Rais Samia Suluhu Hassan: Serikali kufanya mazungumzo kuendeleza mradi wa bandari ya Bagamoyo

Rais Samia Suluhu Hassan: Serikali kufanya mazungumzo kuendeleza mradi wa bandari ya Bagamoyo

Kuuliza sio ujinga. Aliyekuwa Rais (JPM) na Makamu wa Rais SSH wakati ule waliukataa huu mradi. Miezi mitatu baada ya kifo Cha JPM , aliyekuwa Makamu wa Rais Kawa Rais anaukubali tena huo mradi. Je hawa viongozi wawili wakati wa uongozi wao walikuwa wanafanya maamuzi kwa kushirikiana?
Umeelewa kilichosemwa?
TUNAFUFUA MAZUNGUMZO, SIYO KWAMBA TUNASAINI MKATABA
Mazungumzo yakiwa mazur tukakubalianai ndo tutasaini mkataba
 
Kuufufua kwa terms zipi? nilitegemea aseme kuupitia upya huo mradi ajiridhishe na vipengele vilivyomo coz nae alikuwa sehemu ya serikali iliyopita iliyoukataa huo mradi.
 
Kuna mtu nikimuangalia naona kabisa YUDA huyu hapaaaaaaaa ,sasa sijui alimuuza mwenzie kwa vipande vingapi !!!!!
 
Hii nchi ina wajinga wengi,

msichokijua ni kwamba Magu hakuwahi kuukataa mradi wa bagamoyo

Kilichotokea, Magu alitaka mkataba uangaliwe upya ili nchi inufaike

Magufuli hakua na ujinga na miradi isiyonufaisha taifa.
 
Kuufufua kwa terms zipi? nilitegemea aseme kuupitia upya huo mradi ajiridhishe na vipengele vilivyomo coz nae alikuwa sehemu ya serikali iliyopita iliyoukataa huo mradi.
kufufua mazungumzo.

Kwenye mazungumzo ndo tutaweka terms zetu mezani wachina wasuke au wanyoe
 
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa serikali ipo katika mazungumzo ili kuweza kuendeleza mradi wa bandari ya Bagamoyo. Hayo ameyasema leo Tarehe 26, 06. 2021 wakati wa hotuba yake katika mkutano wa 12 wa baraza la biashara.

Rais Samia amesema pia hiyo itakwenda sambamba na mradi wa Mchumchuma na Linganga kuwa nao mazungumzo yanaendelea ili waone mwekezaji atatoa ngapi na Serikali ngapi ili kuweza kuendeleza mradi huo. Akaongeza kuwa chuma imepanda bei duniani hivyo ni wakatk sahihi wa Tanzania kuchamka.

View attachment 1830564

Pia soma:
Yes. It is a correct track to economic development through FDI. "Hongera sana Mama. Ila ninapayuka tena: KATIBA MPYA!!!!?"
 
Afazali ata ijengwe hio bandari mizigo izid kuingia nchini na watz wazid kupata ajira na kubwa zaid bagamoyo izid kujengeka kibiashara ...ni wajinga wachache hawaezi ona hayaa
 
Umeelewa kilichosemwa?
TUNAFUFUA MAZUNGUMZO, SIYO KWAMBA TUNASAINI MKATABA
Mazungumzo yakiwa mazur tukakubalianai ndo tutasaini mkataba
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Hapo jua tayari mambo yananza! Mazungumzo?
 
Kuuliza sio ujinga. Aliyekuwa Rais (JPM) na Makamu wa Rais SSH wakati ule waliukataa huu mradi. Miezi mitatu baada ya kifo Cha JPM , aliyekuwa Makamu wa Rais Kawa Rais anaukubali tena huo mradi. Je hawa viongozi wawili wakati wa uongozi wao walikuwa wanafanya maamuzi kwa kushirikiana?
Kwani bwana mpango anasemaje
 
Back
Top Bottom