo ni Tshs 2.495 sawa na Pungufu ya Tshs 4.055trilioni, Hii ni sawa na kusema Rais Samia hadi mwisho wa mradi atakuwa ameujenga mradi wa JNHPP kwa 62%,Hakika Mama huyu anastahili pongezi sana kwa kiwango hiki cha Uzalendo,
Zikiwa zimesalia miezi kumi ( 10 ) tu kumalizika kwa mkataba huu Rais Samia Suluhu Hassan kupitia bajeti yake hii ya kwanza tayari ameshatenga 58% ya deni lote lililosalia ametoa Tshs 2.34trilioni kwaajili ya usambazaji wa umeme na ukamilishaji wa mradi huu wa JNHPP,Pesa hii ni sawa na pesa yote iliyotolewa tangu kuanza kwa mradi huu wa JNHPP,Unaweza kusema "Bajeti moja ya Rais Samia kwenye usambazaji wa umeme na ujenzi wa JNHPP ni sawa na bajeti zote zilizotolewa kujenga JNHPP tangu ianze May 2019 " Kama kuna mtu wa kuombewa kwa nguvu kubwa kwa sasa basi ni Rais Samia,
Hakika....
Jukumu hilo anaendelea kulifanya mh.SSH....
Ndani ya MUDA mfupi amewapa fedha Arab Contractors kuukamilisha huo mradi wa Mwalimu Nyerere......
Ndani ya MUDA mfupi tu amewapandisha madaraja watumishi wa umma baada ya miaka 6 kupita.....
Ndani ya MUDA mfupi mno amefuta tozo ya "RETENTION FEE" 6% kwa wanufaika wa bodi ya mikopo ya elimu ya juu(HESLB)......
Ndani ya MUDA mfupi mno AMEWAAHIDI NYONGEZA ZA MISHAHARA kwa wafanyakazi ifikapo mwaka wa fedha 2022-2023(fiscal year).........
Ndani ya MUDA mfupi amewakumbusha MAHAKAMA kuharakisha michakato ya maamuzi ya kesi kuanzia mahakama za mwanzo mpaka mahakama ya rufani......
SIEMPRE JMT
Mkuu wangu pale kuna injinia mkazi anaitwa Mushubila Kamuhabwa.....Ina maana kila kitu kinaenda kama kilivyopangwa? Hii project ilikuwa ya miaka mitatu....so far imekamilika kwa kiasi gani?
Mkuu hebu shusha pumzi banaa🤣Taarifa inawezekana ni njema ila uandishi wako ni kichoko umefanya taarifa imekuwa ya kichoko
Mkuu....Una maana gani unaposema Mama Samia amewapa hela? Sasa mnataka wafanye kazi bure? 🤣🤣🤣🤣🤣
SIEMPRE JMTTuipiganie nchi yetu na chama chetu mkuu
#KAZI IENDELEE KWA KASI &WELEDI ZAIDI
Mkuu....
Ni kweli wanastahili kulipwa....
Ila....
Utashi wa KISIASA (kuamua kulipambania) kuko mikononi mwa serikali(mh.SSH).....kwani asingeitoa hela kwa haraka angelazimishwa ?!!!
🤣🤣Nitakuja appreciate huu mradi ukikamilika.... Hizi porojo za sasa ni kelele tu kwangu maana bimkubwa watu alio waweka karibu ndio tuliokuwa na shaka nao hapo awali.....
Kweli mkuu wangu....Nampongeza sana kwa kuweza kulipa. Kuna tabia ilianza ya kuwapa wakandarasi kazi halafu kulipa ina kuwa kama mtu anatoa msaada