JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 8,191
- 8,490
Ili ulimwengu ujue Tanzania inaongozwa na mwanamke.Hizi safari manufaa yake ni yapi kwa kwa kina mama walipo kule namtumbo bila maji??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili ulimwengu ujue Tanzania inaongozwa na mwanamke.Hizi safari manufaa yake ni yapi kwa kwa kina mama walipo kule namtumbo bila maji??
kwani mpaka sasa hawajui ??Ili ulimwengu ujue Tanzania inaongozwa na mwanamke.
Hao walio enda nje kutafuta connection miaka 10 walitufikisha wapi?Hawa watu wajinga sana Mkuu, Joe anaongoza nchi yenye nguvu zaidi kiuchumi kwa sasa kuliko nchi nyingine yeyote, ila haachi kwenda nchi nyingine (hata kama maskini) kutafuta connections, Jana alikuwa Vatican, leo atakuwa Roma, then anaunga juu kwa juu kwenda kwenye huu mkutano wa CC, akitoka hapo I think ataenda kuonana na Queen! Ila hii mijamaa ya mwendazake wanataka rais aende Mbinga kutatua mgogoro wa ardhi wa wakulima wa kahawa, nini kazi ya waziri mkuu? waziri? Naibu waziri? Katibu wa wizara? wakurugenzi wa idara za wizara? RCs, DCs, DEDs? Tumeshatoka kwenye zama za ushamba na hatutorudi tena huko
Haendi na ndege ya serikali, and huo mkutano wakuu wengi wa nchi wanahudhuria! What do you want guys? Rais asiposafiri mnamuita mshamba, akisafiri mnasema anapenda kusafiri? Mnataka nini for your country? Hamueleweki kabisa...And kuhusu kuwakilishwa unadhani Biden, Boris, Rais wa WB watabother na muwakilishi wa Rais??
Walio karibu nae lazima wafurahi, maana wanapata posho Kama zote, ila safari ya rais MOJA ni gharama kubwa Sana , zipo safari anaweza tuma wa kumwakilisha.Haendi na ndege ya serikali, and huo mkutano wakuu wengi wa nchi wanahudhuria! What do you want guys? Rais asiposafiri mnamuita mshamba, akisafiri mnasema anapenda kusafiri? Mnataka nini for your country? Hamueleweki kabisa...And kuhusu kuwakilishwa unadhani Biden, Boris, Rais wa WB watabother na muwakilishi wa Rais??
Mkuu sisi bado tunaiitaji dunia kusonga mbele, uwepo wake yeye kule ni mkubwa mno kuliko wawakilishi! Wewe ukiwa Rais wa nchi hii utajifungia ndani na kuzuia watu wote kusafiri kama Jiwe?Walio karibu nae lazima wafurahi, maana wanapata posho Kama zote, ila safari ya rais MOJA ni gharama kubwa Sana , zipo safari anaweza tuma wa kumwakilisha,
Mfano tangu amechukua kiti ameenda Nchi ngapi? na mwa haujaisha, vipi Mpaka 2025?
Kuhutubia tena? Watu wa Hangaya ni kiboko kwa propaganda. COP26 Hangaya amhutubie Nani Bill Gates? Uwanja upi hapo Glasgow, Strathclyde university?Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuondoka Nchini Oktoba 30, 2021 kuelekea Glasgow, Scotland kuhudhuria Mkutano wa 26 wa Umoja wa Mataifa utakaojadili athari za Mabadiliko ya Tabianchi (COP 26).
Anatarajiwa kuhutubia siku ya pili ya Mkutano huo (Novemba 02, 2021) na pia atakutana kuzungumza na baadhi Wakuu wa Nchi, Wakuu wa Mashirika ya Kimataifa, Wakuu wa Taasisi mbalimbali na Wafanyabiashara wakubwa.
View attachment 1990991
Waziri ofisi ya makamu wa raisi muungano mazingira na waziri wa mambo ya nje kazi zao ni zipi kama sio matumizi mabaya ya kodi za wananchi?Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuondoka Nchini Oktoba 30, 2021 kuelekea Glasgow, Scotland kuhudhuria Mkutano wa 26 wa Umoja wa Mataifa utakaojadili athari za Mabadiliko ya Tabianchi (COP 26).
Anatarajiwa kuhutubia siku ya pili ya Mkutano huo (Novemba 02, 2021) na pia atakutana kuzungumza na baadhi Wakuu wa Nchi, Wakuu wa Mashirika ya Kimataifa, Wakuu wa Taasisi mbalimbali na Wafanyabiashara wakubwa.
View attachment 1990991
Mi naomba kuuliza HV rais analoalikwa kwenye international conference km hyoo hzo garama wanamlipia? Au zinatoka ndani ya nchiWalio karibu nae lazima wafurahi, maana wanapata posho Kama zote, ila safari ya rais MOJA ni gharama kubwa Sana , zipo safari anaweza tuma wa kumwakilisha,
Mfano tangu amechukua kiti ameenda Nchi ngapi? na mwa haujaisha, vipi Mpaka 2025?
Unamaamisha JPM hakuweza kutabasamu kwa dunia tena kwa upendo kabisa?.If you smile to the world....the world will smile back to you ...
Hakuna kujifungia fungia kama mchawi
Safari moja tu ya UN imeleta pesa zinagawiwa kwenye kila mkoa pengine hii ya sasa na yenyewe itakuja na pesa nyingine nyingi. Punguza kuwa inferior kila unapomuongelea rais wa awamu ya sita.Ichambue safari katika muktadha wa gharama au athari inazoweza kisababisha kiuchumi au kidiplomasia.
Acha kudanganya watu...pesa IMF has nothing to do na safari za mama UN..mchakato wa hizo pesa ulianza kabla ht ya safari ya UN na hauna uhusiano na UN.Safari moja tu ya UN imeleta pesa zinagawiwa kwenye kila mkoa pengine hii ya sasa na yenyewe itakuja na pesa nyingine nyingi. Punguza kuwa inferior kila unapomuongelea rais wa awamu ya sita.
Haki ya nani airbus za mwendazake zitajuta kumfahamu!
Kheri yako wewe unayejua kila kitu.Acha kudanganya watu...pesa IMF has nothing to do na safari za mama UN..mchakato wa hizo pesa ulianza kabla ht ya safari ya UN na hauna uhusiano na UN.
Tunaenda na Eya Basi yetu hii hapa bhana! ✈️🛫🛬 Rais mzima unapandaje ndege ya abiria na wakati midege yetu imejaa tu pale JNIA!Anakwendannq ndege gani, eabasi au imarati ya dubai
Ni aibu kiongozi wa nchi kuwa muongo kama mwendazake....eti anasevu matumizi kumbe English hakuna, kuna pacemaker ingefumuka.Sasa mtu anaiba matrilion hazina hadi rambirambi si angesafiri tu? Tatizo lilikuwa kiingereza na exposure. Kutudanganya eti alikuwa anabana matumizi ni uwongo tu.
Acha aendelee kuchezea vitasa huko kuzimu!