Rais Samia Suluhu Hassan kuhudhuria Mkutano wa COP 26 Nchini Scotland

Sasa mtu anaiba matrilion hazina hadi rambirambi si angesafiri tu? Tatizo lilikuwa kiingereza na exposure. Kutudanganya eti alikuwa anabana matumizi ni uwongo tu.

Acha aendelee kuchezea vitasa huko kuzimu!
wote ni mavumbi na mavumbini Tutarudi.!!!!

hongera kwa ww ambaye utaishi milele

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Duh eti wanatembea na mabegi yamejaa madola,hivi ukiombwa ushahidi si utaba mavi

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Biden kaapishwa January, overseas trip = 5 trips, mama yetu kaapishwa March, trip =10.
Mzee wa msoga anampoteza mama Yetu. watu wanamtoa mama nje ili huku nyuma watupige...mama zaidi ya mialiko ya kufungua shughuli fulani na hizi trip za nje hakuna kingine anafanya...amekua km mkulima wa tikiti kwa watsap, haendi field kukagua miradi.
 
Ila ccm hawanaga akili, wakati wa Magu wakaanzisha akae madarakani hadi 2035, sasa wameanza tena Samia akae hadi 2040 . ukiwa CCM sijui akili inahamia wapi
 
Nani asiyejua kama hizo ziara zenyewe anamtafutia yeye Jk hata hizo hotuba anamtafutia yeye, ajiweke tu wazi asijifiche
 
Duh eti wanatembea na mabegi yamejaa madola,hivi ukiombwa ushahidi si utaba mavi
sasa unabisha nini ? kama una mtu NMB muulize, siku moja kabla ya safari land cruiser za Ikulu na za foreign affairs zinakwenda benki kuchukua dollar. Wakiwa safarini wanabeba dollar cash kwenye ma briefcase ambazo Rais na msafara una access nazo. Magufuli ndio alikatisha huu ujangili. Usibishe bro, wabeba briefcase wengine tunawajua personally, hatuwezi kutaja majina humu... hii nchi imechezewa sana.... nasikia anasafiri na Kikwete, Ukikwete umerudi in full effect, Mzee hana chembe ya uzalendo...
 
Kazi ya Tony Blair
 
Sina shida na safari za mama...
Watanzania tunataka kuona vitu vina happen..

Safii.. ushamfix Musiba, Sabaya...bado Mbowe.
Fix all these m'fkers.

We wanna keep going.
 
Mkutano huo wa COP 26 Rais hajawahi kuhudhuria tangu 2015-2021 march, huu mkutano wa mwaka huu una nini cha ziada?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…