Rais Samia Suluhu Hassan ampendekeza Dkt. Philip Isdor Mpango kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano. Bunge lamthibitisha kwa 100%

Hapa jukwaani au hapa duniani? Mi nahitaji kuwa chawa japo nionje kidogo mema ya nchi kabla sijafa.

Mema tutayaonja katika uzima wa milele if at all you are on a right truck to be there after this world's life.
 
Mpango yupi tena jamani?
Si tulikubaliana mama aweke safu mpya na team Msoga wawemo?
Mpango alivutwa na nani kurudi bongo na kupewa majukumu? Kisha alikuwa mshauri wa nani masuala ya uchumi? Nani alimuweka kusimamia tume ya mipango?
 
Msaada kwenye tuta. Kama VP ambaye ni running mate wa rais huwa si mbunge (au ana jimbo), je kutakuwa na uchaguzi mdogo Buhigwe - Kigoma kwa ajili nafasi hiyo itakuwa wazi au ?
 
Mlimfikiri mtampangia Rais Mama Samia.
Tumpangie sisi kama nani? By the way, mimi na akina nani? Mimi ni Mtanzania tu Mzalendo wa Nchi yangu, na adui namba 1 wa @ccm nchini!

Hamchelewi nyinyi MATAGA kusema na mimi niko Ufipa kwa akina John Mnyika!
 
Jamani baadhi ya wabunge mnapaswa mumuadress Samia kama rais Samia siyo Mama Samia.
Tokea akiwa vice alikua akiitwa Mama,
Nyerere alikua anaitwa mwalimu je kuna ubaya napo nadhani mama ni heshima tu na wala sio kupunguza ukuu wake Kama Rais na amiri jeshi mkuu wa majeshi yote ya ulinzi na usalama
 
Timu Msoga imeshatoa kiongozi wa juu hivyo timu nyingine nazo zinapewa nafasi.
Yap 50/50,kikubwa hawa wote walifanya kazi vema na hayati JPM,cha umuhimu wakatekeleze vyema ilani ya CCM Tanzania tusonge mbele.
 
Wakuu, hivi zile nafasi za ubunge wa kuteuliwa na Raisi zilibaki ngapi?
Je walioteuliwa na mwenda zake wanatambuliwa kisheria? Maana aliyewateuwa keshatembea mbele
Polepole naona kakaa kimya sana
 
Msaada kwenye tuta. Kama VP ambaye ni running mate wa rais huwa si mbunge (au ana jimbo), je kutakuwa na uchaguzi mdogo Buhigwe - Kigoma kwa ajili nafasi hiyo itakuwa wazi au ?
Wahi tu mkuu ukachukue fomu! Jimbo liko wazi hilo.
 
Yani hata uwezo wa ku analyze mambo huna...wewe ni chuki tu..sasa mpango ni legacy ya nani ? Alikuwa mtu anaaminiwa na nani? Mpango ameletwa na magufuli.
Mpango katolewa WB na JK, akawa mshauri wake wa masuala ya kiuchumi, akamuweka kusimamia tume ya mipango huko kwenye BRN. Ilikuwa ni tabia ya JK kuwarudisha wataalamu wetu walionje waje kujenga nchi. Alishakuwa anaranda Ikulu akiwa na Jk.
 
Ndio basi tena, yale matrilioni sasa yatakuwa salama...Hakuna mtu atachunguza HAZINA wakati aliyekuwa waziri wa fedha kawa MAKAMU WA RAIS
 
Taarifa zake za shule za msingi hazijapatikana kwa sababu alisoma kongo
 
Tunategemea wabunge 356 mliopo mtapiga kura za ndiyo ili kuthibitisha Jina la MH.Philip Mpango. Tunawaomba Mafikizolo, Inzile na Gweregwere msiendeleze yale masuala yenu kwenye zoezi hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…