Rais Samia Suluhu ateua Wabunge wapya watatu na kuteua Baraza la Mawaziri

Ngano unaweza tengeza mkate,chapati,maandazi lakini ngano ni ileile,unachobadili ni aina ya matumizi ya ngano.
 
Wote ni winners as long as bado wanakula mshahara si kama vijana wale wanaosota mtaani mwaka wa sita huu bila ajira ambao kwangu mimi ndio true loosers.
Nb: Ni baraza si balaza
 
Chuoni kulikuwa na course za Option. Hizi kozi zisipochaguliwa na wanafunzi the loser was the tutor.
 
Khaaa!
Unabii upi?
 

HAWEZEKANI MUUMBA TATIZO AKAWA MUAROBAINI WA UTATUZI.
IKO HIVI: NCHI na nyumbani kwangu ni yetu sote ILA tofauti zetu zinapaswa ZITUUNGANISHE zaidi zisitoe nafasi kwa wapumbavu, mabaradhuli (wapo wengi mno) NAFASI 1
 
Inasikitisha sana Mkuu. Baada ya madudu yao ya miaka mitano wengi tulitegemea wabadili mwelekeo lakini hawa wahuni hawataki kuelewa.
Na mimi nilitegemea wabadili mwelekeo kweli! Yaani waziri wa fedha wampe Mr. Mbowe, mambo ya nje Mr. Lissu - waziri mdogo Lema (wanapenda kukaa nje)
 
Acha kuonyesha ujuha wako hadharani. Nenda katafute watoto wenzio wa kucheza nao.
Na mimi nilitegemea wabadili mwelekeo kweli! Yaani waziri wa fedha wampe Mr. Mbowe, mambo ya nje Mr. Lissu - waziri mdogo Lema (wanapenda kukaa nje)
 

Wewe ni fala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…