Rais Samia Suluhu Hassan: Serikali kufanya mazungumzo kuendeleza mradi wa bandari ya Bagamoyo

Rais Samia Suluhu Hassan: Serikali kufanya mazungumzo kuendeleza mradi wa bandari ya Bagamoyo

Kilichobakia ndio kinamaliziwa maliziwa.

Wenye nchi wanakwenda kuwa watumwa kwenye nchi yao , amini nawaambieni.
Mchangiaji, wewe ni miongoni mwa wenye fikra duni, waliolishwa ujinga, halafu wakaamua kuishi nao.
 
Kuuliza sio ujinga. Aliyekuwa Rais (JPM) na Makamu wa Rais SSH wakati ule waliukataa huu mradi. Miezi mitatu baada ya kifo Cha JPM , aliyekuwa Makamu wa Rais Kawa Rais anaukubali tena huo mradi. Je hawa viongozi wawili wakati wa uongozi wao walikuwa wanafanya maamuzi kwa kushirikiana?
By nature, Magufuli hakuwa kiongozi. Sidhani kama alielewa dhana ya ushirikishwaji, aliwaona wasaidizi wake, ka mifugo.
 
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa serikali ipo katika mazungumzo ili kuweza kuendeleza mradi wa bandari ya Bagamoyo. Hayo ameyasema leo Tarehe 26, 06. 2021 wakati wa hotuba yake katika mkutano wa 12 wa baraza la biashara.

Rais Samia amesema pia hiyo itakwenda sambamba na mradi wa Mchumchuma na Linganga kuwa nao mazungumzo yanaendelea ili waone mwekezaji atatoa ngapi na Serikali ngapi ili kuweza kuendeleza mradi huo. Akaongeza kuwa chuma imepanda bei duniani hivyo ni wakatk sahihi wa Tanzania kuchamka.

View attachment 1830564

Pia soma:
Serikali ifanye review ya kina ya mkataba uliokuwa usainiwe huko nyuma ama la kama ni kuanza upya mazungumzo huku yakilenga nchi kunufaika na sio tuu kuingia makubaliano au kusaini mikataba yenye terms za ajabu na zisizokuwa na manufaa kwa nchi na wananchi wake.
Ikiwezekana timu itakayooundwa iwe ni ya watu wenye weledi na watakaoangalia maslahi mapana ya nchi kwa ujumla.
 
Back
Top Bottom