Anga kwa anga (sayansi na gharama zigo la mwananchi) vs ungo kwa ungo (nguvu za giza kwa gharama za mgonjwa maluweluwe)Inasemekana ni kesho.
Nyepesi ataambatana na mzee wa Msoga wanaenda kuhudhuria kongamano lihusulo mazingira.
Kazi mnayo Wadanganyika 😂
Kwa hiyo analipiza au.Mchungaji Msigwa alisafiri sana na Nyalandu wakati akiwa Waziri kivuli wa Utalii
Huyu bibi anahangaika!Inasemekana ni kesho.
Nyepesi ataambatana na mzee wa Msoga wanaenda kuhudhuria kongamano lihusulo mazingira.
Kazi mnayo Wadanganyika [emoji23]
Kwa nini mkuu?jingalao akisoma hii anacheeeka kwa kazi nzuri ya mama.
Bia yetu
kawe Alumn
magu2016
Magufulist Nyererist
Magonjwa Mtambuka
Elitwege
Inasemekana ni kesho.
Nyepesi ataambatana na mzee wa Msoga wanaenda kuhudhuria kongamano lihusulo mazingira.
Kazi mnayo Wadanganyika [emoji23]
Mchungaji Msigwa alisafiri sana na Nyalandu wakati akiwa Waziri kivuli wa Utalii
🤣🤣🤣 ndugu yangu unafikiri hawa wapo humu jukwaani hivi sasa wakati mfadhili yupo motoni. Jingalao sijamuona muda mrefu tangu kayafa aende kuadhibiwa kwa mola wake na magonjwa mtambuka ndo hivyo ana madeni makubwa. Somo kuu; usiishi kwenye dunia hii kwa kumtegemea mwanadam mungu hana rafikijingalao akisoma hii anacheeeka kwa kazi nzuri ya mama.
Bia yetu
kawe Alumn
magu2016
Magufulist Nyererist
Magonjwa Mtambuka
Elitwege
We sema tu hujaniona siku nyingi...hii ni kutokana na majukumu niliyonayo kwa sasa.🤣🤣🤣 ndugu yangu unafikiri hawa wapo humu jukwaani hivi sasa wakati mfadhili yupo motoni. Jingalao sijamuona muda mrefu tangu kayafa aende kuadhibiwa kwa mola wake na magonjwa mtambuka ndo hivyo ana madeni makubwa. Somo kuu; usiishi kwenye dunia hii kwa kumtegemea mwanadam mungu hana rafiki
jingalao akisoma hii anacheeeka kwa kazi nzuri ya mama.
Bia yetu
kawe Alumn
magu2016
Magufulist Nyererist
Magonjwa Mtambuka
Elitwege
jingalao akisoma hii anacheeeka kwa kazi nzuri ya mama.
Bia yetu
kawe Alumn
magu2016
Magufulist Nyererist
Magonjwa Mtambuka
Elitwege
To be?! She is, already. We vipi bana!Huyu bibi anahangaika!
She's incapable to be a president.
Kwa hiyo wewe ndugu yangu umeona tu kusafiri ukaweka na 'emoji' yako ya cheko la pwani! Hili ni jukwaa la great thinkers; ungetuambia anaenda ktk mkutano gani, faida za huo mkutano kwa wewe, mimi na ndugu zetu vijijini. Mambo haya ukaona hayana umuhimu.Inasemekana ni kesho.
Nyepesi ataambatana na mzee wa Msoga wanaenda kuhudhuria kongamano lihusulo mazingira.
Kazi mnayo Wadanganyika 😂
Tumepigwa, kwahiyo jk kawa ndo mumewe?Inasemekana ni kesho.
Nyepesi ataambatana na mzee wa Msoga wanaenda kuhudhuria kongamano lihusulo mazingira.
Kazi mnayo Wadanganyika [emoji23]