Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiyemtaka kaja huyu mama nimemkubali kumbe JPM part 2Wizara ya Fedha kapewa Mwigulu nchemba. Tumekwishaaa
Sasa CAG akiweka ripoti ya hela walizoiba watengue tena?Mbunge wa kuteuliwa.
Aisee hapa naona mama kama kateleza Mwigulu wizara ya Fedha? mbona simuamini?
twiraaaMakamba Jr. wizara gani?
Alhaji Hussein KatangaKatibu mkuu kiongozi - Hussein yahya Katanga (balozi yupo japani)
Mbunge wa kuteuliwa aka viti maalumBashiru?
OR MazingiraJafo kapelekwa wapi?🤔
Amechemka sana Mwigulu anaenda kutuingiza kwenye mdororo mkubwa wa uchumi,Wizara ya fedha inahitaji mtu mwenye maadili na weledi wa kutosha,Mwigulu ni mtu wa kupika data kufurahisha wakubwa...hakika hawezi kudumu hapo.