Rais Samia Suluhu Hassan kuhudhuria Mkutano wa COP 26 Nchini Scotland

Rais Samia Suluhu Hassan kuhudhuria Mkutano wa COP 26 Nchini Scotland

Wewe nguruwe Kama kufasiri ndio nchi kunufaika, safari 700 za kikwete Tanzania ingekua New York.

Huyo mungu atakaekua amemlaani magu atakua taahira kama wewe.
Hilo tahira lenu miaka yote halijasafiri ,Nini Cha maana tumepata zaidi yakututia hasara tu ya madeni,huku likiwadanganya mazuzu Kama wewe kuwa linatumia fedha za ndani,

Acha mama asafiri kutafuta fursa kwa Nchi, nyie endeleeni kumuabudu mungu wenu kichaa
 
Hilo tahira lenu miaka yote halijasafiri ,Nini Cha maana tumepata zaidi yakututia hasara tuya madeni,huku likiwadanganya mazuzu Kama wewe kuwa linatumia fedha za ndani
Makamu wa Rais alikuwepo, waziri mkuu alikuwepo, bunge lilikuwepo, wewe ulikuwepo . Wote walikuwa chaguo la CCM
 
CCM..,

C53A3CA2-CE1B-4744-85DE-9F11BCC16655.jpeg
 
Hivi kati ya kwenda Scotland na Marekani wapi ni gharama zaidi? Mliowahi kufika naomba mnijuze
 
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuondoka Nchini Oktoba 30, 2021 kuelekea Glasgow, Scotland kuhudhuria Mkutano wa 26 wa Umoja wa Mataifa utakaojadili athari za Mabadiliko ya Tabianchi (COP 26).

Anatarajiwa kuhutubia siku ya pili ya Mkutano huo (Novemba 02, 2021) na pia atakutana kuzungumza na baadhi Wakuu wa Nchi, Wakuu wa Mashirika ya Kimataifa, Wakuu wa Taasisi mbalimbali na Wafanyabiashara wakubwa.

View attachment 1990991
Ni vizuri kweli kwenda kuonana na viongozi wa nchi nyingine na pengine hata kuomba misaada. Akumbuke tu kuwa hao atakaokutana nao watakuwa wanamuangalia kwa macho ya kumpima [ size her up] kama kweli anayosema yanaendana na hali halisi huku alikotoka!!
Huwezi kwenda kuomba msaada huku umekwenda na ndege aina ya DREAMLINER ambayo itakuwa imesimaa kiwanjani kukungoja Rais kutoka nchi masikini mpaka hapo mkutano utakapo kwisha!!! Hii itaonesha lack of seriousness na ufujaji wa rasilimali na watakuona hivyo!!
 
Hivi waziri wa mambo ya nje kalala wapi??hili Sebene linaendelea bora tu wasiliamshe dreamliner kuvimba nalo huko
 
Biden kaapishwa January, overseas trip = 5 trips, mama yetu kaapishwa March, trip =10.
Mzee wa msoga anampoteza mama Yetu. watu wanamtoa mama nje ili huku nyuma watupige...mama zaidi ya mialiko ya kufungua shughuli fulani na hizi trip za nje hakuna kingine anafanya...amekua km mkulima wa tikiti kwa watsap, haendi field kukagua miradi.
Thithi tuna imani na mama mpaka 2030! 🥵
 
Miezi 7 Safari 10 nje ya inchi...SSH
Miaka 5 Safari 8 nje ya inchi...JPM
 
Hizi safari manufaa yake ni yapi kwa kwa kina mama walipo kule namtumbo bila maji??
 
Back
Top Bottom