Rais Samia Suluhu Hassan ampendekeza Dkt. Philip Isdor Mpango kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano. Bunge lamthibitisha kwa 100%

[emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu mimi hawa nilishawapuuza,

Kikubwa tuwasubiri akili zao huwa zinarudi ikifika oktoba ya mwaka wa uchaguzi na sisi kazi yetu ni kuwagonga tu
 

hakika, mama analeta nuru mpya
 
Kuwa makini na Statement hii "We have the numbers" Hatuzungumzii kumtikisa mtu, tuna chotaka na kumuunga mkono ni utendaji katika Kweli na Haki

Sawa, sasa nipeni mbinu mpya ya kuwa 'chawa' wa mama fasta.
 
Naona mama Samia amekataa kuwatumia wastaaafu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…