Rais Samia Suluhu Hassan kuhudhuria Mkutano wa COP 26 Nchini Scotland

Rais Samia Suluhu Hassan kuhudhuria Mkutano wa COP 26 Nchini Scotland

hongera mh hii hitasaidia kupubguza hewa ukaa na pia kuleta mirand ya kimazingira
 
Hawa watu wajinga sana Mkuu, Joe anaongoza nchi yenye nguvu zaidi kiuchumi kwa sasa kuliko nchi nyingine yeyote, ila haachi kwenda nchi nyingine (hata kama maskini) kutafuta connections, Jana alikuwa Vatican, leo atakuwa Roma, then anaunga juu kwa juu kwenda kwenye huu mkutano wa CC, akitoka hapo I think ataenda kuonana na Queen! Ila hii mijamaa ya mwendazake wanataka rais aende Mbinga kutatua mgogoro wa ardhi wa wakulima wa kahawa, nini kazi ya waziri mkuu? waziri? Naibu waziri? Katibu wa wizara? wakurugenzi wa idara za wizara? RCs, DCs, DEDs? Tumeshatoka kwenye zama za ushamba na hatutorudi tena huko
Hao walio enda nje kutafuta connection miaka 10 walitufikisha wapi?

Ila si shangai Kikwete alikuwa anasafiri sana wakamwita Vasco dagama na wakamwita "Rais dhaifu....afuatili maswala ya kiserikali...".

Magu akaamua hasisafiri ila wasaidizi wake wawe wanamwakilisha kwenye mikutano ya kimataifa yy akiendelea kufuatilia shughuli za kiserikali mkasema anajifungua.

Mama leo anasafiri wanampongeza, kuna watu sigara kali,hao waliokuwa wakimponda Kikwete leo wanamsifia mama mpaka unahisi labda ni watu wawili tofauti.

Ila acha inyeshe tuone panapo toboka na pashaanza kuvuja ni swala la muda maji yaanze kujaa ndani.
 
Sijui huku kwetu musoma vijijini atakuja lini huyo Rais wenu
 
Haendi na ndege ya serikali, and huo mkutano wakuu wengi wa nchi wanahudhuria! What do you want guys? Rais asiposafiri mnamuita mshamba, akisafiri mnasema anapenda kusafiri? Mnataka nini for your country? Hamueleweki kabisa...And kuhusu kuwakilishwa unadhani Biden, Boris, Rais wa WB watabother na muwakilishi wa Rais??

Haendi na ndege ya serikali, and huo mkutano wakuu wengi wa nchi wanahudhuria! What do you want guys? Rais asiposafiri mnamuita mshamba, akisafiri mnasema anapenda kusafiri? Mnataka nini for your country? Hamueleweki kabisa...And kuhusu kuwakilishwa unadhani Biden, Boris, Rais wa WB watabother na muwakilishi wa Rais??
Walio karibu nae lazima wafurahi, maana wanapata posho Kama zote, ila safari ya rais MOJA ni gharama kubwa Sana , zipo safari anaweza tuma wa kumwakilisha.

Mfano tangu amechukua kiti ameenda Nchi ngapi? na mwa haujaisha, vipi Mpaka 2025?
 
Walio karibu nae lazima wafurahi, maana wanapata posho Kama zote, ila safari ya rais MOJA ni gharama kubwa Sana , zipo safari anaweza tuma wa kumwakilisha,
Mfano tangu amechukua kiti ameenda Nchi ngapi? na mwa haujaisha, vipi Mpaka 2025?
Mkuu sisi bado tunaiitaji dunia kusonga mbele, uwepo wake yeye kule ni mkubwa mno kuliko wawakilishi! Wewe ukiwa Rais wa nchi hii utajifungia ndani na kuzuia watu wote kusafiri kama Jiwe?
 
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuondoka Nchini Oktoba 30, 2021 kuelekea Glasgow, Scotland kuhudhuria Mkutano wa 26 wa Umoja wa Mataifa utakaojadili athari za Mabadiliko ya Tabianchi (COP 26).

Anatarajiwa kuhutubia siku ya pili ya Mkutano huo (Novemba 02, 2021) na pia atakutana kuzungumza na baadhi Wakuu wa Nchi, Wakuu wa Mashirika ya Kimataifa, Wakuu wa Taasisi mbalimbali na Wafanyabiashara wakubwa.

View attachment 1990991
Kuhutubia tena? Watu wa Hangaya ni kiboko kwa propaganda. COP26 Hangaya amhutubie Nani Bill Gates? Uwanja upi hapo Glasgow, Strathclyde university?
 
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuondoka Nchini Oktoba 30, 2021 kuelekea Glasgow, Scotland kuhudhuria Mkutano wa 26 wa Umoja wa Mataifa utakaojadili athari za Mabadiliko ya Tabianchi (COP 26).

Anatarajiwa kuhutubia siku ya pili ya Mkutano huo (Novemba 02, 2021) na pia atakutana kuzungumza na baadhi Wakuu wa Nchi, Wakuu wa Mashirika ya Kimataifa, Wakuu wa Taasisi mbalimbali na Wafanyabiashara wakubwa.

View attachment 1990991
Waziri ofisi ya makamu wa raisi muungano mazingira na waziri wa mambo ya nje kazi zao ni zipi kama sio matumizi mabaya ya kodi za wananchi?
 
Walio karibu nae lazima wafurahi, maana wanapata posho Kama zote, ila safari ya rais MOJA ni gharama kubwa Sana , zipo safari anaweza tuma wa kumwakilisha,
Mfano tangu amechukua kiti ameenda Nchi ngapi? na mwa haujaisha, vipi Mpaka 2025?
Mi naomba kuuliza HV rais analoalikwa kwenye international conference km hyoo hzo garama wanamlipia? Au zinatoka ndani ya nchi
 
Safari moja tu ya UN imeleta pesa zinagawiwa kwenye kila mkoa pengine hii ya sasa na yenyewe itakuja na pesa nyingine nyingi. Punguza kuwa inferior kila unapomuongelea rais wa awamu ya sita.
Acha kudanganya watu...pesa IMF has nothing to do na safari za mama UN..mchakato wa hizo pesa ulianza kabla ht ya safari ya UN na hauna uhusiano na UN.
 
Anakwendannq ndege gani, eabasi au imarati ya dubai
Tunaenda na Eya Basi yetu hii hapa bhana! ✈️🛫🛬 Rais mzima unapandaje ndege ya abiria na wakati midege yetu imejaa tu pale JNIA!
 
Sasa mtu anaiba matrilion hazina hadi rambirambi si angesafiri tu? Tatizo lilikuwa kiingereza na exposure. Kutudanganya eti alikuwa anabana matumizi ni uwongo tu.

Acha aendelee kuchezea vitasa huko kuzimu!
Ni aibu kiongozi wa nchi kuwa muongo kama mwendazake....eti anasevu matumizi kumbe English hakuna, kuna pacemaker ingefumuka.

Tumedanganywa vya kutosha. Mama safiri katutafutie, huko kwa watu weupe ndipo maarifa yanakopatikana.
 
Back
Top Bottom