Rais Samia Suluhu Hassan kuhudhuria Mkutano wa COP 26 Nchini Scotland

Rais Samia Suluhu Hassan kuhudhuria Mkutano wa COP 26 Nchini Scotland

Hawa watu wajinga sana Mkuu, Joe anaongoza nchi yenye nguvu zaidi kiuchumi kwa sasa kuliko nchi nyingine yeyote, ila haachi kwenda nchi nyingine (hata kama maskini) kutafuta connections, Jana alikuwa Vatican, leo atakuwa Roma, then anaunga juu kwa juu kwenda kwenye huu mkutano wa CC, akitoka hapo I think ataenda kuonana na Queen! Ila hii mijamaa ya mwendazake wanataka rais aende Mbinga kutatua mgogoro wa ardhi wa wakulima wa kahawa, nini kazi ya waziri mkuu? waziri? Naibu waziri? Katibu wa wizara? wakurugenzi wa idara za wizara? RCs, DCs, DEDs? Tumeshatoka kwenye zama za ushamba na hatutorudi tena huko
Tulikuwa na Rais local sana, anakula mahindi ya kuchoma barabarani, ananunua jogoo kwa mkulima, anakaa eti kwenye vijiwe vya kahawa.

Ushamba mzigo sana, tusirudi kule kamwe
 
Lijamaa lilikuwa linakopa mikopo ya kishamba and likiwa majukwaani linadanganya "Machinga" eti tunatumia hela yetu ya ndani
Huyo jamaa yako hata maana ya uchumi wa kati hajui, alikuwa anaropoka tu kama zuzu, Rais wa kwanza kufa akiwa madarakani, hiyo ndiyo rekodi pekee aliyoweka, STUPID HIM
Lilikuwa chaguo namba moja la ‘CCM’
 
Tulikuwa na Rais local sana, anakula mahindi ya kuchoma barabarani, ananunua jogoo kwa mkulima, anakaa eti kwenye vijiwe vya kahawa.

Ushamba mzigo sana, tusirudi kule kamwe
Alikuwa chaguo muhimu sana la CCM
 
Hii ni serikali ya kina vasco da gama.

Angalia Makamba alikua anazurula uarabuni eti anapeleka ujumbe maalum wa rais Samia Suluhu.

Ukiangalia perdiem zao utalia. Enzi zile za jk walikua wanatembea na mabegi yamejaa dolar, sasa sijui wanatembea na kirikuu ama kitu gani.

Rais kusafiri sio shida ila sio kusafiri safiri kila siku uko safari. Enzi za kikwete washkaji walimuwekea ratiba ya miaka 5 mbele, ukitoka hapa unaenda hapa unaenda pale unaenda kule.

Kazi ipo.
Nyie Ni wapumbavu, Samia anajitambua msimfananishe na huyo chizi wenu mwenye Laana ya mungu ,

Acheni rais asafiri akakutane na dunia Nchi inufaike matahira nyinyi
 
Tulikuwa na Rais local sana, anakula mahindi ya kuchoma barabarani, ananunua jogoo kwa mkulima, anakaa eti kwenye vijiwe vya kahawa.

Ushamba mzigo sana, tusirudi kule kamwe
Hatuwezi kurudi Misri Mkuu, now on the way to Canaan, 2025 Mama atagombea na yeyote wa upinzani, 2030 hatutaweka mshamba tena
 
Mama kabebeshwa mzigo wa madeni hadi haelewi atalipa vipi.Mwendazake was useless president ever..

SSH chakarika japo hao walioitwa mabeberu wakupunguzie madeni na sisi tupate nafuu mtaani.

Kila la heri na safari njema, uzuri safari zako zote zimekuwa na matokeo chanya kama hivi👇

View attachment 1991602

View attachment 1991603
Hapo "Uhuru Mzalendo" ulipo vipi nafasi za kazi!? Mshahara ukoje pia!? Nataka nije kuomba kazi hapo ofisini kwenu.
 
Hapo "Uhuru Mzalendo" ulipo vipi nafasi za kazi!? Mshahara ukoje pia!? Nataka nije kuomba kazi hapo ofisini kwenu.
Hapa kuna Kazi za watu makini tuu kwa ajili ya kutetea chama sio dampo la mataahira hapa.
 
Yule aliyekuwa hachomi kodi za wajinga hakuwahi kusafiri kabisa (anadai alikuwa anabana matumizi), lakini HAKUTOA AJIRA kwa miaka 5 ya utawala wake wa propaganda (hizo hela alizobana sijui alipeleka wapi)! Huyu anayechoma kodi za wajinga ndani ya miezi 7 ameshagawa ajira zaidi ya 20k, na miradi ya hovyohovyo aliyoachiwa anaimalizia.....
FC3z7vyWUAAWDVY
Achana na misukule ya dikteta kichaa ,watakuumiza kichwa,

WENGINE Chuki yao kwa Samia Ni sababu ya Iman yake tu,hawana lingine hao primitive
 
Nyie Ni wapumbavu, Samia anajitambua msimfananishe na huyo chizi wenu mwenye Laana ya mungu ,

Acheni rais asafiri akakutane na dunia Nchi inufaike matahira nyinyi
Wewe nguruwe Kama kufasiri ndio nchi kunufaika, safari 700 za kikwete Tanzania ingekua New York.

Huyo mungu atakaekua amemlaani magu atakua taahira kama wewe.
 
Huyu mama kwa kuzurura Watu wanaenda kujadili kupunguza viwanda yeye ana viwanda vingapi,yeye akazane kupanda miti
 
Back
Top Bottom